Hayati Magufuli (R.I.P), Hivi Aliwezaje kufanya yote haya?

Hayati Magufuli (R.I.P), Hivi Aliwezaje kufanya yote haya?

nimeangalia kinachoendelea sasa katika nchi na kujikuta nalazimika kumuuliza yafuatayo kuhusu mpendwa wetu jpm (r.i.p);

1. hivi aliwezaje kuwafanya watu wamuogope vile? hofu ile ni kutumbuliwa tu au?!!! namkumbuka mkuu mmoja wa mkoa (nikifanikiwa nitaitupia clip) alivyokuwa anatetemeka siku ile aliyokuwa anasaini kitabu cha wageni...aisee lile tetemo si la kawaida! raisi alikuwa anasaini kitabu huku mkuu wa mkoa akiwa anajiandaa kukaa chini, ghafla raisi akainua macho kupeleka upande ule aliokuwepo mkuu wa mkoa (nafikiri ilikuwa katika kuangalia tu kawaida) aisee mkuu huyo wa mkoa aliinuka ghafla huku anaendelea kutetemeka vibaya sana. akiiona ile clip huko aliko atajisikia vibaya sana.

2. mabarabara yote aliyoyajenga kikwete (ndiye aliyejenga zaidi ya wote) sifa zinaenda kwa jpm. kikwete hatajwi na ukimtaja kuna waaokasirika, aliwezaje kufanya hivi?!!

3. kuna baadhi ya vitu alivianzisha mtangulizi wake (kikwete) katika kuvijenga kama vile flyovers, lakini imeaminishwa kuwa ni jpm tu aliyefanya hivyo. wakati huo huo aliyemfuatia jpm (mama samia) akiendeleza aliloliacha jpm kama vile kuongeza kile kipande cha sgr kule mwanza (ambacho hakikuwepo), hatajwi kabisa mama; anatajwa jpm tu na ukimtaja mama basi kuna watakaokushambulia. aliwezaje kufanya hivi?!!!!!

4. aliagiza machinga waachwe na wajipangie tu mabarabarani. alisema hayo huku akiwa amezungukwa na wasaidizi kibao wakiwemo wataalamu wa mipango miji, wataalamu wa masuala ya population growth, mazingira n.k lakini wote walishindwa kusema chochote juu ya athari kubwa inayoweza kuzaliwa baadae (kwa watakaomfuata). aliwezaje haswa kufanya hivi?!!!!

5. leo hii kikwete na ukoo wake hawaishwi kutajwa tajwa kuwa ni wezi huku yeye akitajwa kuwa ni msafi, aliwezaje mwendazake kuwaaminisha watu hivi?!!!!

6. wakati wake, ukifanyika mradi wowote wa maendeleo ilikuwa inasemwa kwa sauti kubwa, RAISI AMEFANYA HIVI AU VILE. ajabu ni kuwa leo hii mama samia akifanya jambo na ikitolewa taarifa kuwa 'Raisi kafanya hivi', aisee utapata mashambulizi kutoka kwa watu 'KWANI FEDHA ZAKE AU KODI NA TOZO ZETU?!!'. jpm aliwezaje?!!! kawaida hii kweli?!!

7. wakati wa utawala wake, inasemekana wateule wake walikuwa wakristo na watu wa kwao. ajabu ni kuwa watu walikuwa kimya na kusifia tu. kama kuna aliyejaribu kulisema ilo alikutana na hii kauli, 'RAISI HAANGALII DINI BALI UCHAPA KAZI'. cha kushangaza kipindi cha kikwete, akichagua waislamu wawili tu basi kelele zake si za nchi hii. mama nae, ateue waislamu wawili tu katika teuzi 5 alizofanya basi haraka utasikia kauli hizi 'ZAMU YAO WAVAA VIPEDO!', 'ANATEUA WAZANZIBAR WENZIE' n.k. huyu jpm aliwezaje hili?!!!

