johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi siyo nyingi nazo zimejaa shida na mateso inasema Biblia
Matendo na maneno yenye kuwapendeza binadamu wenzako hukumbukwa milele.
John Pombe Joseph Magufuli tutakukumbuka kama mtetezi wa watu wa hali ya chini kabisa.
Rip.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Matendo na maneno yenye kuwapendeza binadamu wenzako hukumbukwa milele.
John Pombe Joseph Magufuli tutakukumbuka kama mtetezi wa watu wa hali ya chini kabisa.
Rip.
Nawasalimu kwa jina la JMT!