Hayati Magufuli, kama sio leo basi ni suala la muda tu kupewa tuzo ya heshima kama Rais aliyesimamia vema rasilimali na kupunguza kero kwa wananchi

Hayati Magufuli, kama sio leo basi ni suala la muda tu kupewa tuzo ya heshima kama Rais aliyesimamia vema rasilimali na kupunguza kero kwa wananchi

🐒🐒🐒
16409521842520.jpg
 
CAG alieleza hii 1.5tr imetumika pasipo kupata idhini ya bunge na akai-link na ununuzi wa ndege

Sasa kama hii 1.5t ilienda kununua ndege ili kufufua shirika letu la ndege then ni bora zaidi kuliko ungefanyika ufisadi wa kupiga hela alafu wachache wakajilimbikizia mali

Kudos JPM

Kama hakukuwa na nia mbaya kwanini hakupata idhini ya bunge?
 
Nisiwe mnafiki, sikuwahi kumkubali Bwana yule, Sikupenda aina yake ya utawala. Ila baada ya Chifu Kuchukua Hatamu, Nimekuja Kugundua Bwana yule alikuwa Bonge la Kiongozi, Tena Kiongozi anayetenda.

Mtu yule angeruhusu tu Uhuru wa Vyombo vya Habari na kuiachia Demokrasia angekuwa The Best President we ever had. Lakini ndio hivyo wengi tumechelewa kuujua umuhimu wake, Ukimtoa Mwalimu yule hakuna hata wa kuifikia Nusu ya Bwana yule kwa ubora kama kiongozi.

Kwa sasa tuyafurahie yale aliyoyafanya na kuyaenzi.

Huko aliko aendelee Kupumzika!
 
Rais akisema nataka hapa nikirudi nikute jengo hili limeisha na linatumika wiki moja tu kwisha kazi jengo limeisha na linatumika, Rais gani mwingine atakuja kupata kaliba hiyo?

Rais akisema sitaki mgao wa umeme na mgao hakuna umeme upo mda wote , sasa hivi huku kwetu ziwani mgao daily kazi hatufanyi saluni ya kunyoa ndevu tunalala na njaa! Na ili kung'oa mzizi wa ufisadi kwenye umeme akaanzisha mradi mkubwa wa bwawa la umeme ambalo eti sasa hawataki kulijenga kwa spidi ya Magu kwakuwa hawataki kumpa sifa Mwendazake , ujinga wa mtu mweusi ni wa kiwango cha juu! Rais huyo unaanzaje kumponda una kichaa au wazimu!

Rais akisema kila kiongozi akae ofisini atatue kero za wananchi ukienda wapo! sasa hivi hawapo!

Ukipita Airport unaziona Air Tanzania ndege kibao! zamani ndege moja tena ya kukodi aibu kubwa sana!

Everywhere you pass you see Magufuli structures sasa utamfutaje mtu huyo basi kwenda mkoa unapandia Magufuli terminal Mbezi!

Haiwezekani kuvunja Legacy ya Magufuli atabaki milele kwenye historia ya bongo

ukifika Dar kule Nyerere Road unaona zege ya njia ya juu ya SGR ambayo hawaijengi tena kwa spidi ya Magu, sasa utafutaje sifa za mtu alieanzisha kazi kubwa hiyo,

Wanaomponda Magu wanajitafutia magonjwa ya bure ya moyo.

Pamoja na mapungufu yake kama binadamu Magufuli will remain the best President for bongo, itabaki hivyo tu hata mtu akibisha kimpango wake!
Ni wenye upeo tu watakaokuelewa mkuu, shukrani sana
 
Nisiwe mnafiki, sikuwahi kumkubali Bwana yule, Sikupenda aina yake ya utawala. Ila baada ya Chifu Kuchukua Hatamu, Nimekuja Kugundua Bwana yule alikuwa Bonge la Kiongozi, Tena Kiongozi anayetenda.

Mtu yule angeruhusu tu Uhuru wa Vyombo vya Habari na kuiachia Demokrasia angekuwa The Best President we ever had. Lakini ndio hivyo wengi tumechelewa kuujua umuhimu wake, Ukimtoa Mwalimu yule hakuna hata wa kuifikia Nusu ya Bwana yule kwa ubora kama kiongozi.

