Hayati Magufuli (R.I.P), Hivi Aliwezaje kufanya yote haya?

Hayati Magufuli (R.I.P), Hivi Aliwezaje kufanya yote haya?

Wa kikwete nafuu anagalau tulipiga makelele vifurushi vingine vikamwagika. Si unajua ukimkimbiza mwizi kwa mayowe. Hata akifikisha furushi lake lakini kalifanyia kazi kweli kweli
Ooh kumbe! Sasa mkuu hayo mafurushi yaliyomwagika na lile furushi alilolifanyia kazi mwizi kwa kulifikisha limemnufaisha nani!?
 
Mpendwa wetu kivipi?
Baba ukimaanishaje??
Hakuogopwa yeye bali nguvu tulompa???
 
Hapo nazani umesema sifa za watu ambao walikuwa wanamnanga jpm..ambao ww ni mmojawapo...mwenye akili fupi kama karunguyeye..
Hakuna matata, nashukuru ujumbe umefika na kingine kikubwa umejibu kwa kujibainisha. Asante sana.
 
Nilipoona hiyo 7 nikajua kuwa unashawishiwa na mwelekeo ulionao

JPM alikuwa Katili lakini kiutendaji mpe sifa, huwezi kumlinganisha na mwizi Kikwete, nikisema mwizi ni mwizi kweli na nina evidence,

Kwan ni uongo kuhusu hiyo namba 7?ni uongo kuwa teuz za Magufuli zilikua na upendeleo wa kidini na hakuna aliemnyooshea kidole kama ilivyokawa kwa kikwete au kwa sasa Samia??

Kuhusu wizi,huo uthibitisho uko wap, nenda kamfufue basi kama unaweza
 
Kikwete umejitosa JF kujitetea?
Nchi ilikushinda mjomba,kaa tu ule pensheni.
Hata ukipewa urais Tena mziki wa sukumagang huuwezi,Labda ule wa fitina unaweza na kuuza sura Ulaya.
🤣🤣🤣🤣.
Embu fuatilia historia ya JK. Usimdharau yule mzee.

Halafu Hawezi kukaaa akala pension, nchi inamtegemea sana sasa hivi si unajua ndiye mstaafu hai mwenye nguvu aliyepo.
 
Kikwete umejitosa JF kujitetea?
Nchi ilikushinda mjomba,kaa tu ule pensheni.
Hata ukipewa urais Tena mziki wa sukumagang huuwezi,Labda ule wa fitina unaweza na kuuza sura Ulaya.
Yaani Kikwete uwa anaangaika speech zake toka Magufuli yupo ni kudai hiki nilianzisha mimi, Tatizo Kikwete aliona yeye ndo anapendeka, akapewa nchi ikamshinda kwa kuendekeza Urafiki na kujuana. Alio waweka wakamuangusha.

Kikwete alimchukia Nyerere hakumpenda toka Nyerere alipomkataa na kumweka Mkapa. Aliposhika madaraka akawafitini Nyerere Foundation, akina mzee Butiku. Ili aonekane yeye ni yeye. Hata hivyo hawa wazee wameuwa Nyerere foundation hatuoni wanafanya nini. Nao waachie madaraka kwa wengine wanataka kufa na Nyerere foundation?

Ndo maana kuna vita kubwa na Magufuli, mtu wa watu katangulia, lkn anavyotukanwa, utadhani wao hawatokufa. Utadhani wataishi milele. Kikwete bado hajaridhika.
Mie nitamke kueni makini Mungu ndiye ajuae kwa nini Magufuli ilikuwa aondoke mapema. Msidhani ndo upande wa Kikwete mmeshinda! Chochote chaweza tokea.

Magufuli anatajwa wizi, lakini hawaweki wazi kaiba nini? Ni uongozi upi ulijaa kashifa za wizi? Wanasema mauaji, hivi wakati wa Kikwete wangapi walitekwa na kuteswa, acha hii ya Mo katekwa ati anarudi bila kovu lolote.
Dr. Ulimboka, Mwandishi wa habari alietobolewa macho, Mawazo wa Chadema, Dr. Mvungi wa NCCR, Mwandishi wa habari huko Iringa alie uwawa kwa bomu, Mkurungezi wa usalam wa Taifa msitaafu Kombe alie uwawa huko Arusha, mbona haya hayatajwi anasingiziwa magufuli. Mauaji Zanzibar katika chaguzi za 2000, 2005, 2010. Ni wakati gani Zanzibar ilichafuka zaidi? Tuache propaganda na ushabiki usio na mantiki.