8. kwake (chato) ilienda kila aina ya miradi; uwanja wa ndege wa kimataifa, nasikia uwanja wa mpira pia, mbuga, hospitali ya kanda, n.k huku kwa waziri mkuu barabara ya km 86 tu ipo vumbini hadi leo hii na mazao yote yategemewayo na wananchi wa kule (mbaazi, korosho na ufuta) yakifilia mbali huko. mawaziri mpaka manaibu mawaziri na wakuu mbalimbali wa taasisi walikuwa wanapishana na kushindana kubuni miradi ya kupeleka kule. aliwezaje huyu mtu kufanya hivi huku watu wakishangilia kinoma?!!!!!!!!!!

9. kununua ndege 11 kwa keshi. aliwezaji ilhali nasikia hata mashirika makubwa yananunua kwa awamu?!!!

yapo meeengi sana lakini hayo yatoshe kuwakilisha.

najiuliza sana kama hii kawaida au kuna sehemu inapatikana 'busta' ya kukusaidia kuwa hivi. kama ipo basi naamini kina mkuu mshana, kama itampendeza, anaweza kuchangia ili tukujue na ikiwezekana tufanye maamuzi ya kwenda kwa ajili ya kuzimudu familia zetu tu (kwani huko siasani hatupo na hakuna dalili ya kuwepo).
Mama Samia kosa lake kubwa, narudia KOSA LAKE KUBWA ni kudhani watanzania wanahitaji uongozi wa kubembelezana. Watanzania wengi bado wanaishi mentality ya kikoloni. Ukitaka jambo lako lifanikiwe lazima uwe mkali kwenye utendaji wa matokeo (KPI) na uwe mkali kusimamia. Tuna kizazi cha watanzania wanaoamini kufanikiwa kwa kuiba/kulaghai/uongo na hawaamini ktk kufanya kazi. Na ndiyo maana wahindi wanatujua na wakenya. Mentality zetu pia zimejaa wivu. Yaani ukiwa rais wa Tanzania hakuna jambo utakalo lifanya watu wakupende ni bora uwe mkali mambo yaende. Kwa staili ya Mama Samia sidhani kama itamsaidia yeye na serikali yake zaidi ya watu wataishia kumpachika majina ya ajabu kama ilivyokuwa kwa Dkt Kikwete. Mama kama anasoma huu uzi inabidi afanya kile ambacho anaamini ktk Moyo wake (yaani let Mama follow vision yake ya Tanzania Mpya anayoitaka). Then namna ya ku implement awe mkali ili afanikiwe.
 
Mimi na CCM wapi na wapi! Jamaa yako alikuwa mwizi aliyejificha nyuma ya dola. Hakuna chombo chochote cha habari kingewa ku report jambo lake lolote ovu. Jiwe kuwa Rais ilikiwa ni pigo kutoka kwa Mungu
Inaonekana wewe ni mhanga wa vyeti feki maana si kwa hasira hizi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahangaishwaa na kivuli cha mtu ambae hayupo na wala hautamwona tena maishani mwako. Wewe nae n mshenzi mshenzi tu na huna lolote zaid ya kuja kuwapa promo kina jk na mama yako..jk hilo liko waz n wez tu walee..
Inabidi ukapimwe akili dada wewe!
 
Unajidanganya na hakuna unachojua..siyo kila aliyekufa enzi za Jon ndy yeye alihusika.Roma mkatoliki Hadi leo hajarudi bngo,the same applies Kwa tundu lisu,mbn JPM ameshasepa?

