Hayati Magufuli (R.I.P), Hivi Aliwezaje kufanya yote haya?

Hayati Magufuli (R.I.P), Hivi Aliwezaje kufanya yote haya?

JPM alipenda vitu vifanyike na vionekane on the spot, hakuamini katika michakato ambayo mara nyingi inajaa urasimu tu, ni mtu aliyependa kusimamia sheria (yupo straight), ni kiongozi aliyekuwa na uthubutu wa kutisha hata kuweza kufanya mega-projects za matrillion ya pesa bila kujiuliza mara mbili mbili hapa pesa itatoka wapi, viongozi wa aina yake ni adimu sana......
Jamaa alikwapua 1.5 na mpaka sasa watu hawajui zilienda wapi, labda vilaza wachache ndiyo wanajua ukiwemo wew.
 
Hakika ashukuliwe
nimeangalia kinachoendelea sasa katika nchi na kujikuta nalazimika kumuuliza yafuatayo kuhusu mpendwa wetu jpm (r.i.p);

1. hivi aliwezaje kuwafanya watu wamuogope vile? hofu ile ni kutumbuliwa tu au?!!! namkumbuka mkuu mmoja wa mkoa (nikifanikiwa nitaitupia clip) alivyokuwa anatetemeka siku ile aliyokuwa anasaini kitabu cha wageni...aisee lile tetemo si la kawaida! raisi alikuwa anasaini kitabu huku mkuu wa mkoa akiwa anajiandaa kukaa chini, ghafla raisi akainua macho kupeleka upande ule aliokuwepo mkuu wa mkoa (nafikiri ilikuwa katika kuangalia tu kawaida) aisee mkuu huyo wa mkoa aliinuka ghafla huku anaendelea kutetemeka vibaya sana. akiiona ile clip huko aliko atajisikia vibaya sana.

2. mabarabara yote aliyoyajenga kikwete (ndiye aliyejenga zaidi ya wote) sifa zinaenda kwa jpm. kikwete hatajwi na ukimtaja kuna waaokasirika, aliwezaje kufanya hivi?!!

3. kuna baadhi ya vitu alivianzisha mtangulizi wake (kikwete) katika kuvijenga kama vile flyovers, lakini imeaminishwa kuwa ni jpm tu aliyefanya hivyo. wakati huo huo aliyemfuatia jpm (mama samia) akiendeleza aliloliacha jpm kama vile kuongeza kile kipande cha sgr kule mwanza (ambacho hakikuwepo), hatajwi kabisa mama; anatajwa jpm tu na ukimtaja mama basi kuna watakaokushambulia. aliwezaje kufanya hivi?!!!!!

4. aliagiza machinga waachwe na wajipangie tu mabarabarani. alisema hayo huku akiwa amezungukwa na wasaidizi kibao wakiwemo wataalamu wa mipango miji, wataalamu wa masuala ya population growth, mazingira n.k lakini wote walishindwa kusema chochote juu ya athari kubwa inayoweza kuzaliwa baadae (kwa watakaomfuata). aliwezaje haswa kufanya hivi?!!!!

5. leo hii kikwete na ukoo wake hawaishwi kutajwa tajwa kuwa ni wezi huku yeye akitajwa kuwa ni msafi, aliwezaje mwendazake kuwaaminisha watu hivi?!!!!

6. wakati wake, ukifanyika mradi wowote wa maendeleo ilikuwa inasemwa kwa sauti kubwa, RAISI AMEFANYA HIVI AU VILE. ajabu ni kuwa leo hii mama samia akifanya jambo na ikitolewa taarifa kuwa 'Raisi kafanya hivi', aisee utapata mashambulizi kutoka kwa watu 'KWANI FEDHA ZAKE AU KODI NA TOZO ZETU?!!'. jpm aliwezaje?!!! kawaida hii kweli?!!

