Hayati Magufuli: Mtanikumbuka, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!

Hayati Magufuli: Mtanikumbuka, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!

Hivi huyu @ Lucas mwashamba alikuwa anabubujikwa na machozi hata wakati wa magufuli?
Au anabubujikwa na machozi zama hizi pekee?😁😁
 
Baba Magufuli pumzika Baba, pumzika kwa maana wewe umtimiza ule usemi "Kuliko ishi pasipo maneno yana ishi basi ni bora kulala ukiacha maneno yatakayo ishi kizazi hata kizazi.

Baba wapo wanao haha kukufuta ktk history kwa nguvu zote ila hawajuwi Mungu alikupa siku chache kulitawala Taifa ili kulifungua milele.

Baba umeishi maneno yako, umeishi kama iwapasavyo wafalme na watawala kwa mkono wa chuma na dam ulisimama kulitetea Taifa lako Tukufu Tanzania. Kwa dam na maumivu ulilijenga Taifa ukaisahau familia yako na watoto ulisama imara kulijenga Taifa mpaka viumbe vya angani na baharini na nchi kavu vikakiri Tanzania kuna mwanaume alie enda jando la moto na dam.

Baba najuwa hakuna anayejuwa kile ulikisema na kile ulikiona kabla na baada ya kufa kwako. Ukweli utafichwa ila mtoto kutoka kabla dogo ila lenye nguvu atainuka nakulijenga sanamu kuenzi mchango wako ktk Tanzania ya Magufuli na mwl Nyerere.
Baba umelala na hatutokusikia ila umeacha miale ya moto ya kulifia taifa kwa maelfu na mamilioni ya vijana nawaona vijana imara ktk kila idara nyeti za Taifa watakao sema this is enough.

Watanzania na hasa wabara tunasema asante asante Baba asante baba tunalia tunalia tunakulia Baba nakusema kama ungekuwepo hatujuwi nini kingetukia.

Baba unachafulia unanangwa hata na wale walijifanya wanakukubali ila tunajuwa haki yako una ililia mpaka itakapo timia haki yako itapatikana hata ukiwa makaburi ili dunia na ulimwengu ujifunze kwa Tz. Wajapo kupaka rangi mbaya watanzania bado wataona Lulu, wajapo chafuwa jina lako watanzania wataona manukato mazuri ya ajabu..
Wameibuka na vitabu na kila aina yamaneno ila bado watanzania hasa tabaka la kati na chini wanasema Mungu kwanini ulimchukua japo ndio mapenzi yake.

Baba haki yako italetwa na wa Tz haki yako Mungu ataisimamia.

Dam ilimwagika ila yote ni siri ya kata maana hata wao bado wamo mule mule hatujuwi nani mbaya ila watanzania tumemuachia Mungu maana huwezi kuwa mtawala dam isimwagike na hiyo ni siri ya Mungu na fumbo kwetu wanadam.

Baba umelala ila huku duniani hujalala huko Marekani nikama wana copy na ku pest kazi zako... tangu dunia kuumbwa na marekani wanaondoa wafanyakaz hewa, tangu dunia kuumbwa wamarekani wanasitisha misaada kwa africa jambo uliliona, kwa mara ya kwanza huko marekani wameunda kitu kinaitwa measuring goverment efficiency yaani baba wewe ni genius basi tu Mungu kakupenda zaidi.
Baba umeacha miale ya moto na Tz mpya inakuja kwa wajukuu na watoto wako.
Baba pumzika bab pumzika wewe unaishi wewe unaishi japo hatukuoni ila waishi ndani yetu. Amen
 

Attachments

  • 26c4b7cf474c89ba0444572fd01ce36d_1740866019254.mp4
    16.8 MB
Baba Magufuli pumzika Baba, pumzika kwa maana wewe umtimiza ule usemi "Kuliko ishi pasipo maneno yana ishi basi ni bora kulala ukiacha maneno yatakayo ishi kizazi hata kizazi.

