Hayati Magufuli: Mtanikumbuka, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!

Hayati Magufuli: Mtanikumbuka, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!

Binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi siyo nyingi nazo zimejaa shida na mateso inasema Biblia

Matendo na maneno yenye kuwapendeza binadamu wenzako hukumbukwa milele.

John Pombe Joseph Magufuli tutakukumbuka kama mtetezi wa watu wa hali ya chini kabisa.
Rip.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Wewe ulimpenda sana Magufuli
 
Baba Magufuli pumzika Baba, pumzika kwa maana wewe umtimiza ule usemi "Kuliko ishi pasipo maneno yana ishi basi ni bora kulala ukiacha maneno yatakayo ishi kizazi hata kizazi.

Baba wapo wanao haha kukufuta ktk history kwa nguvu zote ila hawajuwi Mungu alikupa siku chache kulitawala Taifa ili kulifungua milele.

Baba umeishi maneno yako, umeishi kama iwapasavyo wafalme na watawala kwa mkono wa chuma na dam ulisimama kulitetea Taifa lako Tukufu Tanzania. Kwa dam na maumivu ulilijenga Taifa ukaisahau familia yako na watoto ulisama imara kulijenga Taifa mpaka viumbe vya angani na baharini na nchi kavu vikakiri Tanzania kuna mwanaume alie enda jando la moto na dam.

Baba najuwa hakuna anayejuwa kile ulikisema na kile ulikiona kabla na baada ya kufa kwako. Ukweli utafichwa ila mtoto kutoka kabla dogo ila lenye nguvu atainuka nakulijenga sanamu kuenzi mchango wako ktk Tanzania ya Magufuli na mwl Nyerere.

Baba umelala na hatutokusikia ila umeacha miale ya moto ya kulifia taifa kwa maelfu na mamilioni ya vijana nawaona vijana imara ktk kila idara nyeti za Taifa watakao sema this is enough.

Watanzania na hasa wabara tunasema asante asante Baba asante baba tunalia tunalia tunakulia Baba nakusema kama ungekuwepo hatujuwi nini kingetukia.

Baba unachafulia unanangwa hata na wale walijifanya wanakukubali ila tunajuwa haki yako una ililia mpaka itakapo timia haki yako itapatikana hata ukiwa makaburi ili dunia na ulimwengu ujifunze kwa Tanzania. Wajapo kupaka rangi mbaya watanzania bado wataona Lulu, wajapo chafuwa jina lako watanzania wataona manukato mazuri ya ajabu..

Wameibuka na vitabu na kila aina yamaneno ila bado watanzania hasa tabaka la kati na chini wanasema Mungu kwanini ulimchukua japo ndio mapenzi yake.

Baba haki yako italetwa na wa Tanzania haki yako Mungu ataisimamia.

Dam ilimwagika ila yote ni siri ya kata maana hata wao bado wamo mule mule hatujuwi nani mbaya ila watanzania tumemuachia Mungu maana huwezi kuwa mtawala dam isimwagike na hiyo ni siri ya Mungu na fumbo kwetu wanadam.

Baba umelala ila huku duniani hujalala huko Marekani nikama wana copy na ku pest kazi zako... tangu dunia kuumbwa na marekani wanaondoa wafanyakaz hewa, tangu dunia kuumbwa wamarekani wanasitisha misaada kwa africa jambo uliliona, kwa mara ya kwanza huko marekani wameunda kitu kinaitwa measuring goverment efficiency yaani baba wewe ni genius basi tu Mungu kakupenda zaidi.

Baba umeacha miale ya moto na Tanzania mpya inakuja kwa wajukuu na watoto wako.
Baba pumzika bab pumzika wewe unaishi wewe unaishi japo hatukuoni ila waishi ndani yetu. Amen
Umeandika upuuzi..mtu aliyelisababishia taifa madhira mara mbili kabla ya kuja kwake unawezaje kumsifia? Mfalme Sauli alikuwa mfalme wa kwanza kwa taifa la Israeli na Mungu alimchagua..nini kilimtokea?
Ndicho kilichomtokea Magufuli..! Heri mwisho mwema kuliko mwanzo mwema!
 
Sifa nyingi ambazo tunajivuni hivi sasa ni matunda ya awamu ya 5
 
Kilichomtokea Magufuli kitamtokea kila mwanadamu. We jitoe ufahamu tu. Uzuri jambo la kifo Mungu ameliweka siri yake tu. Ila ni haki ambayo kila mtu ataonja. Ni upuuzi na upagani kufurahia kifo cha mtu, tena kipenzi cha watu. Jitathmini
Umeandika upuuzi..mtu aliyelisababishia taifa madhira mara mbili kabla ya kuja kwake unawezaje kumsifia? Mfalme Sauli alikuwa mfalme wa kwanza kwa taifa la Israeli na Mungu alimchagua..nini kilimtokea?
Ndicho kilichomtokea Magufuli..! Heri mwisho mwema kuliko mwanzo mwema!
 