7. wakati wa utawala wake, inasemekana wateule wake walikuwa wakristo na watu wa kwao. ajabu ni kuwa watu walikuwa kimya na kusifia tu. kama kuna aliyejaribu kulisema ilo alikutana na hii kauli, 'RAISI HAANGALII DINI BALI UCHAPA KAZI'. cha kushangaza kipindi cha kikwete, akichagua waislamu wawili tu basi kelele zake si za nchi hii. mama nae, ateue waislamu wawili tu katika teuzi 5 alizofanya basi haraka utasikia kauli hizi 'ZAMU YAO WAVAA VIPEDO!', 'ANATEUA WAZANZIBAR WENZIE' n.k. huyu jpm aliwezaje hili?!!!

8. kwake (chato) ilienda kila aina ya miradi; uwanja wa ndege wa kimataifa, nasikia uwanja wa mpira pia, mbuga, hospitali ya kanda, n.k huku kwa waziri mkuu barabara ya km 86 tu ipo vumbini hadi leo hii na mazao yote yategemewayo na wananchi wa kule (mbaazi, korosho na ufuta) yakifilia mbali huko. mawaziri mpaka manaibu mawaziri na wakuu mbalimbali wa taasisi walikuwa wanapishana na kushindana kubuni miradi ya kupeleka kule. aliwezaje huyu mtu kufanya hivi huku watu wakishangilia kinoma?!!!!!!!!!!

9. kununua ndege 11 kwa keshi. aliwezaji ilhali nasikia hata mashirika makubwa yananunua kwa awamu?!!!

yapo meeengi sana lakini hayo yatoshe kuwakilisha.

najiuliza sana kama hii kawaida au kuna sehemu inapatikana 'busta' ya kukusaidia kuwa hivi. kama ipo basi naamini kina mkuu mshana, kama itampendeza, anaweza kuchangia ili tukujue na ikiwezekana tufanye maamuzi ya kwenda kwa ajili ya kuzimudu familia zetu tu (kwani huko siasani hatupo na hakuna dalili ya kuwepo).
Mungu
nimeangalia kinachoendelea sasa katika nchi na kujikuta nalazimika kumuuliza yafuatayo kuhusu mpendwa wetu jpm (r.i.p);

1. hivi aliwezaje kuwafanya watu wamuogope vile? hofu ile ni kutumbuliwa tu au?!!! namkumbuka mkuu mmoja wa mkoa (nikifanikiwa nitaitupia clip) alivyokuwa anatetemeka siku ile aliyokuwa anasaini kitabu cha wageni...aisee lile tetemo si la kawaida! raisi alikuwa anasaini kitabu huku mkuu wa mkoa akiwa anajiandaa kukaa chini, ghafla raisi akainua macho kupeleka upande ule aliokuwepo mkuu wa mkoa (nafikiri ilikuwa katika kuangalia tu kawaida) aisee mkuu huyo wa mkoa aliinuka ghafla huku anaendelea kutetemeka vibaya sana. akiiona ile clip huko aliko atajisikia vibaya sana.

2. mabarabara yote aliyoyajenga kikwete (ndiye aliyejenga zaidi ya wote) sifa zinaenda kwa jpm. kikwete hatajwi na ukimtaja kuna waaokasirika, aliwezaje kufanya hivi?!!

3. kuna baadhi ya vitu alivianzisha mtangulizi wake (kikwete) katika kuvijenga kama vile flyovers, lakini imeaminishwa kuwa ni jpm tu aliyefanya hivyo. wakati huo huo aliyemfuatia jpm (mama samia) akiendeleza aliloliacha jpm kama vile kuongeza kile kipande cha sgr kule mwanza (ambacho hakikuwepo), hatajwi kabisa mama; anatajwa jpm tu na ukimtaja mama basi kuna watakaokushambulia. aliwezaje kufanya hivi?!!!!!

4. aliagiza machinga waachwe na wajipangie tu mabarabarani. alisema hayo huku akiwa amezungukwa na wasaidizi kibao wakiwemo wataalamu wa mipango miji, wataalamu wa masuala ya population growth, mazingira n.k lakini wote walishindwa kusema chochote juu ya athari kubwa inayoweza kuzaliwa baadae (kwa watakaomfuata). aliwezaje haswa kufanya hivi?!!!!