Kwanza mimi sioni kuna haja gani kulinganisha viongozi na wote wanatoka chama kimoja. Tunachotaka ni viongozi wenyekuleta maendeleo. Atoke upinzani sawa. tuache ujinga wa kulinganisha Magufuli na Kikwete. Kikwete sasa hayupo muda wake ulipita. Magufuli alishatangulia mbele za haki, hata hajui kinachoendelea. Japo ni kiongozi alie fahamika duniani kwa ungozi thabiti na kuwa na misimamo.
Wana Kikwete kubalini kuwa kila zama na kitabu chake Kikwete alimaliza mwacheni apumzike, Magafuli na mwacheni apumzike huko aliko.
Tumwangalie mama yetu SSH nae atatufikisha wapi.
 
Yaani Kikwete uwa anaangaika speech zake toka Magufuli yupo ni kudai hiki nilianzisha mimi, Tatizo Kikwete aliona yeye ndo anapendeka, akapewa nchi ikamshinda kwa kuendekeza Urafiki na kujuana. Alio waweka wakamuangusha.

Kikwete alimchukia Nyerere hakumpenda toka Nyerere alipomkataa na kumweka Mkapa. Aliposhika madaraka akawafitini Nyerere Foundation, akina mzee Butiku. Ili aonekane yeye ni yeye. Hata hivyo hawa wazee wameuwa Nyerere foundation hatuoni wanafanya nini. Nao waachie madaraka kwa wengine wanataka kufa na Nyerere foundation?

Ndo maana kuna vita kubwa na Magufuli, mtu wa watu katangulia, lkn anavyotukanwa, utadhani wao hawatokufa. Utadhani wataishi milele. Kikwete bado hajaridhika.
Mie nitamke kueni makini Mungu ndiye ajuae kwa nini Magufuli ilikuwa aondoke mapema. Msidhani ndo upande wa Kikwete mmeshinda! Chochote chaweza tokea.

Magufuli anatajwa wizi, lakini hawaweki wazi kaiba nini? Ni uongozi upi ulijaa kashifa za wizi? Wanasema mauaji, hivi wakati wa Kikwete wangapi walitekwa na kuteswa, acha hii ya Mo katekwa ati anarudi bila kovu lolote.
Dr. Ulimboka, Mwandishi wa habari alietobolewa macho, Mawazo wa Chadema, Dr. Mvungi wa NCCR, Mwandishi wa habari huko Iringa alie uwawa kwa bomu, Mkurungezi wa usalam wa Taifa msitaafu Kombe alie uwawa huko Arusha, mbona haya hayatajwi anasingiziwa magufuli. Mauaji Zanzibar katika chaguzi za 2000, 2005, 2010. Ni wakati gani Zanzibar ilichafuka zaidi? Tuache propaganda na ushabiki usio na mantiki.

Kwanza mimi sioni kuna haja gani kulinganisha viongozi na wote wanatoka chama kimoja. Tunachotaka ni viongozi wenyekuleta maendeleo. Atoke upinzani sawa. tuache ujinga wa kulinganisha Magufuli na Kikwete. Kikwete sasa hayupo muda wake ulipita. Magufuli alishatangulia mbele za haki, hata hajui kinachoendelea. Japo ni kiongozi alie fahamika duniani kwa ungozi thabiti na kuwa na misimamo.
Wana Kikwete kubalini kuwa kila zama na kitabu chake Kikwete alimaliza mwacheni apumzike, Magafuli na mwacheni apumzike huko aliko.
Tumwangalie mama yetu SSH nae atatufikisha wapi.
Kuna mtu alihendekeza kujuana zaidi ya Jiwe?
 
Nilipoona hiyo 7 nikajua kuwa unashawishiwa na mwelekeo ulionao

JPM alikuwa Katili lakini kiutendaji mpe sifa, huwezi kumlinganisha na mwizi Kikwete, nikisema mwizi ni mwizi kweli na nina evidence,
JPM hakuwa katili bali mambo ya msingi lazima yafanyike. Tanzania ilikuwa inapaa kwa utendaji wake wa kazi. Wewe kama kiongozi huwezi kuona mizoga inayoendelea kufuja pesa za walipa kodi na kukaa kimya, lazima uchukue hatua. Huwezi kuwachekea nyani shambani mwako. ni sawa na jinsi Hangaya anavyompamba Tony Blair wakati ni jambazi wa mchana kweupe.

