Hayati Magufuli ni Thomas Sankara wa Tanzania. Atakumbukwa kwa kufanya makubwa ndani ya muda mfupi

Hayati Magufuli ni Thomas Sankara wa Tanzania. Atakumbukwa kwa kufanya makubwa ndani ya muda mfupi

MARA NI kama NYERERE MARA NI SANKARA MWISHO MTASEMA NI MUNGU
Magufuli hafanani na yeyote yule Sankara na Nyerere Walikuwa WAZALENDO wa Kweli hawakupeleka Fedha za Walipa kodi China
Ukiulizwa ushahidi wa China uko nao!? Au na wwe ni walewale wa kulalamika tu!!?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
Nani akumbuke muhaji mkubwa huyu
 
Acha kumtukanisha Thomas Sankara wewe pimbi. Huwezi kumfananisha mwizi wa raslimali za Tanzania na Thomas Sankara.

Sankara hakuwa mwizi wala mwongo Wala alikuwa haui wapinzani kama Magufuli
Mimi kwa niaba ya Watanzania wote niiombe radhi familia ya Thomas Sankara kwa Mtanzania mwenzetu Muuza Kangala ambaye kutokana na matatizo pengine ya kiafya amemfananisha Marehemu Sankara na vitu vya ajabu.
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
Thomas Sankara hakuwa mwizi!
 
Atakumbukwa vyema na familia za akina Azori Gwanda,Ben Saanane, Eric Kabendera,Kanguye na wengineo kwa wema aliowatendea.
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
Magufuli atakumbukwa sana kwa kuwalinda waliompiga Lisu mabomu na wale wote waliopora ushindi wa vyama vya upinzani 2020.
 
Tatizo kubwa la wazalendo wa Afrika ni kudhani wao tu ndo wenye akili kuliko wananchi wengine na kuishia kutesa wananchi wao. Wote hao kina Sankara, Mugabe, Idd Amin, JPM, Abdel Nasser na wengine.. walikuwa viongozi wababe sana na kujiona wao ndo kila kitu. Matokeo yake waliishia pabaya.
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
Katika kulinda maslahi ya umma je ni pamoja na fedha za plea bargain?🤔
 
Mada ya;
kiwendawazimu!
kipuuzi!
ushenzi!
Ujinga mtupu!
Anyaway, Mungu mkubwa aliamua kutuokoa wa Tz
 
Mimi kwa niaba ya Watanzania wote niiombe radhi familia ya Thomas Sankara kwa Mtanzania mwenzetu Muuza Kangala ambaye kutokana na matatizo pengine ya kiafya amemfananisha Marehemu Sankara na vitu vya ajabu.
Kweli Mkuu vijana hawasomi historian wakuvuta bangi na kula makande ndiyo wanachukua vitu vya hovyo na kuvifananisha na watu wenye heshima zao.
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
Naomba nichukue aya ya mwisho!
Alidhibiti au alihakikisha:?
Jibu Ni kwamba alihakikisha uoatikanaji wa mapato kwa njia yoyote haramu na halali ili awafurahishe wasioweza kufikiri na kujua athari zake
-Plea Bargaining
-Ujambazi wa kidola (kuna watu wengi walifungiwa account zao na hela kuchukuliwa licha ya kutoa maelezo namna gani walizipata fedha hizo)
-Aliunda Task force au kikosi kazi kilichotumika kupora kweenye maduka pamoja na bureau de-change (Bwana Sabaya alikiri mahakamani kwaba ujambazi wakes alifanya kwa maelekezo ya mamlaka iliyomteua) hali iliyofanya HAI ikapanda chati katika ukusanyaji mapato mpaka nafasi ya sita Jambo ambalo lilifanya Mbowe aonekane fala utadhani Mbowe alikua na dhamana ya kukusanya Kodi au alikua mkuu wa wilaya!
-Alikopa fedha kwa Siri kwenye mabenk ya biashara Tena ya ribs kubwa bila kulijulisha bunge mpaka IMF na world Bank wakamuandikia barua atoe maelezo na pamoja hatari kwenye uchumi kutokana na madeni anayotengeneza kwa siri! Huku akitudanganya Ni fedha za ndani.
-Alitengeneza na kuuza vitambulisho vya machinga akakusanya hela ambazo mpaka Leo hii Mimi na wewe hatujui ni Tsh Ngapi na zilitumika wapi na kwa maana hiyo zilikua zake!
-Report ya CAG ikaonesha zimekusanywa 1.5 trillion lakini hazijulikani au hazionekani (pole pole akawa mwalimu wetu) zilipotumika, na CAG akafukuzwa kazi Mara moja baada ya kuliweka Hilo wazi! Mahakama imethibitisha Hilo kupitia kesi aliyofungua ZITO
-MO DEWJ aliachiwa kwa ransom ilivyotolewa ambayo Mimi na wewe hatuzijui ! ...ndio Mana case closed completely!
Baba akitumia vibaya fedha akawaletea mkate na nyama haihalalishi uovu wake!
 
Na katika hotuba yake ya kwanza alimtaja Thomas Sankara na kugusia kwa nini aliuawawa ila akasisitiza kwa namna ya kipekee kuwa yeye haogopi kuuawa kwa ajili ya nchi yake.
 
Wale ambao wana chuki na waliofanikiwa iwe kiuchumi au vyovyote na kuwaona ndio maadui zao na kwamba wao ndio wanaosababisha umasikini walionao ndio waliokuwa wakifurahia na kumuona shujaa na mzalendo kwa kuwaua,kuwatesa kwa kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi na kisha kuwapora pesa zao.
 
Wanasiasa wawe wanyenyekevu pale wanaposhika madaraka na wasijione wao ni miungu watu kwani kuna kufa na kuachia madaraka pindi pale aliyekupa madaraka ikatokea amekufa au amemaliza muda wake wa uongozi utaishia kuruka ruka kama ndege kwa kukosa amani huku wakati wote ukihisi unawindwa.
 
Thomas Sankara wa Bukinabe ambaye leo hii mabaki yake yamezikwa upya kwa heshima ya kijeshi ni kiongozi bora kuwahi kupatikana barani Afrika. Alifanya makubwa kwa taifa lake. Alipigania maslahi ya wanyonge na kulinda rasilimalinza taifa lake.

Kwa Tanzania ni hayati Magufuli pekee aliyefanya kama Thomas Sankara. Alidhibiti upatikanaji wa mapato na kuhakikisha mali za umma zinatumika vyema. Kwa miaka mitano tu alionyesha makubwa. Hii ni sababu alifanana kwa kila kitu na Thomas Sankara.
Kutakuwa na mapungufu katika taarifa zako ; Thomas wa watu kupigwa risasi, kuuwawa hovyo na kupotezwa?
 
Back
Top Bottom