Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Kama ni Nchi aliyokuwapo Barozi CHAKUBANGA,Sina neno.
Kila shetani na mbuyu wake.

So,hapa hakuna maprofesor.

Wale waliotolewa majalalani nao sio Maprofesor au ni Maprofesseli.

Khahahahaha,nacheka kwa sauti huku,shuleni ambapo kina Madawati ila Walimu hakuna.
 
f6d8ecd37c0eccec75395354eaa67ccb.jpg
 
Hakuna nchi yoyote Duniani iliyoandika kitabu. Kama Malawi umefanya hivyo itakuwa nchi ya kwanza duniani.. Ila mwanazuoni wa nchi yoyote anaweza kuandika kitabu on an event in any country na akapublish.
Kwa Malawi tunajua yule Balozi tapeli mtetea legacy mfu alipokuwa Balozi nchini Malawi aliwanunua wanataaluma wenye njaa kali pale Malawi waandike hicho mnachosema ili kuonesha legacy is real. Wenye akili wanajua hamna kitu isipokuwa utapeli.
Amazing crap. Where do you get time?
 
Nawe jamaa nawe! Kwa hiyo kati ya huyo Mnyasaland na sisi wabongo nani ameteswa sana na wasiojulikana? Hicho kitabu kimegusia ni kwa nini Lissu alipigwa risasi ktk utawala wa huyo mtu wako?
Kitanda usichikilalia hujui kunguni wake. Over.
Kisome, ufanye tafakuri.
 
Kwahiyo ndo kazi polepole alienda kufanya hivyo hadi akatenguliwa Malawi na kupelekwa Cuba?

Yaani balozi nzima na akili zako unaenda malawi kushinikiza kiandikwe kitabu ili ionekane Kuwa mwendazake ni shujaa wa Africa nzima?

Ndo maana alibadilishwa fastaa akapelekwa Cuba sasa ngoja tuone huko Cuba kama ataenda kulazimishwa tena ajenda ya kumpublish mwendazake ili ionekane kuwa anakubalika hadi Cuba?

Bado wanahangaika hawa SukumaGang kumpa umaarufu huyo mfu ambaye hakua na faida yoyote kwa taifa!!Sijui ilikuaje yule mwehu akawa Rais wa nchi hii?

Yaani zile kiki za awamu ya 5 polepole ndo anadrive hadi kuandaa mipango kitabu kiandikwe huko malawi kwa mashinikizo ili eti mwendazake aonekane shujaa na alikua anakubalika kumbe ni kiki tu
Utakufa shauli yako.legacy Iko afrika sasaivi sio Ile ya waandishi Iko kinondoni Bado mpaka sasaivi, kudadadeki
 
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Malawi juzi juzi tumewapelekea mahindi na ela ya kusambaza na kusaga
 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Ni matumizi mabaya ya muda na akili kusoma takataka.
 
Hakuna nchi yoyote Duniani iliyoandika kitabu. Kama Malawi umefanya hivyo itakuwa nchi ya kwanza duniani.. Ila mwanazuoni wa nchi yoyote anaweza kuandika kitabu on an event in any country na akapublish.
Kwa Malawi tunajua yule Balozi tapeli mtetea legacy mfu alipokuwa Balozi nchini Malawi aliwanunua wanataaluma wenye njaa kali pale Malawi waandike hicho mnachosema ili kuonesha legacy is real. Wenye akili wanajua hamna kitu isipokuwa utapeli.
Chuki ya nini Kati yangu Mimi na wewe
Sina makosa
Wataka kuniua bure
Sina makosa eeh
We bwana

Asee Kuna watu wana chuki mpaka na mtu aliekwisha kufariki mda mrefu yaan chuki itashika mimba na itazaa dhambi
 
Yaani upate zero alafu uwe na akili yule ni kiazi
Zero ni namba tu sio kila anaepata 1 au 2 ni kichwa wengine ni mafundi wa kukariri kichwani hana kitu ukiondoa kile alichokariri, bado haujaelewa?
 
Back
Top Bottom