Hayati Magufuli (R.I.P), Hivi Aliwezaje kufanya yote haya?

Hayati Magufuli (R.I.P), Hivi Aliwezaje kufanya yote haya?

Nilipoona hiyo 7 nikajua kuwa unashawishiwa na mwelekeo ulionao

JPM alikuwa Katili lakini kiutendaji mpe sifa, huwezi kumlinganisha na mwizi Kikwete, nikisema mwizi ni mwizi kweli na nina evidence,

Wote wezi wakubwa tu (mafisadi). Ushahidi concrete tunao. Na huo utendaji umezidiwa na propaganda. “Value for money” haipo.
 
Jpm aliona acha machinga na wao wale mema ya Nchi, Nchi Iwa miaka zaidi ya 50 familia chache ndio wanasoma shule nzuri, elimu bora,maisha ya ufahari n.k...
Jpm alijua siasa kwa miaka 60 hazijatufikisha popote, wasomi wazee wa kufuata vitabu ambao huwa wanajiona wanajua kila kitu walishindwa kutumia elimu yao kutuvukisha...
Jpm akaamua kujifunga mkanda yeye kama yeye kuonyesha ni jinsi gani nchi inapaswa kwenda...,
Jpm inapaswa kumuelewa tu..., Alijua kama taifa kupingana kila hatua ya maendeleo ni kuchelewesha maendeleo...
Wanafiki kwenye hii nchi ni wengi namba 1 upinzani japo siikubali CCM...

Upinzani waliwezaje kumpokea Lowassa ambae walimwita fisadi?
Upinzani ni wanafiki wakubwa wakiongozwa na huyo mamiwani...
 
Hiyo siyo sababu ya msingi ya kuogopwa Kwa JPM mkuu

Mu7 anakandamiza Haki za raia Hadi leo lkn haogopwi km alivyoogopwa JPM enzi za uhai wake

Mwamba hata wapinzani waliishia kumponda mtandaoni Tu lkn akitinga majimboni kwao kila mtu anamuhanya

Tuseme Tu ukweli JPM alikuwa anogopwa tangu enzi akiwa waziri..kabla hata hajawahi kufikiria kuwa Rais,haya matukio ya kukutwa watu kwenye viroba si ya juzi Tu mkuu?

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

Hiyo sababu si haba mkuu uliza kwake PK.

Huko watu hupotea, watu hufa kama ilivyokuwa kwa JPM.

Museveni mbona binadamu?

Museveni si kama hizi mtu mbili.
 
JPM alipenda vitu vifanyike na vionekane on the spot, hakuamini katika michakato ambayo mara nyingi inajaa urasimu tu, ni mtu aliyependa kusimamia sheria (yupo straight), ni kiongozi aliyekuwa na uthubutu wa kutisha hata kuweza kufanya mega-projects za matrillion ya pesa bila kujiuliza mara mbili mbili hapa pesa itatoka wapi, viongozi wa aina yake ni adimu sana......
 
Jpm aliona acha machinga na wao wale mema ya Nchi, Nchi Iwa miaka zaidi ya 50 familia chache ndio wanasoma shule nzuri, elimu bora,maisha ya ufahari n.k...
Jpm alijua siasa kwa miaka 60 hazijatufikisha popote, wasomi wazee wa kufuata vitabu ambao huwa wanajiona wanajua kila kitu walishindwa kutumia elimu yao kutuvukisha...
Jpm akaamua kujifunga mkanda yeye kama yeye kuonyesha ni jinsi gani nchi inapaswa kwenda...,
Jpm inapaswa kumuelewa tu..., Alijua kama taifa kupingana kila hatua ya maendeleo ni kuchelewesha maendeleo...
Wanafiki kwenye hii nchi ni wengi namba 1 upinzani japo siikubali CCM...

Upinzani waliwezaje kumpokea Lowassa ambae walimwita fisadi?
Upinzani ni wanafiki wakubwa wakiongozwa na huyo mamiwani...

Machinga walitumika tu (kama condom).

Alijua hakuwa popular. Akawa detach na watu wenye courage ya kumtolea uvivu barabarani kwa gharama yoyote.

