Nimekuwa kimya kwa siku mbili tatu ili kujipa muda kuifuatilia na kutafakari FILAMU inayochezwa na CAG akishirikiana na wanamapinduzi wanaopambana usiku na mchana kuifuta LEGACY ya MWAMBA HUYU KUTOKA CHATO...
Maeneo aliyopatia mno ni haya....
1. Kurejesha Nidhamu kwa Watumishi
2. Kutupa Ujasiri Watanzania
3. Kutuchangamsha Kifikra
4. Kujituma kwa Maendeleo yetu
5. Kutuvumbua Wabongo tusiyoyajua
6. Kujiamini kwa Watanzania
7. Kukusanya Kodi kwa Uwingi
Maeneo aliyoharibu sana ni haya....
1. Ukabila wa wazi kwa Wasukuma
2. Ufisadi wa Kimkakati
3. Kuminya Uhuru wa Habari
4. Kuisigina Demokrasia ya Tanzania
5. Kukurupuka katika Miradi mingi
6. Kutoheshimu Professionalism
7. Visasi na Ukatili wa Kimakusudi
Hivyo Kwangu nampa tu 50 / 50 pekee.