5. leo hii kikwete na ukoo wake hawaishwi kutajwa tajwa kuwa ni wezi huku yeye akitajwa kuwa ni msafi, aliwezaje mwendazake kuwaaminisha watu hivi?!!!!

6. wakati wake, ukifanyika mradi wowote wa maendeleo ilikuwa inasemwa kwa sauti kubwa, RAISI AMEFANYA HIVI AU VILE. ajabu ni kuwa leo hii mama samia akifanya jambo na ikitolewa taarifa kuwa 'Raisi kafanya hivi', aisee utapata mashambulizi kutoka kwa watu 'KWANI FEDHA ZAKE AU KODI NA TOZO ZETU?!!'. jpm aliwezaje?!!! kawaida hii kweli?!!

7. wakati wa utawala wake, inasemekana wateule wake walikuwa wakristo na watu wa kwao. ajabu ni kuwa watu walikuwa kimya na kusifia tu. kama kuna aliyejaribu kulisema ilo alikutana na hii kauli, 'RAISI HAANGALII DINI BALI UCHAPA KAZI'. cha kushangaza kipindi cha kikwete, akichagua waislamu wawili tu basi kelele zake si za nchi hii. mama nae, ateue waislamu wawili tu katika teuzi 5 alizofanya basi haraka utasikia kauli hizi 'ZAMU YAO WAVAA VIPEDO!', 'ANATEUA WAZANZIBAR WENZIE' n.k. huyu jpm aliwezaje hili?!!!

8. kwake (chato) ilienda kila aina ya miradi; uwanja wa ndege wa kimataifa, nasikia uwanja wa mpira pia, mbuga, hospitali ya kanda, n.k huku kwa waziri mkuu barabara ya km 86 tu ipo vumbini hadi leo hii na mazao yote yategemewayo na wananchi wa kule (mbaazi, korosho na ufuta) yakifilia mbali huko. mawaziri mpaka manaibu mawaziri na wakuu mbalimbali wa taasisi walikuwa wanapishana na kushindana kubuni miradi ya kupeleka kule. aliwezaje huyu mtu kufanya hivi huku watu wakishangilia kinoma?!!!!!!!!!!

9. kununua ndege 11 kwa keshi. aliwezaji ilhali nasikia hata mashirika makubwa yananunua kwa awamu?!!!

yapo meeengi sana lakini hayo yatoshe kuwakilisha.

najiuliza sana kama hii kawaida au kuna sehemu inapatikana 'busta' ya kukusaidia kuwa hivi. kama ipo basi naamini kina mkuu mshana, kama itampendeza, anaweza kuchangia ili tukujue na ikiwezekana tufanye maamuzi ya kwenda kwa ajili ya kuzimudu familia zetu tu (kwani huko siasani hatupo na hakuna dalili ya kuwepo).
Hakika ashukuliwe Mungu wa mbinguni kwa kutupatia JPM.Alitusaidia kuwa tunaweza kuishi kwa kijiamini na kufanya kazi.Naamini ,JPM ni rais bora kutokea Tanzania na duniani.Na wote wanaomchukia wataendelea kumkumbuka daima.Iwe kwa kuanzisha Uzi.Au kwa njia yeyote.Tunakukumbuka baba JPM .
 
Kutumia Wasiojulikana! Je 1.5 M ilipata jibu? Hatimaye nini kilimsibu Mkaguzi wa hesabu?
Alifanya ndio lakini vitisho vingi! Wapi ulisikia Rais anafungua Soko!?
Nini kazi ya mawaziri na manaibu wake pia makatibu!??

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
The guy liked petty things. Rais anafungua mashine ya kusaga nafaka wao wanazusha eti ni kiwanda.
 