Kwao wale jamaa Maadui wa nchi siyo lazima watoke nje,hata ndani wanaweza kuwepo..Kwa hiyo ogopa sn wakikupigwla muhuri na kuwekwa kwenye list ya most important ..hata wapige Marais kumi watakutafuta tu,labda wajiridhishe hauna madhara tena

Nikukumbushe Tu ,hivi tunavyoongea kuna kiongozi wa chadema inasemekana ametekwa na watu wasiojulikana,lkn JPM hayupo
Jpm ameacha maharamia wengi na hii ndio effect
 
Kwa hiyo mkuu hapo nani mwenye nafuu kuliko mwenzake!?
Wa kikwete nafuu anagalau tulipiga makelele vifurushi vingine vikamwagika. Si unajua ukimkimbiza mwizi kwa mayowe. Hata akifikisha furushi lake lakini kalifanyia kazi kweli kweli
 
Mama Samia kosa lake kubwa, narudia KOSA LAKE KUBWA ni kudhani watanzania wanahitaji uongozi wa kubembelezana. Watanzania wengi bado wanaishi mentality ya kikoloni. Ukitaka jambo lako lifanikiwe lazima uwe mkali kwenye utendaji wa matokeo (KPI) na uwe mkali kusimamia. Tuna kizazi cha watanzania wanaoamini kufanikiwa kwa kuiba/kulaghai/uongo na hawaamini ktk kufanya kazi. Na ndiyo maana wahindi wanatujua na wakenya. Mentality zetu pia zimejaa wivu. Yaani ukiwa rais wa Tanzania hakuna jambo utakalo lifanya watu wakupende ni bora uwe mkali mambo yaende. Kwa staili ya Mama Samia sidhani kama itamsaidia yeye na serikali yake zaidi ya watu wataishia kumpachika majina ya ajabu kama ilivyokuwa kwa Dkt Kikwete. Mama kama anasoma huu uzi inabidi afanya kile ambacho anaamini ktk Moyo wake (yaani let Mama follow vision yake ya Tanzania Mpya anayoitaka). Then namna ya ku implement awe mkali ili afanikiwe.
Utopolo
 
nimeangalia kinachoendelea sasa katika nchi na kujikuta nalazimika kumuuliza yafuatayo kuhusu mpendwa wetu jpm (r.i.p);

1. hivi aliwezaje kuwafanya watu wamuogope vile? hofu ile ni kutumbuliwa tu au?!!! namkumbuka mkuu mmoja wa mkoa (nikifanikiwa nitaitupia clip) alivyokuwa anatetemeka siku ile aliyokuwa anasaini kitabu cha wageni...aisee lile tetemo si la kawaida! raisi alikuwa anasaini kitabu huku mkuu wa mkoa akiwa anajiandaa kukaa chini, ghafla raisi akainua macho kupeleka upande ule aliokuwepo mkuu wa mkoa (nafikiri ilikuwa katika kuangalia tu kawaida) aisee mkuu huyo wa mkoa aliinuka ghafla huku anaendelea kutetemeka vibaya sana. akiiona ile clip huko aliko atajisikia vibaya sana.

2. mabarabara yote aliyoyajenga kikwete (ndiye aliyejenga zaidi ya wote) sifa zinaenda kwa jpm. kikwete hatajwi na ukimtaja kuna waaokasirika, aliwezaje kufanya hivi?!!

3. kuna baadhi ya vitu alivianzisha mtangulizi wake (kikwete) katika kuvijenga kama vile flyovers, lakini imeaminishwa kuwa ni jpm tu aliyefanya hivyo. wakati huo huo aliyemfuatia jpm (mama samia) akiendeleza aliloliacha jpm kama vile kuongeza kile kipande cha sgr kule mwanza (ambacho hakikuwepo), hatajwi kabisa mama; anatajwa jpm tu na ukimtaja mama basi kuna watakaokushambulia. aliwezaje kufanya hivi?!!!!!

4. aliagiza machinga waachwe na wajipangie tu mabarabarani. alisema hayo huku akiwa amezungukwa na wasaidizi kibao wakiwemo wataalamu wa mipango miji, wataalamu wa masuala ya population growth, mazingira n.k lakini wote walishindwa kusema chochote juu ya athari kubwa inayoweza kuzaliwa baadae (kwa watakaomfuata). aliwezaje haswa kufanya hivi?!!!!

