Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Hayati Magufuli pamoja na kuwa hatunae, Malawi wameandika kitabu kuenzi kazi zake

Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Hivi ndio vitabu vya kununua sasa 😍😍
 
Kama ambavyo mliwanunua kina Ngurumo,Navile Meena, Jesse Kwayu,na kitabu kikawadodea kinoma

Yaani ukitafuta hayo majina kwenye professional writers huwezi mkuta hata mmoja. Hamna hata mmoja kati ya majina hayo aliyewahi ku publish paper yoyote kwenye majarida ya kitaalam.
 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Uadilifu wa mwandishi unaweza kutoa changamoto juu ya Credibility ya andiko lake
 
Ongelea mataifa yenye akili. Should not think as low as the ones you are reference is. Understand?!
Wewe Mwehu Malawi kwenye Demokrasia wametuacha mbali sana!
Kwaiyo Wana akili,raia wake wanajitambua siyo sisi Watanzania tumelala.
 
Nchi nyingi zinaamini Magufuli aliuliwa na wazungu.

Juzi kati nilikuwa South Sudan, hawaamini kabisa kwamba alikufa tu hivihivi.
Aliyemuua Magufuli anajulikana,ni suala la muda tu,atamfuata!
 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Hapana ngoja tusome cha Professor maana huwa hawaandiki upuuzi kama wakina Kibanda na wenzake.
 
Hakuna nchi yoyote Duniani iliyoandika kitabu. Kama Malawi umefanya hivyo itakuwa nchi ya kwanza duniani.. Ila mwanazuoni wa nchi yoyote anaweza kuandika kitabu on an event in any country na akapublish.
Kwa Malawi tunajua yule Balozi tapeli mtetea legacy mfu alipokuwa Balozi nchini Malawi aliwanunua wanataaluma wenye njaa kali pale Malawi waandike hicho mnachosema ili kuonesha legacy is real. Wenye akili wanajua hamna kitu isipokuwa utapeli.
Wewe Mwehu,Wamalawi wanajitambua,mmezoea kununuliwa basi mnafikiri kila mtu ananunulika.
 
Hakuna nchi yoyote Duniani iliyoandika kitabu. Kama Malawi umefanya hivyo itakuwa nchi ya kwanza duniani.. Ila mwanazuoni wa nchi yoyote anaweza kuandika kitabu on an event in any country na akapublish.
Kwa Malawi tunajua yule Balozi tapeli mtetea legacy mfu alipokuwa Balozi nchini Malawi aliwanunua wanataaluma wenye njaa kali pale Malawi waandike hicho mnachosema ili kuonesha legacy is real. Wenye akili wanajua hamna kitu isipokuwa utapeli.

Mkuu mbona unaumia sana. Magu alikuwa mtu pouwa sana
 
Wakati team visasi mkihangaika na kupigana na Marehemu!
Wakati team visasi mkiwa bado msibani kwa kinara wa visasi!

Wenzenu wasomi wa ukweli nchini Malawi, wanamuenzi kwa kumzindulia kitabu chake chenye hadhi ya kimataifa
Tarehe-9-June 2023.

Na sio ule uchafu wa Kibanda na genge la wasakatonge wenzake!
Huku ndio kutambulika kimataifa,sio kwa kuiuza nchi Dubai.

Aibu ingine hii kwenu wasakatonge wachumia tumbo wa kibongo!
Nimemaliza mengine picha itajieleza!View attachment 2633825
Mkuu nimemsikia Mpina anasema kuna mkataba wa Kimangungo ambao Serikali ya Samia inataka kuingia na Dubai kuendesha Bandari yetu amabapo inaonekana Mwarabu ndiyo atakuwa na sauti.Mpina anasema ni intergovernmental Agreement na siyo kama ule wa PPP Agreement kati TICTS na TPA.Hii imekaaje!!
 
Professor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA

View attachment 2633658
Subiria majibu ya misukule ya malidhiano
 
Kilipoandikwa na watanzania kuonesha mapungufu yake kiliitwa kipeperushi. Ukipenda kusifiwa upende na kukosolewa
Tusome pia IAM THE STATE Kitabu cha wahariri wetu toka kwetu
Wahariri wenu kumbe someni
 
Hapana ngoja tusome cha Professor maana huwa hawaandiki upuuzi kama wakina Kibanda na wenzake.
Ungeainisha upuuzi wa kina meena kwenye kitabu chao kwa ama kuandika cha kwako/ kujibu hoja za andiko lao au kukisoma na kufafanua basi
Vinginevyo unaangukia kwenye lile kundi la wajinga wq kihalaiki tu.
 
Back
Top Bottom