Kikwete umejitosa JF kujitetea?
Nchi ilikushinda mjomba,kaa tu ule pensheni.
Hata ukipewa urais Tena mziki wa sukumagang huuwezi,Labda ule wa fitina unaweza na kuuza sura Ulaya.
Jf haijawahi kuishiwa vituko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakika ashukuliwe

Mungu

Hakika ashukuliwe Mungu wa mbinguni kwa kutupatia JPM.Alitusaidia kuwa tunaweza kuishi kwa kijiamini na kufanya kazi.Naamini ,JPM ni rais bora kutokea Tanzania na duniani.Na wote wanaomchukia wataendelea kumkumbuka daima.Iwe kwa kuanzisha Uzi.Au kwa njia yeyote.Tunakukumbuka baba JPM .
Kwanini usitumie umoja, unasema tuna kukumbuka ili hali ni wew peke yako.
 
Jibu ni moja tu ALITUMIA WATU WASIOJULIKANA KWA WOTE WANAOMPINGA BILA KUSAHAU VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA..UKIMPINGA TU WEWE SIO RAIA NA UTAJUA HAUJUI.
 
Alifanikiwa kuwageuza Watanzania hasa viongozi kuwa misukule yake ya kumsifu na kumuabudu. Aliwajaza hofu na umasikini wananchi kiasi ya kwamba waliona sifa kujiita wanyonge na masikini.
Athari zake zitadumu kwa muda mrefu sana.
Ni muhimu kupata katiba mpya ili hii hali isije ikajirudia tena miaka ijayo
 
Jiwe alikuwa katili na muuaji, alijona Mungu mtu akaitwa chapa na Mungu mwenyewe.
Haimaanishi usipokuwa mkatili ndy hauitwi na MUNGU mkuu labda Tu uamue kujitoa ufahamu Km unafikiri jiwe alikuwa mkatili sn ndy maana ameitwa na MUNGU nakushauri nenda dark web huko utawakuta wakatili waliokula chumvi alafu maisha Yao yanaenda poa Tu na huyo MUNGU hawaiti wala nn

Kifo cha magufuli hakiuhusiani na ukatili wake Bali nature ilimselect
 
Hiyo sababu si haba mkuu uliza kwake PK.

Huko watu hupotea, watu hufa kama ilivyokuwa kwa JPM.

Museveni mbona binadamu?

Museveni si kama hizi mtu mbili.
Tatizo la watu wengi hasa wapinzani wa JPM wanadhani au waliwaaminisha watu kwamba JPM alipoingia madarakani akabadilika na kuanza kuwa mkatili,mtekaji na mbabe kumbe kiuhalisia JPM hakubadilika Bali alikuwa vile tangu akiwa mwalimu way back huko

Kilichotokea ni kwamba cheo kikubwa alichokipata ndy kikamfunua zaidi hata wasiomjua wakamjua..ni hivyo Tu

Makelele ya wanasiasa yasingesaidia chochote kumbadilisha ndy maana kikatokea kile kilichotokea mwezi march....
 
Tatizo la watu wengi hasa wapinzani wa JPM wanadhani au waliwaaminisha watu kwamba JPM alipoingia madarakani akabadilika na kuanza kuwa mkatili,mtekaji na mbabe kumbe kiuhalisia JPM hakubadilika Bali alikuwa vile tangu akiwa mwalimu way back huko

Kilichotokea ni kwamba cheo kikubwa alichokipata ndy kikamfunua zaidi hata wasiomjua wakamjua..ni hivyo Tu

Makelele ya wanasiasa yasingesaidia chochote kumbadilisha ndy maana kikatokea like kilichotokea mwezi march....

I knew nothing of importance about the screwer before he started murdering people indiscriminately
 
Jpm alitisha kw akutoa roho za watu. Binadamu yoyote duniani Hofu yake iko kwenye uhai. Hapo hakuna mjanja
Unajidanganya na hakuna unachojua..siyo kila aliyekufa enzi za Jon ndy yeye alihusika.Roma mkatoliki Hadi leo hajarudi bngo,the same applies Kwa tundu lisu,mbn JPM ameshasepa?