Kwa sasa tuyafurahie yale aliyoyafanya na kuyaenzi.

Huko aliko aendelee Kupumzika!
Ukweli tupu mkuu!
 
Hakuna lolote. Vitu pekee ambavyo Magufuli anamzidi Samia ni; Kuua wakosoaji, UDIKTETA, kudhibiti bunge, kuitisha Mahakama, kubana vyombo vya habari na kukurupuka kwenye maamuzi.

Umaskini ni laana. Unachukia matajiri na unasahau kuwa wao ndiyo waajiri wakubwa wa wafanyakazi kuliko Serikali.

Magufuli kwa upumbavu wake alimfilisi Yusuf Manji na akasahau kuwa Manji anaajiri watu 3,000 wanaopata mishahara moja kwa moja kupitia makampuni yake ya Quality Group na wengine zaidi ya 300,000 indirectly kupitia ununuzi wa mazao kama korosho, mbaazi na ufuta.

Hawa machinga wanaohangaika kuuza barabarani bidhaa kwa asilimia kubwa ni zao la upumbavu wa Magufuli. Kadri sekta binafsi itakavyoimarika ndivyo ajira zitatengenezwa. Rais SSH yuko vizuri kiuchumi
Matajiri wasio lipa kodi ni wezi na hswatakiwi kuwepo!
 
Kama alivyowahi kunukuliwa akisema, Jengo la Tanesko ubungo, akitokea kiongozi mwenye kusimamia sheria, litavunjwa tuu, na hatimaye akaja kushika mwenyewe na likavunjwa,

Na sasa, akija kutokea Rais asiye na unafki ndani yake, lazima JPM atapewa tuzo!

Tunaposema JPM (hayati) anastahili tuzo ya heshima kuhusu kulinda rasilimali na kufanikiwa sana kupunguza kero Kwa wananchi tuna maanisha

Kipimo ni hizi hizi tawala zilizokuwepo na zilizopo!

Staki nirudi nyuma huko kwenye Richimondi, Epa, escrow n.k

Huko nyuma kulinuka wizi nchi nzima, huduma za hovyo kila pahala, viongozi watu waliitwa majina mengi, miongoni mwao ni wazee wa kuchekacheka n.k

Tukija hapa tulipo, bila shaka hakuna hata mmoja asiyepata majeraha makali ya tozo na kodi zisizo na majina, huduma mbovu mahospitalini, ukipeleka wagonjwa unakutana na madaktari walioko chuo wakisoma bado na wengine wakiwa field, utampangaje zamu dakitari anayesoma bado kuhudumia mgonjwa siriaz? Matokeo yake ni wagonjwa kufariki ama kuzidiwa Kwa sababu ya mambo ya kizembe kama hayo

Ukija kwenye suala la nishati ya umeme, Hayati alipondwa Kwa maneno yote kwamba alikuwa mkamuaji tu wa maziwa bila kumlisha ng"ombe ili anenepe na kuendelea kutoa maziwa mengi, tukadhani ni kweli wasemacho, na tulipewa miezi miwili ya ukarabati wa miundombinu yote ya Mitambo ya TaNesco, miezi hiyo ikaisha, kilichofuata, kila mtanzania ni shahidi

Tukirudi kwenye uwekezaji wa uzalishaji wa Umeme JKHP, kulisemwa lugha mbalimbali baada tu ya kuingia wajuvi, tukaamini labda huwenda ni kweli,

Kabla ya wajuvu kuingia, tulikuwa tumepewa na tarehe ya kujazwa maji bwawa hilo, wajuvi walipoingia, tukaambiwa, bwawa hilo halitajazwa ispokuwa kuagizwe kifaa ambacho nchini hakipo, sasa ni karibu mwaka toka kuagizwe kifaa hicho cha kusaidia kujazwa maji bwawa letu na bado mpaka sasa hakuna cha maji kujazwa na sina hakika kama hata hicho kifaa kilishagakuja!

Kiukweli, tunahitaji kuona kila kinachokuwa kimesemwa, kinafanyika na kinaanza kutumika!

