Hayati Magufuli (R.I.P), Hivi Aliwezaje kufanya yote haya?

🤣🤣🤣🤣.
Embu fuatilia historia ya JK. Usimdharau yule mzee.

Halafu Hawezi kukaaa akala pension, nchi inamtegemea sana sasa hivi si unajua ndiye mstaafu hai mwenye nguvu aliyepo.
Alikosa nguvu akiwa rais wanna CCM wakamwimbia tunaimani na Lowassa,leo nyuma ya pazia ataweza?
Tatizo mtu akiwa Hana uwezo yeye huwa hajui.
 
Legacy ya Mzee ipo chapter ya ngapi? - tunaisubiri.
 
huyu baba baada ya kuiba uchaguzi kwa 100% sikuwa na hamu naye kabisa, bora uibe pesa haiumi sana kuliko kuiba haki.
 
Ndio maana hakumaliza awamu zote ...

Huwezi ishi kwenye hii dunia kipumbavu namna hio ...

Lazima uondolewe tu ,wewe ni Nani hasa kwenye hii dunia ya damu na jasho[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Kwa hiyo mlimuua? Siku zote damu ya binadamu huwa haiendi bure na nyie mtakufa kifo kibaya zaidi.
 
Matumizi mabaya ya Madaraka kunyamazisha na kudhalilisha watu

Ila Mungu Mkali sana
Alhamdullilah
 
JPM alikuwa pale kwa masilahi mapana ya Watanzania wengi, siyo masilahi ya wanasiasa wachache.

Hayo yote uliyoyataja ni masilahi ya wanasiasa wachache whom hawakumweka madarakani wala hakuwa pale kwa manufaa yao.

You are just proving his being man of the people.
 
Ndio maana hakumaliza awamu zote ...

Huwezi ishi kwenye hii dunia kipumbavu namna hio ...

Lazima uondolewe tu ,wewe ni Nani hasa kwenye hii dunia ya damu na jasho[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
wala usiwaze sana mkuu maana we mwenyewe lazima uondolewe wala sio ombi
 
Kilaza ni aliyeibiwa 1.5T na asijue mpaka sasa iliko.
Ila jamaa alikuwa laana kwa Tanzania, kuongoza familia tu alishindwa eti akataka kuwa mpaka kiongozi wa malaika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila jamaa alikuwa laana kwa Tanzania, kuongoza familia tu alishindwa eti akataka kuwa mpaka kiongozi wa malaika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa alikuwa kiongozi bora wa wakati wetu! Apumzike kwa amani mbinguni.
 
Alikosa nguvu akiwa rais wanna CCM wakamwimbia tunaimani na Lowassa,leo nyuma ya pazia ataweza?
Tatizo mtu akiwa Hana uwezo yeye huwa hajui.
Hakukosa nguvu na alijua hilo suala aliaddress vipi na amtumie nani sababu anaowaongoza hawakumuogopa wakawa wanafunguka wanalotaka kwa kumuimbia.

Kutokuimba tuna imani na Lowasa haimaanishi kuwa imani haipo. Unadhani wangenyamaza kwa kumuhofia ndo ingemaanisha hawana imani na Lowasa?

Mtu anayeogopwa siku zote huangushwa kirahisi sana kwa sababu huzungukwa na wanafiki.
 
Propaganda na kuwatisha watu,hii nchi wakati mwingine ina mifumo ya hovyo yaani kinyago yoyote anaweza fanya lolote analojiskia,too bad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…