Baba wapo wanao haha kukufuta ktk history kwa nguvu zote ila hawajuwi Mungu alikupa siku chache kulitawala Taifa ili kulifungua milele.

Baba umeishi maneno yako, umeishi kama iwapasavyo wafalme na watawala kwa mkono wa chuma na dam ulisimama kulitetea Taifa lako Tukufu Tanzania. Kwa dam na maumivu ulilijenga Taifa ukaisahau familia yako na watoto ulisama imara kulijenga Taifa mpaka viumbe vya angani na baharini na nchi kavu vikakiri Tanzania kuna mwanaume alie enda jando la moto na dam.

Baba najuwa hakuna anayejuwa kile ulikisema na kile ulikiona kabla na baada ya kufa kwako. Ukweli utafichwa ila mtoto kutoka kabla dogo ila lenye nguvu atainuka nakulijenga sanamu kuenzi mchango wako ktk Tanzania ya Magufuli na mwl Nyerere.

Baba umelala na hatutokusikia ila umeacha miale ya moto ya kulifia taifa kwa maelfu na mamilioni ya vijana nawaona vijana imara ktk kila idara nyeti za Taifa watakao sema this is enough.

Watanzania na hasa wabara tunasema asante asante Baba asante baba tunalia tunalia tunakulia Baba nakusema kama ungekuwepo hatujuwi nini kingetukia.

Baba unachafulia unanangwa hata na wale walijifanya wanakukubali ila tunajuwa haki yako una ililia mpaka itakapo timia haki yako itapatikana hata ukiwa makaburi ili dunia na ulimwengu ujifunze kwa Tanzania. Wajapo kupaka rangi mbaya watanzania bado wataona Lulu, wajapo chafuwa jina lako watanzania wataona manukato mazuri ya ajabu..

Wameibuka na vitabu na kila aina yamaneno ila bado watanzania hasa tabaka la kati na chini wanasema Mungu kwanini ulimchukua japo ndio mapenzi yake.

Baba haki yako italetwa na wa Tanzania haki yako Mungu ataisimamia.

Dam ilimwagika ila yote ni siri ya kata maana hata wao bado wamo mule mule hatujuwi nani mbaya ila watanzania tumemuachia Mungu maana huwezi kuwa mtawala dam isimwagike na hiyo ni siri ya Mungu na fumbo kwetu wanadam.

Baba umelala ila huku duniani hujalala huko Marekani nikama wana copy na ku pest kazi zako... tangu dunia kuumbwa na marekani wanaondoa wafanyakaz hewa, tangu dunia kuumbwa wamarekani wanasitisha misaada kwa africa jambo uliliona, kwa mara ya kwanza huko marekani wameunda kitu kinaitwa measuring goverment efficiency yaani baba wewe ni genius basi tu Mungu kakupenda zaidi.

Baba umeacha miale ya moto na Tanzania mpya inakuja kwa wajukuu na watoto wako.
Baba pumzika bab pumzika wewe unaishi wewe unaishi japo hatukuoni ila waishi ndani yetu. Amen
Magufuli akiww mfu ana nguvu kuliko alivyokuwa hai. Bado naomboleza kifo cha huyu shujaa wetu, nitaomboleza mpaka siku nikifa.
 
JPM alisingiziwa mabaya mengi sana, nadhani mnajionea vile JPM anaendelea kuteka na kuua watu huku yeye akiwa mfu 😂
Unajua maana ya precedence? Yaani ukianzisha kitu na wengine wakiendeleza haifuti kuwa nawe ulifanya? Ni sawa kusema hukuiba pesa ofisini kisa tu kuna mtu alikuja baada yako naye akaiba pia!!
 
Magufuli akiww mfu ana nguvu kuliko alivyokuwa hai. Bado naomboleza kifo cha huyu shujaa wetu, nitaomboleza mpaka siku nikifa.
Ana nguvu ipi? Mbona wanaomtukana na kumkejeli mmewapa ugombea urais bila kupingwa!!
Huyo Mpina ndio walau anaonyesha kumuenzi ila anashughulikiwa na nyie mko kimya tu.