JPM, (hayati) alikuwa akisema, tayari kitu kinafanywa na kinanza kutumika Kwa manufaa ya nchi, hakuwa mtu wa porojo,

Ukweli na matendo yake mengi ya kitendaji, yaliufunika uwingi wa udhaifu wake na kuanza kuaminiwa saana na wananchi hasa wale waliokuwa hawapati haki zao kwenye tawala zilizowahi kuwepo

mf, wamama ntilie, wamachinga, wafugaji na wakulima, waliiamini sana serikari yake! Migogoro mingi ya wafugaji na wakulima, migogoro ya aridhi ilidhibitiwa na kusababisha kutamalaki Kwa amani

JPM (hayati) alihakikisha kuwa, Rasilimali za nchi, zinalindwa Kwa nguvu zote na kwamba, ziwanufaishe wananchi na kwamba, nchi yetu inakuwa ni kituo cha mataifa mbalimbali kuja ama kuleta madini yao kuja kuuza na kununua hapa

JPM (hayati) alianzisha masoko ya madini kila eneo lnalochima madini nchini, Sielewi Kwa sasa ikiwa maono haya makubwa yanaendelezwa Kwa kasi ilelie

Tubayo mengi mazuri ya kujifunza Kutoka Kwa kiongozi huyu ambapo Kwa wengi wa watanzania hata sasa bado wanamnena kusema, laiti angelikuwepo?

Tusingeona tozo katikati ya mdoloro wa kiuchumi duniani,

Swali ni... Ikiwa kuna mdorolo wa uchumi duniani,

Je, Wananchi mdororo huu hauwaathiri? Kwa nini waongezewe tozo ili hali dunia inapitia uharibifu wa Uchumi?
Watu wasiojulikana,wameisha.watu kwenye viroba beach,hakuna.bunge la hovyo la ccm,lipo.mikopo ya Siri kujenga sgr,bwawa la Nyerere hakuna.
 
Ki ukweli, JPM alikuwa ni Kiongozi wa aina ya pekee sana.
Alikuwa mzalendo wa kweli wa Nchi yake, aliwapenda sana Wananchi wake hasa wale ambao walipuuzwa katka Tawala zilizopita.

Aliumia sana anapoona Watanzania wanapata taabu. Alipoingia tu madarakani, vibaka, Panyaroads, walarushwa, Majangili, watekaji wa magari walipotea ghafla kwa speed ya ajabu.

Kwa sasa wakubwa wanachokifanya ni kujaribu kuharibu Legacy ya JPM.
Mimi nawaambia, hawataweza. JPM alikuwa ni Rais wa aina yake.
Siku zote wa MBILI huwa havai MOJA.
Ebu fikiri, kila mtu huku mtaani anataja jina la JPM. Kwamba angekuwepo, haya yanayotukumba sasa yasingekuwepo(Mfumuko wa bei, Tozo nk.)

Mungu mwenye huruma ailaze pema roho ya Mtumishi wake JPM. Amiiiiiiiina.
Naunga mkono hoja
P
 
Kama alivyowahi kunukuliwa akisema, Jengo la Tanesko ubungo, akitokea kiongozi mwenye kusimamia sheria, litavunjwa tuu, na hatimaye akaja kushika mwenyewe na likavunjwa,

Na sasa, akija kutokea Rais asiye na unafki ndani yake, lazima JPM atapewa tuzo!

Tunaposema JPM (hayati) anastahili tuzo ya heshima kuhusu kulinda rasilimali na kufanikiwa sana kupunguza kero Kwa wananchi tuna maanisha

Kipimo ni hizi hizi tawala zilizokuwepo na zilizopo!

Staki nirudi nyuma huko kwenye Richimondi, Epa, escrow n.k

Huko nyuma kulinuka wizi nchi nzima, huduma za hovyo kila pahala, viongozi watu waliitwa majina mengi, miongoni mwao ni wazee wa kuchekacheka n.k

Tukija hapa tulipo, bila shaka hakuna hata mmoja asiyepata majeraha makali ya tozo na kodi zisizo na majina, huduma mbovu mahospitalini, ukipeleka wagonjwa unakutana na madaktari walioko chuo wakisoma bado na wengine wakiwa field, utampangaje zamu dakitari anayesoma bado kuhudumia mgonjwa siriaz? Matokeo yake ni wagonjwa kufariki ama kuzidiwa Kwa sababu ya mambo ya kizembe kama hayo