5. leo hii kikwete na ukoo wake hawaishwi kutajwa tajwa kuwa ni wezi huku yeye akitajwa kuwa ni msafi, aliwezaje mwendazake kuwaaminisha watu hivi?!!!!

6. wakati wake, ukifanyika mradi wowote wa maendeleo ilikuwa inasemwa kwa sauti kubwa, RAISI AMEFANYA HIVI AU VILE. ajabu ni kuwa leo hii mama samia akifanya jambo na ikitolewa taarifa kuwa 'Raisi kafanya hivi', aisee utapata mashambulizi kutoka kwa watu 'KWANI FEDHA ZAKE AU KODI NA TOZO ZETU?!!'. jpm aliwezaje?!!! kawaida hii kweli?!!

7. wakati wa utawala wake, inasemekana wateule wake walikuwa wakristo na watu wa kwao. ajabu ni kuwa watu walikuwa kimya na kusifia tu. kama kuna aliyejaribu kulisema ilo alikutana na hii kauli, 'RAISI HAANGALII DINI BALI UCHAPA KAZI'. cha kushangaza kipindi cha kikwete, akichagua waislamu wawili tu basi kelele zake si za nchi hii. mama nae, ateue waislamu wawili tu katika teuzi 5 alizofanya basi haraka utasikia kauli hizi 'ZAMU YAO WAVAA VIPEDO!', 'ANATEUA WAZANZIBAR WENZIE' n.k. huyu jpm aliwezaje hili?!!!

8. kwake (chato) ilienda kila aina ya miradi; uwanja wa ndege wa kimataifa, nasikia uwanja wa mpira pia, mbuga, hospitali ya kanda, n.k huku kwa waziri mkuu barabara ya km 86 tu ipo vumbini hadi leo hii na mazao yote yategemewayo na wananchi wa kule (mbaazi, korosho na ufuta) yakifilia mbali huko. mawaziri mpaka manaibu mawaziri na wakuu mbalimbali wa taasisi walikuwa wanapishana na kushindana kubuni miradi ya kupeleka kule. aliwezaje huyu mtu kufanya hivi huku watu wakishangilia kinoma?!!!!!!!!!!

9. kununua ndege 11 kwa keshi. aliwezaji ilhali nasikia hata mashirika makubwa yananunua kwa awamu?!!!

yapo meeengi sana lakini hayo yatoshe kuwakilisha.

najiuliza sana kama hii kawaida au kuna sehemu inapatikana 'busta' ya kukusaidia kuwa hivi. kama ipo basi naamini kina mkuu mshana, kama itampendeza, anaweza kuchangia ili tukujue na ikiwezekana tufanye maamuzi ya kwenda kwa ajili ya kuzimudu familia zetu tu (kwani huko siasani hatupo na hakuna dalili ya kuwepo).
Maneno machache tu. He was abnormal
 
Hivi gesi yote inamilikiwa na mchina, maana hakuna kinachoeleweka kwenye gesi......vipi lile lango la bwagamoyo na lenyewe atamilikishwa mchina? rip. JPM....
 
Ni kweli,alikua anafata sana sheria kiasi hata aliunda tume ya kuchunguza waliompiga Risasi Lissu,alifata sana sheria kiasi kwamba,aliweza Jenga hospitali kubwa Chato yenye hadhi ya kanda ilhali population yake ni watu laki tatu tu.....kwenye chaguzi alikua mtu wa sheria sana hadi CCM kushinda kwa kishindo,hiyo ndio JPM mfuata sheria
Chifu hangaya kafanya nini in comparison zaidi ya kutafuta huruma ya kuungwa mkono kwa kigezo cha jinsia...
 