Watanzania Wanafiki sana
 
Unajua maana ya precedence? Yaani ukianzisha kitu na wengine wakiendeleza haifuti kuwa nawe ulifanya? Ni sawa kusema hukuiba pesa ofisini kisa tu kuna mtu alikuja baada yako naye akaiba pia!!
Enzi za JK hapakuwa na hizi mambo?
 
Rest in peace chuma. Itafika siku ndoto zako zitatimia, kuiona ile Tanzania jeuri, ile Tanzania yenye heshima, ile Tanzania watu wanaenda jumba jeupe kwa adabu. Ipo siku ipo siku
 
Rest in peace chuma. Itafika siku ndoto zako zitatimia, kuiona ile Tanzania jeuri, ile Tanzania yenye heshima, ile Tanzania watu wanaenda jumba jeupe kwa adabu. Ipo siku ipo siku
 
Baba Magufuli pumzika Baba, pumzika kwa maana wewe umtimiza ule usemi "Kuliko ishi pasipo maneno yana ishi basi ni bora kulala ukiacha maneno yatakayo ishi kizazi hata kizazi.

Baba wapo wanao haha kukufuta ktk history kwa nguvu zote ila hawajuwi Mungu alikupa siku chache kulitawala Taifa ili kulifungua milele.

Baba umeishi maneno yako, umeishi kama iwapasavyo wafalme na watawala kwa mkono wa chuma na dam ulisimama kulitetea Taifa lako Tukufu Tanzania. Kwa dam na maumivu ulilijenga Taifa ukaisahau familia yako na watoto ulisama imara kulijenga Taifa mpaka viumbe vya angani na baharini na nchi kavu vikakiri Tanzania kuna mwanaume alie enda jando la moto na dam.

Baba najuwa hakuna anayejuwa kile ulikisema na kile ulikiona kabla na baada ya kufa kwako. Ukweli utafichwa ila mtoto kutoka kabla dogo ila lenye nguvu atainuka nakulijenga sanamu kuenzi mchango wako ktk Tanzania ya Magufuli na mwl Nyerere.

Baba umelala na hatutokusikia ila umeacha miale ya moto ya kulifia taifa kwa maelfu na mamilioni ya vijana nawaona vijana imara ktk kila idara nyeti za Taifa watakao sema this is enough.

Watanzania na hasa wabara tunasema asante asante Baba asante baba tunalia tunalia tunakulia Baba nakusema kama ungekuwepo hatujuwi nini kingetukia.

Baba unachafulia unanangwa hata na wale walijifanya wanakukubali ila tunajuwa haki yako una ililia mpaka itakapo timia haki yako itapatikana hata ukiwa makaburi ili dunia na ulimwengu ujifunze kwa Tanzania. Wajapo kupaka rangi mbaya watanzania bado wataona Lulu, wajapo chafuwa jina lako watanzania wataona manukato mazuri ya ajabu..

Wameibuka na vitabu na kila aina yamaneno ila bado watanzania hasa tabaka la kati na chini wanasema Mungu kwanini ulimchukua japo ndio mapenzi yake.

Baba haki yako italetwa na wa Tanzania haki yako Mungu ataisimamia.

Dam ilimwagika ila yote ni siri ya kata maana hata wao bado wamo mule mule hatujuwi nani mbaya ila watanzania tumemuachia Mungu maana huwezi kuwa mtawala dam isimwagike na hiyo ni siri ya Mungu na fumbo kwetu wanadam.

Baba umelala ila huku duniani hujalala huko Marekani nikama wana copy na ku pest kazi zako... tangu dunia kuumbwa na marekani wanaondoa wafanyakaz hewa, tangu dunia kuumbwa wamarekani wanasitisha misaada kwa africa jambo uliliona, kwa mara ya kwanza huko marekani wameunda kitu kinaitwa measuring goverment efficiency yaani baba wewe ni genius basi tu Mungu kakupenda zaidi.

