Aliuliwa na MUNGU BABA kwa ajili ya ukatili wakeNchi nyingi zinaamini Magufuli aliuliwa na wazungu.
Juzi kati nilikuwa South Sudan, hawaamini kabisa kwamba alikufa tu hivihivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliuliwa na MUNGU BABA kwa ajili ya ukatili wakeNchi nyingi zinaamini Magufuli aliuliwa na wazungu.
Juzi kati nilikuwa South Sudan, hawaamini kabisa kwamba alikufa tu hivihivi.
Tumesoma cha "I am the state " kilichoandikwa na wazalendo wa Tanzania wanaomjua wizi wake alipokuwa anapeleka rasilimali za taifa bila ridhaa na kibali cha bunge ChatoProfessor Malango Chinthenga. Ameandika kitabu kinachojulikana AFRICA MAGUFULI and CHANGE sasa wale Haters/ant- Magufuli mnalo, Legacy ya Magufuli sio Tanzania tu bali Africa nzima na Dunia kwa ujumla huyu mwamba wanamtambuq kwamba Tanzania ilipata Rais Mzalendo na mwana wa Africa aliyependa Nchi yake na watu wake. RIP BABA
View attachment 2633658
Shenji kawaTumesoma cha "I am the state " kilichoandikwa na wazalendo wa Tanzania wanaomjua wizi wake alipokuwa anapeleka rasilimali za taifa bila ridhaa na kibali cha bunge Chato
Unaweza ukaandika page 800 zikawa pumba tu na mwingine akaandika page 100 tu zikawa moto.Mkuu umeona lakini kitabu kilivyoshiba kurasa.Siyo kile kipeperushi cha akina Kibanda!
Umesahau 1)cost ya kitabu 2)cost ya scanning to pdf 3)cost ya storage kwenye server unapowania kudandia.adili2, Nitadownload kwa mb zangu sio free wifi bob upo apo
Membe akafa kwa kirusi kidogo tuAliyeua kwa upanga alikufa kwa covd hahaha
Rais Museveni nae ametubu kwa MagufuliUjinyonge kwaajili ya MFU? hahahaha
Ok, tafuta ununue mi nasubiria soft copy.Umesahau 1)cost ya kitabu 2)cost ya scanning to pdf 3)cost ya storage kwenye server unapowania kudandia.
Miseven ni dictator wa zama zetu. Anamsifia dictator mwenzoe .Rais Museveni nae ametubu kwa Magufuli
dictator anamsifia dictatorRais Museveni nae ametubu kwa Magufuli
Tusisahau vilevile kuna Professor mashuhuri wa UDSM alidiriki kujtangaza kuwa aliokotwa kutoka jalalani(UDSM?) na hata kufikia kumtambulisha JPM kama "mheshimiwa mungu" Kwa hiyo kwamba Professor wa huko Malawi ndiyo ameandika hicho kitabu is not an important issue.(The power of money transcends intellectual borders)Hakuna nchi yoyote Duniani iliyoandika kitabu. Kama Malawi umefanya hivyo itakuwa nchi ya kwanza duniani.. Ila mwanazuoni wa nchi yoyote anaweza kuandika kitabu on an event in any country na akapublish.
Kwa Malawi tunajua yule Balozi tapeli mtetea legacy mfu alipokuwa Balozi nchini Malawi aliwanunua wanataaluma wenye njaa kali pale Malawi waandike hicho mnachosema ili kuonesha legacy is real. Wenye akili wanajua hamna kitu isipokuwa utapeli.
Kwani yule aliyepata kazi kwa kuwa alikuwa anashabaha.Huyo Magu kawafanyia nini hadi wamwandike?!
Aha!Lakini wanaomchukia zaidi sio wa kutoka Chadema 😅🙏
Au kotekote tu zipo !Aha!
Wapo Mabwana ya CHADEMA au niseme Mifadhili yao
....wanatumia mgongo wa UChadema.
Hatahivyo, korokoro hizi za upandikizi wa Chuki zimeanzia CHADEMA
Keep on waiting!Ok, tafuta ununue mi nasubiria soft copy.