Kwao wale jamaa Maadui wa nchi siyo lazima watoke nje,hata ndani wanaweza kuwepo..Kwa hiyo ogopa sn wakikupigwla muhuri na kuwekwa kwenye list ya most important ..hata wapige Marais kumi watakutafuta tu,labda wajiridhishe hauna madhara tena

Nikukumbushe Tu ,hivi tunavyoongea kuna kiongozi wa chadema inasemekana ametekwa na watu wasiojulikana,lkn JPM hayupo
 
I knew nothing of importance about the screwer before he started murdering people indiscriminately
Ndy Kusema..me sijui kiingrishi mkuu,Kwanza nikisoma kiingrishi kichwa kinaniuma,tuendelee Kwa kiswahili
 
JPM alipenda vitu vifanyike na vionekane on the spot, hakuamini katika michakato ambayo mara nyingi inajaa urasimu tu, ni mtu aliyependa kusimamia sheria (yupo straight), ni kiongozi aliyekuwa na uthubutu wa kutisha hata kuweza kufanya mega-projects za matrillion ya pesa bila kujiuliza mara mbili mbili hapa pesa itatoka wapi, viongozi wa aina yake ni adimu sana......
Ni kweli,alikua anafata sana sheria kiasi hata aliunda tume ya kuchunguza waliompiga Risasi Lissu,alifata sana sheria kiasi kwamba,aliweza Jenga hospitali kubwa Chato yenye hadhi ya kanda ilhali population yake ni watu laki tatu tu.....kwenye chaguzi alikua mtu wa sheria sana hadi CCM kushinda kwa kishindo,hiyo ndio JPM mfuata sheria
 
nimeangalia kinachoendelea sasa katika nchi na kujikuta nalazimika kumuuliza yafuatayo kuhusu mpendwa wetu jpm (r.i.p);

1. hivi aliwezaje kuwafanya watu wamuogope vile? hofu ile ni kutumbuliwa tu au?!!! namkumbuka mkuu mmoja wa mkoa (nikifanikiwa nitaitupia clip) alivyokuwa anatetemeka siku ile aliyokuwa anasaini kitabu cha wageni...aisee lile tetemo si la kawaida! raisi alikuwa anasaini kitabu huku mkuu wa mkoa akiwa anajiandaa kukaa chini, ghafla raisi akainua macho kupeleka upande ule aliokuwepo mkuu wa mkoa (nafikiri ilikuwa katika kuangalia tu kawaida) aisee mkuu huyo wa mkoa aliinuka ghafla huku anaendelea kutetemeka vibaya sana. akiiona ile clip huko aliko atajisikia vibaya sana.

2. mabarabara yote aliyoyajenga kikwete (ndiye aliyejenga zaidi ya wote) sifa zinaenda kwa jpm. kikwete hatajwi na ukimtaja kuna waaokasirika, aliwezaje kufanya hivi?!!

3. kuna baadhi ya vitu alivianzisha mtangulizi wake (kikwete) katika kuvijenga kama vile flyovers, lakini imeaminishwa kuwa ni jpm tu aliyefanya hivyo. wakati huo huo aliyemfuatia jpm (mama samia) akiendeleza aliloliacha jpm kama vile kuongeza kile kipande cha sgr kule mwanza (ambacho hakikuwepo), hatajwi kabisa mama; anatajwa jpm tu na ukimtaja mama basi kuna watakaokushambulia. aliwezaje kufanya hivi?!!!!!

4. aliagiza machinga waachwe na wajipangie tu mabarabarani. alisema hayo huku akiwa amezungukwa na wasaidizi kibao wakiwemo wataalamu wa mipango miji, wataalamu wa masuala ya population growth, mazingira n.k lakini wote walishindwa kusema chochote juu ya athari kubwa inayoweza kuzaliwa baadae (kwa watakaomfuata). aliwezaje haswa kufanya hivi?!!!!