Kilichomtokea Magufuli kitamtokea kila mwanadamu. We jitoe ufahamu tu. Uzuri jambo la kifo Mungu ameliweka siri yake tu. Ila ni haki ambayo kila mtu ataonja. Ni upuuzi na upagani kufurahia kifo cha mtu, tena kipenzi cha watu. Jitathmini
..nimekutolea mfano wa mfalme Sauli watu walimpenda kwa sababu alikuwa hodari kupigania watu wake..PRIDE/KIBURI kilimponza..maneno aliambiwa ya mwisho, KUTII NI BORA ZAIDI YA KUTOA DHABIHU..Mungu aliondoa ulinzi wake kwake mfalme hata Nabii Samwel alipomtetea kwa kuugua sana, aliambiwa NIMEMKATAA SAULI..!
Pamoja na mazuri yote Magufuli alifanya na kupendwa sana..KIBURI cha kusifiwa kilimponza Mungu akachora mstari, na alishaambiwa hakusikia, uchaguzi wa 2020 ulionyesha kiwango cha juu cha kiburi cha madaraka..yuko wapi sasa!
Kifo kipo kwa kila mtu, lakini jifunze kutenda mema kwa wote! na hasa unapokuwa kiongozi..! Hayo aliyokuwa anayakataa, wizi, ufisadi, uzembe nk yote yamerudi mara 5 zaidi na hao aliowafukuza kuwa hawafai kuwa viongozi wote wamerudi..wewe huyaoni hayo? unamsifu kwa lipi hasa km Mungu aliamua kumtoa kwenye hiyo kazi? Sasa kwa vile wewe ni kipofu kiroho huwezi kuona na kutafsiri matukio..usidhani na wengine ni km wewe.
 
Kilichomtokea Magufuli kitamtokea kila mwanadamu. We jitoe ufahamu tu. Uzuri jambo la kifo Mungu ameliweka siri yake tu. Ila ni haki ambayo kila mtu ataonja. Ni upuuzi na upagani kufurahia kifo cha mtu, tena kipenzi cha watu. Jitathmini
Umemaliza !
Kila mtu Atakwendra siku ikiwadia halafu utakuwa ni mwisho mwema tu !
Magufuli amefungua macho na Akili za watu zilizokuwa zimelala !
 
..nimekutolea mfano wa mfalme Sauli watu walimpenda kwa sababu alikuwa hodari kupigania watu wake..PRIDE/KIBURI kilimponza..maneno aliambiwa ya mwisho, KUTII NI BORA ZAIDI YA KUTOA DHABIHU..Mungu aliondoa ulinzi wake kwake mfalme hata Nabii Samwel alipomtetea kwa kuugua sana, aliambiwa NIMEMKATAA SAULI..!
Pamoja na mazuri yote Magufuli alifanya na kupendwa sana..KIBURI cha kusifiwa kilimponza Mungu akachora mstari, na alishaambiwa hakusikia, uchaguzi wa 2020 ulionyesha kiwango cha juu cha kiburi cha madaraka..yuko wapi sasa!
Kifo kipo kwa kila mtu, lakini jifunze kutenda mema kwa wote! na hasa unapokuwa kiongozi..! Hayo aliyokuwa anayakataa, wizi, ufisadi, uzembe nk yote yamerudi mara 5 zaidi na hao aliowafukuza kuwa hawafai kuwa viongozi wote wamerudi..wewe huyaoni hayo? unamsifu kwa lipi hasa km Mungu aliamua kumtoa kwenye hiyo kazi? Sasa kwa vile wewe ni kipofu kiroho huwezi kuona na kutafsiri matukio..usidhani na wengine ni km wewe.
Je na wewe ukifa Mungu hatakuwa amekukataa ?
 
Binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi siyo nyingi nazo zimejaa shida na mateso inasema Biblia

Matendo na maneno yenye kuwapendeza binadamu wenzako hukumbukwa milele.

John Pombe Joseph Magufuli tutakukumbuka kama mtetezi wa watu wa hali ya chini kabisa.
Rip.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Sio Kweli
 
Je na wewe ukifa Mungu hatakuwa amekukataa ?
..elewa kwanza nini kilitokea kwake, mimi si kiongozi yeye alikuwa Rais wakati uchaguzi wa 2020 unaharibiwa, binadamu unapopata nafasi kuongoza wengine Mungu anakuelekeza mambo ya kufanya..tenda HAKI usipofanya vile Mungu anataka, you r of your own! Umeelewa? Si kila kifo cha mtu Mungu amemkataa..
 
Binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi siyo nyingi nazo zimejaa shida na mateso inasema Biblia

Matendo na maneno yenye kuwapendeza binadamu wenzako hukumbukwa milele.

John Pombe Joseph Magufuli tutakukumbuka kama mtetezi wa watu wa hali ya chini kabisa.
Rip.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kama wewe unamkunbuka ni wewe
 
Binadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi siyo nyingi nazo zimejaa shida na mateso inasema Biblia

Matendo na maneno yenye kuwapendeza binadamu wenzako hukumbukwa milele.

John Pombe Joseph Magufuli tutakukumbuka kama mtetezi wa watu wa hali ya chini kabisa.
Rip.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Ungeweka na clipp yake ya mtanikumbuka
 
Back
Top Bottom