Baba umeacha miale ya moto na Tanzania mpya inakuja kwa wajukuu na watoto wako.
Baba pumzika bab pumzika wewe unaishi wewe unaishi japo hatukuoni ila waishi ndani yetu. Amen
Ndio hasara ya kumfanya mtu godfather wako 😁😁
 
Baba Magufuli pumzika Baba, pumzika kwa maana wewe umtimiza ule usemi "Kuliko ishi pasipo maneno yana ishi basi ni bora kulala ukiacha maneno yatakayo ishi kizazi hata kizazi.

Baba wapo wanao haha kukufuta ktk history kwa nguvu zote ila hawajuwi Mungu alikupa siku chache kulitawala Taifa ili kulifungua milele.

Baba umeishi maneno yako, umeishi kama iwapasavyo wafalme na watawala kwa mkono wa chuma na dam ulisimama kulitetea Taifa lako Tukufu Tanzania. Kwa dam na maumivu ulilijenga Taifa ukaisahau familia yako na watoto ulisama imara kulijenga Taifa mpaka viumbe vya angani na baharini na nchi kavu vikakiri Tanzania kuna mwanaume alie enda jando la moto na dam.

Baba najuwa hakuna anayejuwa kile ulikisema na kile ulikiona kabla na baada ya kufa kwako. Ukweli utafichwa ila mtoto kutoka kabla dogo ila lenye nguvu atainuka nakulijenga sanamu kuenzi mchango wako ktk Tanzania ya Magufuli na mwl Nyerere.

Baba umelala na hatutokusikia ila umeacha miale ya moto ya kulifia taifa kwa maelfu na mamilioni ya vijana nawaona vijana imara ktk kila idara nyeti za Taifa watakao sema this is enough.

Watanzania na hasa wabara tunasema asante asante Baba asante baba tunalia tunalia tunakulia Baba nakusema kama ungekuwepo hatujuwi nini kingetukia.

Baba unachafulia unanangwa hata na wale walijifanya wanakukubali ila tunajuwa haki yako una ililia mpaka itakapo timia haki yako itapatikana hata ukiwa makaburi ili dunia na ulimwengu ujifunze kwa Tanzania. Wajapo kupaka rangi mbaya watanzania bado wataona Lulu, wajapo chafuwa jina lako watanzania wataona manukato mazuri ya ajabu..

Wameibuka na vitabu na kila aina yamaneno ila bado watanzania hasa tabaka la kati na chini wanasema Mungu kwanini ulimchukua japo ndio mapenzi yake.

Baba haki yako italetwa na wa Tanzania haki yako Mungu ataisimamia.

Dam ilimwagika ila yote ni siri ya kata maana hata wao bado wamo mule mule hatujuwi nani mbaya ila watanzania tumemuachia Mungu maana huwezi kuwa mtawala dam isimwagike na hiyo ni siri ya Mungu na fumbo kwetu wanadam.

Baba umelala ila huku duniani hujalala huko Marekani nikama wana copy na ku pest kazi zako... tangu dunia kuumbwa na marekani wanaondoa wafanyakaz hewa, tangu dunia kuumbwa wamarekani wanasitisha misaada kwa africa jambo uliliona, kwa mara ya kwanza huko marekani wameunda kitu kinaitwa measuring goverment efficiency yaani baba wewe ni genius basi tu Mungu kakupenda zaidi.

Baba umeacha miale ya moto na Tanzania mpya inakuja kwa wajukuu na watoto wako.
Baba pumzika bab pumzika wewe unaishi wewe unaishi japo hatukuoni ila waishi ndani yetu. Amen
Jiwe alikuww mtu katili sana, aendelee kuteseka huko aliko
 
Baba Magufuli pumzika Baba, pumzika kwa maana wewe umtimiza ule usemi "Kuliko ishi pasipo maneno yana ishi basi ni bora kulala ukiacha maneno yatakayo ishi kizazi hata kizazi.

