Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.
Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.