1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Awamu zote umeme ni kisanga,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linauwa watu kuna ndugu yako aliwahi kumuuwa..?!Bora haya yanayotokea sasa kuliko mambo ya hovyo lililoyafanya lile jini lenu.
Lile jini lenu lilikuwa:-
1. Linaua watu.
2. Linateka watu
3. Linapiga watu risasi.
4. Linapora fedha za watu.
Yaani hata sukari iuzwe shilingi milioni 3 kwa kilo, kamwe sitokaa nilikumbuke jibwa lile.
Huko liliko life tena.
Maswali ya kijinga kuwahi kuulizwa ktk karne hiiLinauwa watu kuna ndugu yako aliwahi kumuuwa..?!
Watu waliotekwa aliwahifadhi wapi ndugu NAZI
Lina piga watu risasi kwa kutumia silaha aina gani muda huo ukiwa wapi anafanya tukio hilo..?!
Huo uporaji wa fedha aliufanya kwenye nyumba ya nani...?
Kwa Hali ya umeme nchini kwasasa na udhaifu wa serikali hii. Magufuli utabaki kuwa shujaa na mahiri katika mioyo ya Watanzania.
1. Umeme Shida
2. Sukari Shida.
3. Wenye pesa wanafanya chochote.
4. Miradi imekwama.
5. RUSHWA na ufisadi Hadi kinyaa
6. Serikali imekuwa ya anasa.
7. Kila kitu kimepanda bei zaidi ya maradufu
We miss u uncle,
Come back please in 2025
ccm wote ni takataka tu. Hakuna hata mmoja mwenye unafuu.Kwa Hali ya umeme nchini kwasasa na udhaifu wa serikali hii. Magufuli utabaki kuwa shujaa na mahiri katika mioyo ya Watanzania.
1. Umeme Shida
2. Sukari Shida.
3. Wenye pesa wanafanya chochote.
4. Miradi imekwama.
5. RUSHWA na ufisadi Hadi kinyaa
6. Serikali imekuwa ya anasa.
7. Kila kitu kimepanda bei zaidi ya maradufu
We miss u uncle,
Come back please in 2025
Sio kosa lako,shida ni ule utepetevu na ulojolojo wa fikra na akili zako.Bora haya yanayotokea sasa kuliko mambo ya hovyo lililoyafanya lile jini lenu.
Lile jini lenu lilikuwa:-
1. Linaua watu.
2. Linateka watu
3. Linapiga watu risasi.
4. Linapora fedha za watu.
Yaani hata sukari iuzwe shilingi milioni 3 kwa kilo, kamwe sitokaa nilikumbuke jibwa lile.
Huko liliko life tena.
Utasumbuka na watu wspumbavu.hao wanavisa vyao,Linauwa watu kuna ndugu yako aliwahi kumuuwa..?!
Watu waliotekwa aliwahifadhi wapi ndugu NAZI
Lina piga watu risasi kwa kutumia silaha aina gani muda huo ukiwa wapi anafanya tukio hilo..?!
Huo uporaji wa fedha aliufanya kwenye nyumba ya nani...?
Magufuli alikuwa na nyenzo, madaraka na muda wa kubadilisha ili haya yanayotokea sasa hivi yasitokee tena lakini akapuuza. Kosa ni lake.Kwa Hali ya umeme nchini kwasasa na udhaifu wa serikali hii. Magufuli utabaki kuwa shujaa na mahiri katika mioyo ya Watanzania.
1. Umeme Shida
2. Sukari Shida.
3. Wenye pesa wanafanya chochote.
4. Miradi imekwama.
5. RUSHWA na ufisadi Hadi kinyaa
6. Serikali imekuwa ya anasa.
7. Kila kitu kimepanda bei zaidi ya maradufu
We miss u uncle,
Come back please in 2025
Kamfufuae huyo uncle wako uzikwe wewe.Kwa Hali ya umeme nchini kwasasa na udhaifu wa serikali hii. Magufuli utabaki kuwa shujaa na mahiri katika mioyo ya Watanzania.
1. Umeme Shida
2. Sukari Shida.
3. Wenye pesa wanafanya chochote.
4. Miradi imekwama.
5. RUSHWA na ufisadi Hadi kinyaa
6. Serikali imekuwa ya anasa.
7. Kila kitu kimepanda bei zaidi ya maradufu
We miss u uncle,
Come back please in 2025
Aendelee tu kuongua na moto kwa madhambi yake aliyoyafanya dhidi ya watanzania. Wanaomkumbuka kwa mazuri ruksa LAKINI wanaomkumbuka kwa mabaya nao lazima watoe nyongo yao.Kwa Hali ya umeme nchini kwasasa na udhaifu wa serikali hii. Magufuli utabaki kuwa shujaa na mahiri katika mioyo ya Watanzania.
1. Umeme Shida
2. Sukari Shida.
3. Wenye pesa wanafanya chochote.
4. Miradi imekwama.
5. RUSHWA na ufisadi Hadi kinyaa
6. Serikali imekuwa ya anasa.
7. Kila kitu kimepanda bei zaidi ya maradufu
We miss u uncle,
Come back please in 2025
Tutolee ujinga wako na yule mwehu wa chatoKwa Hali ya umeme nchini kwasasa na udhaifu wa serikali hii. Magufuli utabaki kuwa shujaa na mahiri katika mioyo ya Watanzania.
1. Umeme Shida
2. Sukari Shida.
3. Wenye pesa wanafanya chochote.
4. Miradi imekwama.
5. RUSHWA na ufisadi Hadi kinyaa
6. Serikali imekuwa ya anasa.
7. Kila kitu kimepanda bei zaidi ya maradufu
We miss u uncle,
Come back please in 2025
Hutapunguza wala kuongeza chochote kwa Makonda na umekaa kijinga sana Dada anguNenda kwenye mikutano ya Makonda makalio makubwa ukaulize hilo swali.