Kweli, alipenda "ON THE SPOT", On the spot ilonekana alipozuia uchaguzi wa serikali za mitaa wasichaguliwe wengine ila Chama chake tu. On the spot nyingine ikaonekana kwenye uchaguzi wa October 2020 pale mifuko ya kura bandia iliyosimamiwa na Polisi na TISS ilipoingizwa na KUFANYA bunge liwe la Chama kimoja. On the spot nyingi tu alizisimamia. Kweli naungana na wewe JPM alipenda ON THE SPOT!
Chief hangaya anatafuta support ya kina mama, tulia wewe mchangia mbegu.....
 
nimeangalia kinachoendelea sasa katika nchi na kujikuta nalazimika kumuuliza yafuatayo kuhusu mpendwa wetu jpm (r.i.p);

1. hivi aliwezaje kuwafanya watu wamuogope vile? hofu ile ni kutumbuliwa tu au?!!! namkumbuka mkuu mmoja wa mkoa (nikifanikiwa nitaitupia clip) alivyokuwa anatetemeka siku ile aliyokuwa anasaini kitabu cha wageni...aisee lile tetemo si la kawaida! raisi alikuwa anasaini kitabu huku mkuu wa mkoa akiwa anajiandaa kukaa chini, ghafla raisi akainua macho kupeleka upande ule aliokuwepo mkuu wa mkoa (nafikiri ilikuwa katika kuangalia tu kawaida) aisee mkuu huyo wa mkoa aliinuka ghafla huku anaendelea kutetemeka vibaya sana. akiiona ile clip huko aliko atajisikia vibaya sana.

2. mabarabara yote aliyoyajenga kikwete (ndiye aliyejenga zaidi ya wote) sifa zinaenda kwa jpm. kikwete hatajwi na ukimtaja kuna waaokasirika, aliwezaje kufanya hivi?!!

3. kuna baadhi ya vitu alivianzisha mtangulizi wake (kikwete) katika kuvijenga kama vile flyovers, lakini imeaminishwa kuwa ni jpm tu aliyefanya hivyo. wakati huo huo aliyemfuatia jpm (mama samia) akiendeleza aliloliacha jpm kama vile kuongeza kile kipande cha sgr kule mwanza (ambacho hakikuwepo), hatajwi kabisa mama; anatajwa jpm tu na ukimtaja mama basi kuna watakaokushambulia. aliwezaje kufanya hivi?!!!!!

4. aliagiza machinga waachwe na wajipangie tu mabarabarani. alisema hayo huku akiwa amezungukwa na wasaidizi kibao wakiwemo wataalamu wa mipango miji, wataalamu wa masuala ya population growth, mazingira n.k lakini wote walishindwa kusema chochote juu ya athari kubwa inayoweza kuzaliwa baadae (kwa watakaomfuata). aliwezaje haswa kufanya hivi?!!!!

5. leo hii kikwete na ukoo wake hawaishwi kutajwa tajwa kuwa ni wezi huku yeye akitajwa kuwa ni msafi, aliwezaje mwendazake kuwaaminisha watu hivi?!!!!

6. wakati wake, ukifanyika mradi wowote wa maendeleo ilikuwa inasemwa kwa sauti kubwa, RAISI AMEFANYA HIVI AU VILE. ajabu ni kuwa leo hii mama samia akifanya jambo na ikitolewa taarifa kuwa 'Raisi kafanya hivi', aisee utapata mashambulizi kutoka kwa watu 'KWANI FEDHA ZAKE AU KODI NA TOZO ZETU?!!'. jpm aliwezaje?!!! kawaida hii kweli?!!

7. wakati wa utawala wake, inasemekana wateule wake walikuwa wakristo na watu wa kwao. ajabu ni kuwa watu walikuwa kimya na kusifia tu. kama kuna aliyejaribu kulisema ilo alikutana na hii kauli, 'RAISI HAANGALII DINI BALI UCHAPA KAZI'. cha kushangaza kipindi cha kikwete, akichagua waislamu wawili tu basi kelele zake si za nchi hii. mama nae, ateue waislamu wawili tu katika teuzi 5 alizofanya basi haraka utasikia kauli hizi 'ZAMU YAO WAVAA VIPEDO!', 'ANATEUA WAZANZIBAR WENZIE' n.k. huyu jpm aliwezaje hili?!!!