Baba wapo wanao haha kukufuta ktk history kwa nguvu zote ila hawajuwi Mungu alikupa siku chache kulitawala Taifa ili kulifungua milele.

Baba umeishi maneno yako, umeishi kama iwapasavyo wafalme na watawala kwa mkono wa chuma na dam ulisimama kulitetea Taifa lako Tukufu Tanzania. Kwa dam na maumivu ulilijenga Taifa ukaisahau familia yako na watoto ulisama imara kulijenga Taifa mpaka viumbe vya angani na baharini na nchi kavu vikakiri Tanzania kuna mwanaume alie enda jando la moto na dam.

Baba najuwa hakuna anayejuwa kile ulikisema na kile ulikiona kabla na baada ya kufa kwako. Ukweli utafichwa ila mtoto kutoka kabla dogo ila lenye nguvu atainuka nakulijenga sanamu kuenzi mchango wako ktk Tanzania ya Magufuli na mwl Nyerere.

Baba umelala na hatutokusikia ila umeacha miale ya moto ya kulifia taifa kwa maelfu na mamilioni ya vijana nawaona vijana imara ktk kila idara nyeti za Taifa watakao sema this is enough.

Watanzania na hasa wabara tunasema asante asante Baba asante baba tunalia tunalia tunakulia Baba nakusema kama ungekuwepo hatujuwi nini kingetukia.

Baba unachafulia unanangwa hata na wale walijifanya wanakukubali ila tunajuwa haki yako una ililia mpaka itakapo timia haki yako itapatikana hata ukiwa makaburi ili dunia na ulimwengu ujifunze kwa Tanzania. Wajapo kupaka rangi mbaya watanzania bado wataona Lulu, wajapo chafuwa jina lako watanzania wataona manukato mazuri ya ajabu..

Wameibuka na vitabu na kila aina yamaneno ila bado watanzania hasa tabaka la kati na chini wanasema Mungu kwanini ulimchukua japo ndio mapenzi yake.

Baba haki yako italetwa na wa Tanzania haki yako Mungu ataisimamia.

Dam ilimwagika ila yote ni siri ya kata maana hata wao bado wamo mule mule hatujuwi nani mbaya ila watanzania tumemuachia Mungu maana huwezi kuwa mtawala dam isimwagike na hiyo ni siri ya Mungu na fumbo kwetu wanadam.

Baba umelala ila huku duniani hujalala huko Marekani nikama wana copy na ku pest kazi zako... tangu dunia kuumbwa na marekani wanaondoa wafanyakaz hewa, tangu dunia kuumbwa wamarekani wanasitisha misaada kwa africa jambo uliliona, kwa mara ya kwanza huko marekani wameunda kitu kinaitwa measuring goverment efficiency yaani baba wewe ni genius basi tu Mungu kakupenda zaidi.

Baba umeacha miale ya moto na Tanzania mpya inakuja kwa wajukuu na watoto wako.
Baba pumzika bab pumzika wewe unaishi wewe unaishi japo hatukuoni ila waishi ndani yetu. Amen
Amina, pumzika baba.
 
Jembeee sana magufuli ,ila miradi uliyoicha mama anaisimamia kikamilifu na kwaspeed ,hongera sana chief hangaya
 
Rest in peace chuma. Itafika siku ndoto zako zitatimia, kuiona ile Tanzania jeuri, ile Tanzania yenye heshima, ile Tanzania watu wanaenda jumba jeupe kwa adabu. Ipo siku ipo siku
Hakuwa na hiyo ndoto otherwise angekubali mabadiliko ya katiba ya warioba ili kuongeza uwajibikaji wa viongozi. No wonder wabunge alioteua yeye na makamu wa Rais aliyemteua yeye wamekua dissapointment.
 
Back
Top Bottom