5. leo hii kikwete na ukoo wake hawaishwi kutajwa tajwa kuwa ni wezi huku yeye akitajwa kuwa ni msafi, aliwezaje mwendazake kuwaaminisha watu hivi?!!!!

6. wakati wake, ukifanyika mradi wowote wa maendeleo ilikuwa inasemwa kwa sauti kubwa, RAISI AMEFANYA HIVI AU VILE. ajabu ni kuwa leo hii mama samia akifanya jambo na ikitolewa taarifa kuwa 'Raisi kafanya hivi', aisee utapata mashambulizi kutoka kwa watu 'KWANI FEDHA ZAKE AU KODI NA TOZO ZETU?!!'. jpm aliwezaje?!!! kawaida hii kweli?!!

7. wakati wa utawala wake, inasemekana wateule wake walikuwa wakristo na watu wa kwao. ajabu ni kuwa watu walikuwa kimya na kusifia tu. kama kuna aliyejaribu kulisema ilo alikutana na hii kauli, 'RAISI HAANGALII DINI BALI UCHAPA KAZI'. cha kushangaza kipindi cha kikwete, akichagua waislamu wawili tu basi kelele zake si za nchi hii. mama nae, ateue waislamu wawili tu katika teuzi 5 alizofanya basi haraka utasikia kauli hizi 'ZAMU YAO WAVAA VIPEDO!', 'ANATEUA WAZANZIBAR WENZIE' n.k. huyu jpm aliwezaje hili?!!!

8. kwake (chato) ilienda kila aina ya miradi; uwanja wa ndege wa kimataifa, nasikia uwanja wa mpira pia, mbuga, hospitali ya kanda, n.k huku kwa waziri mkuu barabara ya km 86 tu ipo vumbini hadi leo hii na mazao yote yategemewayo na wananchi wa kule (mbaazi, korosho na ufuta) yakifilia mbali huko. mawaziri mpaka manaibu mawaziri na wakuu mbalimbali wa taasisi walikuwa wanapishana na kushindana kubuni miradi ya kupeleka kule. aliwezaje huyu mtu kufanya hivi huku watu wakishangilia kinoma?!!!!!!!!!!

9. kununua ndege 11 kwa keshi. aliwezaji ilhali nasikia hata mashirika makubwa yananunua kwa awamu?!!!

yapo meeengi sana lakini hayo yatoshe kuwakilisha.

najiuliza sana kama hii kawaida au kuna sehemu inapatikana 'busta' ya kukusaidia kuwa hivi. kama ipo basi naamini kina mkuu mshana, kama itampendeza, anaweza kuchangia ili tukujue na ikiwezekana tufanye maamuzi ya kwenda kwa ajili ya kuzimudu familia zetu tu (kwani huko siasani hatupo na hakuna dalili ya kuwepo).
Haya nenda msoga kachukue bahasha yako.
 
JPM alipenda vitu vifanyike na vionekane on the spot, hakuamini katika michakato ambayo mara nyingi inajaa urasimu tu, ni mtu aliyependa kusimamia sheria (yupo straight), ni kiongozi aliyekuwa na uthubutu wa kutisha hata kuweza kufanya mega-projects za matrillion ya pesa bila kujiuliza mara mbili mbili hapa pesa itatoka wapi, viongozi wa aina yake ni adimu sana......
Kweli, alipenda "ON THE SPOT", On the spot ilonekana alipozuia uchaguzi wa serikali za mitaa wasichaguliwe wengine ila Chama chake tu. On the spot nyingine ikaonekana kwenye uchaguzi wa October 2020 pale mifuko ya kura bandia iliyosimamiwa na Polisi na TISS ilipoingizwa na KUFANYA bunge liwe la Chama kimoja. On the spot nyingi tu alizisimamia. Kweli naungana na wewe JPM alipenda ON THE SPOT!
 
Magufuli hakuwa popular? mmmmhh

Popular wa kuuwa watu?

IMG_20210930_170832_807.jpg
 
Back
Top Bottom