8. kwake (chato) ilienda kila aina ya miradi; uwanja wa ndege wa kimataifa, nasikia uwanja wa mpira pia, mbuga, hospitali ya kanda, n.k huku kwa waziri mkuu barabara ya km 86 tu ipo vumbini hadi leo hii na mazao yote yategemewayo na wananchi wa kule (mbaazi, korosho na ufuta) yakifilia mbali huko. mawaziri mpaka manaibu mawaziri na wakuu mbalimbali wa taasisi walikuwa wanapishana na kushindana kubuni miradi ya kupeleka kule. aliwezaje huyu mtu kufanya hivi huku watu wakishangilia kinoma?!!!!!!!!!!

9. kununua ndege 11 kwa keshi. aliwezaji ilhali nasikia hata mashirika makubwa yananunua kwa awamu?!!!

yapo meeengi sana lakini hayo yatoshe kuwakilisha.

najiuliza sana kama hii kawaida au kuna sehemu inapatikana 'busta' ya kukusaidia kuwa hivi. kama ipo basi naamini kina mkuu mshana, kama itampendeza, anaweza kuchangia ili tukujue na ikiwezekana tufanye maamuzi ya kwenda kwa ajili ya kuzimudu familia zetu tu (kwani huko siasani hatupo na hakuna dalili ya kuwepo).
Flyover ipi kikwete aliianzisha?
 
Mkuu mimi na kazi yangu cheti cha nini? Au umekariri maisha? Je wajua kuna kazi unaajiriwa baadae ndiyo wanaomba ulete vyeti kutimiza protocols tu? Amka ndugu acha ujinga.
Mjinga ni yule anayemsema mtu asiye weza kujitetea kwanini msirekebishe yale mapungufu mmekazana JPM au kazi inawashinda, hizi kelele ni sawa umeacha mke kisa anatabia mbaya ukaoa mwingine lakini kutwa kumtaja, embu mwacheni alale huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjinga ni yule anayemsema mtu asiye weza kujitetea kwanini msirekebishe yale mapungufu mmekazana JPM au kazi inawashinda, hizi kelele ni sawa umeacha mke kisa anatabia mbaya ukaoa mwingine lakini kutwa kumtaja, embu mwacheni alale huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu cha muhimu ulichosema ni kuwa tumuache apumzike pamoja na ukatili wake. Sawa mkuu
 
Vile MATAGA wanawahi kwenye huu uzi kuja kulinda legacy ya mwendakuzimu😁😁😁
AAP5rQ.jpg
 
Haimaanishi usipokuwa mkatili ndy hauitwi na MUNGU mkuu labda Tu uamue kujitoa ufahamu Km unafikiri jiwe alikuwa mkatili sn ndy maana ameitwa na MUNGU nakushauri nenda dark web huko utawakuta wakatili waliokula chumvi alafu maisha Yao yanaenda poa Tu na huyo MUNGU hawaiti wala nn

Kifo cha magufuli hakiuhusiani na ukatili wake Bali nature ilimselect
Sawa mkuu, uko sahihi, comment yangu nahisi ilibebwa na hasira zangu juu yake japo alishaenda zake.
 
Chunguza sana watu waliokuwa wanamwelewa Jiwe, akili fupi(vilaza), masikini, sikuma gang. Lazima mtu huyo at fall kwenye mojawapo la hayo makundi kama siyo yote
Hapo nazani umesema sifa za watu ambao walikuwa wanamnanga jpm..ambao ww ni mmojawapo...mwenye akili fupi kama karunguyeye..
 
Back
Top Bottom