Ukija kwenye suala la nishati ya umeme, Hayati alipondwa Kwa maneno yote kwamba alikuwa mkamuaji tu wa maziwa bila kumlisha ng"ombe ili anenepe na kuendelea kutoa maziwa mengi, tukadhani ni kweli wasemacho, na tulipewa miezi miwili ya ukarabati wa miundombinu yote ya Mitambo ya TaNesco, miezi hiyo ikaisha, kilichofuata, kila mtanzania ni shahidi

Tukirudi kwenye uwekezaji wa uzalishaji wa Umeme JKHP, kulisemwa lugha mbalimbali baada tu ya kuingia wajuvi, tukaamini labda huwenda ni kweli,

Kabla ya wajuvu kuingia, tulikuwa tumepewa na tarehe ya kujazwa maji bwawa hilo, wajuvi walipoingia, tukaambiwa, bwawa hilo halitajazwa ispokuwa kuagizwe kifaa ambacho nchini hakipo, sasa ni karibu mwaka toka kuagizwe kifaa hicho cha kusaidia kujazwa maji bwawa letu na bado mpaka sasa hakuna cha maji kujazwa na sina hakika kama hata hicho kifaa kilishagakuja!

Kiukweli, tunahitaji kuona kila kinachokuwa kimesemwa, kinafanyika na kinaanza kutumika!

JPM, (hayati) alikuwa akisema, tayari kitu kinafanywa na kinanza kutumika Kwa manufaa ya nchi, hakuwa mtu wa porojo,

Ukweli na matendo yake mengi ya kitendaji, yaliufunika uwingi wa udhaifu wake na kuanza kuaminiwa saana na wananchi hasa wale waliokuwa hawapati haki zao kwenye tawala zilizowahi kuwepo

mf, wamama ntilie, wamachinga, wafugaji na wakulima, waliiamini sana serikari yake! Migogoro mingi ya wafugaji na wakulima, migogoro ya aridhi ilidhibitiwa na kusababisha kutamalaki Kwa amani

JPM (hayati) alihakikisha kuwa, Rasilimali za nchi, zinalindwa Kwa nguvu zote na kwamba, ziwanufaishe wananchi na kwamba, nchi yetu inakuwa ni kituo cha mataifa mbalimbali kuja ama kuleta madini yao kuja kuuza na kununua hapa

JPM (hayati) alianzisha masoko ya madini kila eneo lnalochima madini nchini, Sielewi Kwa sasa ikiwa maono haya makubwa yanaendelezwa Kwa kasi ilelie

Tubayo mengi mazuri ya kujifunza Kutoka Kwa kiongozi huyu ambapo Kwa wengi wa watanzania hata sasa bado wanamnena kusema, laiti angelikuwepo?

Tusingeona tozo katikati ya mdoloro wa kiuchumi duniani,

Swali ni... Ikiwa kuna mdorolo wa uchumi duniani,

Je, Wananchi mdororo huu hauwaathiri? Kwa nini waongezewe tozo ili hali dunia inapitia uharibifu wa Uchumi?
Rais Samia Suluhu anafanya mala mbili yake
 
Nisiwe mnafiki, sikuwahi kumkubali Bwana yule, Sikupenda aina yake ya utawala. Ila baada ya Chifu Kuchukua Hatamu, Nimekuja Kugundua Bwana yule alikuwa Bonge la Kiongozi, Tena Kiongozi anayetenda.

Mtu yule angeruhusu tu Uhuru wa Vyombo vya Habari na kuiachia Demokrasia angekuwa The Best President we ever had. Lakini ndio hivyo wengi tumechelewa kuujua umuhimu wake, Ukimtoa Mwalimu yule hakuna hata wa kuifikia Nusu ya Bwana yule kwa ubora kama kiongozi.

Kwa sasa tuyafurahie yale aliyoyafanya na kuyaenzi.

Huko aliko aendelee Kupumzika!
Ndio maana alisema mtamkumbuka, hii nchi ilishaondolewa mikononi kwa wanyonyaji ila imerudishwa huko kwa nguvu na kasi ya ajabu. Watanzania tumeurudia uyatima wa miongo miwili iliyopita.
 
Back
Top Bottom