 
Kuna mtu alihendekeza kujuana zaidi ya Jiwe?
Angalia wengi waliokuwa madarakani wakati wa Magufuli ni vijana. Hakuna mtu alie mpa kishikaji kama Kikwete. Wakati wa Kikwete utasikia huyu mshikaji wangu, tulikuwa tunakwenda wote club, wengine tulisoma wote au tunachukua mademu. Hawakufanya kazi ofisini waliiba tu. Usilinganishe na Magufuli ambae aliibua vijana wengi.
uwezi linganisha utendaji wa Magufuli na Kikwete, aliekuwa akiulizwa huko Ulaya kwanini Tanzania inaraslimali lkn bado masikini anajibu hata yeye hajui kwanini Tanzania ni masikini.
 
Yaani Kikwete uwa anaangaika speech zake toka Magufuli yupo ni kudai hiki nilianzisha mimi, Tatizo Kikwete aliona yeye ndo anapendeka, akapewa nchi ikamshinda kwa kuendekeza Urafiki na kujuana. Alio waweka wakamuangusha.

Kikwete alimchukia Nyerere hakumpenda toka Nyerere alipomkataa na kumweka Mkapa. Aliposhika madaraka akawafitini Nyerere Foundation, akina mzee Butiku. Ili aonekane yeye ni yeye. Hata hivyo hawa wazee wameuwa Nyerere foundation hatuoni wanafanya nini. Nao waachie madaraka kwa wengine wanataka kufa na Nyerere foundation?

Ndo maana kuna vita kubwa na Magufuli, mtu wa watu katangulia, lkn anavyotukanwa, utadhani wao hawatokufa. Utadhani wataishi milele. Kikwete bado hajaridhika.
Mie nitamke kueni makini Mungu ndiye ajuae kwa nini Magufuli ilikuwa aondoke mapema. Msidhani ndo upande wa Kikwete mmeshinda! Chochote chaweza tokea.

Magufuli anatajwa wizi, lakini hawaweki wazi kaiba nini? Ni uongozi upi ulijaa kashifa za wizi? Wanasema mauaji, hivi wakati wa Kikwete wangapi walitekwa na kuteswa, acha hii ya Mo katekwa ati anarudi bila kovu lolote.
Dr. Ulimboka, Mwandishi wa habari alietobolewa macho, Mawazo wa Chadema, Dr. Mvungi wa NCCR, Mwandishi wa habari huko Iringa alie uwawa kwa bomu, Mkurungezi wa usalam wa Taifa msitaafu Kombe alie uwawa huko Arusha, mbona haya hayatajwi anasingiziwa magufuli. Mauaji Zanzibar katika chaguzi za 2000, 2005, 2010. Ni wakati gani Zanzibar ilichafuka zaidi? Tuache propaganda na ushabiki usio na mantiki.

Kwanza mimi sioni kuna haja gani kulinganisha viongozi na wote wanatoka chama kimoja. Tunachotaka ni viongozi wenyekuleta maendeleo. Atoke upinzani sawa. tuache ujinga wa kulinganisha Magufuli na Kikwete. Kikwete sasa hayupo muda wake ulipita. Magufuli alishatangulia mbele za haki, hata hajui kinachoendelea. Japo ni kiongozi alie fahamika duniani kwa ungozi thabiti na kuwa na misimamo.
Wana Kikwete kubalini kuwa kila zama na kitabu chake Kikwete alimaliza mwacheni apumzike, Magafuli na mwacheni apumzike huko aliko.
Tumwangalie mama yetu SSH nae atatufikisha wapi.
Ni sawa ila aliyepumzika ni Magufuli, Nyerere na Mkapa. JK bado anaitumikia nchi hajapumzika. CCM bado ipo madarakani chini ya SSH.
 
Ni sawa ila aliyepumzika ni Magufuli, Nyerere na Mkapa. JK bado anaitumikia nchi hajapumzika. CCM bado ipo madarakani chini ya SSH.
Duuh! kumbe bado ni Rais! Nachojua alikuwa Rais kwa miaka kumi ikaisha akarejea Msoga. Kama anatumika hayo ni sawa na mwananchi wa kawaida kuitumikia nchi yako popote ulipo. Ila si tena Amiri jeshi mkuu wala Rais, hatuwezi kuwa na Marais wawili.
 
