Hayati Magufuli ni Thomas Sankara wa Tanzania. Atakumbukwa kwa kufanya makubwa ndani ya muda mfupi

Hayati Magufuli ni Thomas Sankara wa Tanzania. Atakumbukwa kwa kufanya makubwa ndani ya muda mfupi

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
 
Ukisema alifafana na kila kitu unakosea je walifanana kwa sura, elimu, sema baadhi ya mambo.
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
Acha kumtukanisha Thomas Sankara wewe pimbi. Huwezi kumfananisha mwizi wa raslimali za Tanzania na Thomas Sankara.

Sankara hakuwa mwizi wala mwongo Wala alikuwa haui wapinzani kama Magufuli
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.

Tom sankara was different breed si wa kulinganishwa na yoyote.
 
Acha kumtukanisha Thomas Sankara wewe pimbi. Huwezi kumfananisha mwizi wa raslimali za Tanzania na Thomas Sankara.

Sankara hakuwa mwizi wala mwongo Wala alikuwa haui wapinzani kama Magufuli
Pumbavu mavi wewe
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
Yaani mtu aliyefanya mambo nakubwa hivyo unamuelezea kwa mistari miwili tu.
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
Ila Sankara halikuwa muuaji ...munaka midamu yawatu kupindukia....achana kufananisha takataka na Thomas kenge wewe.
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
MARA NI kama NYERERE MARA NI SANKARA MWISHO MTASEMA NI MUNGU
Magufuli hafanani na yeyote yule Sankara na Nyerere Walikuwa WAZALENDO wa Kweli hawakupeleka Fedha za Walipa kodi China
 
Back
Top Bottom