Duuh! kumbe bado ni Rais! Nachojua alikuwa Rais kwa miaka kumi ikaisha akarejea Msoga. Kama anatumika hayo ni sawa na mwananchi wa kawaida kuitumikia nchi yako popote ulipo. Ila si tena Amiri jeshi mkuu wa Rais, hatuwezi kuwa na Marais wawili.
Hatuna maraisi wawili. Ila tuna raisi SSH na mstaafu JK chini ya CCM. Usisahau, CCM ndiyo kila kitu hata JPM na wengine wanajua hilo.

Wastaafu walimsaidia hata JPM kuingia madarakani na walikuwa nae bega kwa bega mpaka kumwakilisha nje za nchi.

Kwa sasa aliyebaki mwenye nguvu ni JK na bado anapambana na TZ mpaka atakapoitwa kama wenzake.
 
Hatuna maraisi wawili. Ila tuna raisi SSH na mstaafu JK.

Wastaafu walimsaidia hata JPM kuingia madarakani na walikuwa nae bega kwa bega mpaka kumwakilisha nje za nchi.

Kwa sasa aliyebaki mwenye nguvu ni JK na bado anapambana na TZ mpaka atakapoitwa kama wenzake.
Hatukatai Rais mstaafu kumwakilisha Rais aliyopo madarakani. Au kufanya shughuli ambazo zitamfanya awe busy, mbali na hayo majukumu pia uwasaidia kuwaweka vizuri kiafya na kiakili.
Kikubwa asi influence au kuwa na nguvu zaidi ya Rais aliyopo madarakani. Ikiwa hivyo basi ujue Rais aliyopo madarakani hana chochote. Ni heri atangaze tu kujiuzuru ili turudi katika uchaguzi. Hatuwezi kuwa na Rais asiye na maamuzi anategemea kila kitu kutoka kwa msitaafu.
 
Hatukatai Rais mstaafu kumwakilisha Rais aliyopo madarakani. Au kufanya shughuli ambazo zitamfanya awe busy, mbali na hayo majukumu pia uwasaidia kuwaweka vizuri kiafya na kiakili.
Kikubwa asi influence au kuwa na nguvu zaidi ya Rais aliyopo madarakani. Ikiwa hivyo basi ujue Rais aliyopo madarakani hana chochote. Ni heri atangaze tu kujiuzuru ili turudi katika uchaguzi. Hatuwezi kuwa na Rais asiye na maamuzi anategemea kila kitu kutoka kwa msitaafu.
Tanzania inaongozwa na sera za ccm kupitia kikundi fulani ndani ya Ccm wakiwakilishwa na raisi. Humo ndani maraisi wastaafu wana nafasi yao ya kipekee na si ndogo.

Jeshi halikutii kwa sababu eti ulishika biblia/quran ukaapa. Kuna nguvu nyingine inayowezesha jeshi kukutii.

"Crown does not give you power"
 
Jpm namkubali ktk mambo mengi tu na simkubali ktk machache sana.tatizo la nchi hii lipo ktk unafki wa kidini.ktk maraisi wote waliowahi kuongoza nchi hii hakuna aliegusa kila idara kuifanyia mambo mazuri kama jk. Ingawa ni ukweli ktk uongozi wake wizi mwingi sana na ukwepaji kodi umefanyika.

Mpaka anaondoka deni la taifa lilikua 50+tl na halizidi 55tl sikumbuki wakati anaingia lilikua ngapi,jpm miaka 5 tu! Deni la taifa 70+tl na tunaaminishwa hakukuwa na wizi wala mikopo

Mwanza basi zilikuwa zinapitia kenya jk akatatua tatizo la miundo mbinu kigoma huwendi bila treni jk akatatua kusini ndio usiseme hadi tunduru,katavi,babati,umeme vijijini maboresho muhimbili shule za kata, udom,chuo cha Mandela,majengo ya polisi

Baboresho ya barabara hadi zile zikazokua na lami tangu zamani kama kipande cha unapoanzia mkoa wa iringa hadi kuelekea njombe na mbeya.jk ndeye raisi pekee alienunua meli kubwa za vita. Mambo mengi kayafanya jk alafu kuna wajingawajinga wanamponda hayupo raisi hata 1 tangu tupate uhuru aliefanya hata nusu ya jk.

Ingawa kwa mbaaaali jpm kwamwendo wake ule angemaliza miaka yake 10 angemsogelea lakini sio kumfikia
 
Back
Top Bottom