Tulipo leo na wamachinga na kada hiyo kwa ujumla ni hapa:

Madhara ya Awamu ya Tano yanayofumbiwa Macho
 
Superstition and metaphysics
wewe unaamini Mungu anaweza kuniua kukupa unafuu wewe? Stalin aliua watu wangapi na aliendelea. Mao aliua wangapi? Alitawala miaka yote. Mugabe aliua wangapi? Msemo “dua ya kuku haimpati mwewe “ si msemo wa uongo.
Yaani ukiwaza hili unashangaa Mungu ana kazi gani?? anawaachia hawa mashetani waanaishi
 
JPM alipenda vitu vifanyike na vionekane on the spot, hakuamini katika michakato ambayo mara nyingi inajaa urasimu tu, ni mtu aliyependa kusimamia sheria (yupo straight), ni kiongozi aliyekuwa na uthubutu wa kutisha hata kuweza kufanya mega-projects za matrillion ya pesa bila kujiuliza mara mbili mbili hapa pesa itatoka wapi, viongozi wa aina yake ni adimu sana......
Utopolo
 
nimeangalia kinachoendelea sasa katika nchi na kujikuta nalazimika kumuuliza yafuatayo kuhusu mpendwa wetu jpm (r.i.p);

1. hivi aliwezaje kuwafanya watu wamuogope vile? hofu ile ni kutumbuliwa tu au?!!! namkumbuka mkuu mmoja wa mkoa (nikifanikiwa nitaitupia clip) alivyokuwa anatetemeka siku ile aliyokuwa anasaini kitabu cha wageni...aisee lile tetemo si la kawaida! raisi alikuwa anasaini kitabu huku mkuu wa mkoa akiwa anajiandaa kukaa chini, ghafla raisi akainua macho kupeleka upande ule aliokuwepo mkuu wa mkoa (nafikiri ilikuwa katika kuangalia tu kawaida) aisee mkuu huyo wa mkoa aliinuka ghafla huku anaendelea kutetemeka vibaya sana. akiiona ile clip huko aliko atajisikia vibaya sana.

2. mabarabara yote aliyoyajenga kikwete (ndiye aliyejenga zaidi ya wote) sifa zinaenda kwa jpm. kikwete hatajwi na ukimtaja kuna waaokasirika, aliwezaje kufanya hivi?!!

3. kuna baadhi ya vitu alivianzisha mtangulizi wake (kikwete) katika kuvijenga kama vile flyovers, lakini imeaminishwa kuwa ni jpm tu aliyefanya hivyo. wakati huo huo aliyemfuatia jpm (mama samia) akiendeleza aliloliacha jpm kama vile kuongeza kile kipande cha sgr kule mwanza (ambacho hakikuwepo), hatajwi kabisa mama; anatajwa jpm tu na ukimtaja mama basi kuna watakaokushambulia. aliwezaje kufanya hivi?!!!!!

4. aliagiza machinga waachwe na wajipangie tu mabarabarani. alisema hayo huku akiwa amezungukwa na wasaidizi kibao wakiwemo wataalamu wa mipango miji, wataalamu wa masuala ya population growth, mazingira n.k lakini wote walishindwa kusema chochote juu ya athari kubwa inayoweza kuzaliwa baadae (kwa watakaomfuata). aliwezaje haswa kufanya hivi?!!!!

5. leo hii kikwete na ukoo wake hawaishwi kutajwa tajwa kuwa ni wezi huku yeye akitajwa kuwa ni msafi, aliwezaje mwendazake kuwaaminisha watu hivi?!!!!

6. wakati wake, ukifanyika mradi wowote wa maendeleo ilikuwa inasemwa kwa sauti kubwa, RAISI AMEFANYA HIVI AU VILE. ajabu ni kuwa leo hii mama samia akifanya jambo na ikitolewa taarifa kuwa 'Raisi kafanya hivi', aisee utapata mashambulizi kutoka kwa watu 'KWANI FEDHA ZAKE AU KODI NA TOZO ZETU?!!'. jpm aliwezaje?!!! kawaida hii kweli?!!

7. wakati wa utawala wake, inasemekana wateule wake walikuwa wakristo na watu wa kwao. ajabu ni kuwa watu walikuwa kimya na kusifia tu. kama kuna aliyejaribu kulisema ilo alikutana na hii kauli, 'RAISI HAANGALII DINI BALI UCHAPA KAZI'. cha kushangaza kipindi cha kikwete, akichagua waislamu wawili tu basi kelele zake si za nchi hii. mama nae, ateue waislamu wawili tu katika teuzi 5 alizofanya basi haraka utasikia kauli hizi 'ZAMU YAO WAVAA VIPEDO!', 'ANATEUA WAZANZIBAR WENZIE' n.k. huyu jpm aliwezaje hili?!!!

8. kwake (chato) ilienda kila aina ya miradi; uwanja wa ndege wa kimataifa, nasikia uwanja wa mpira pia, mbuga, hospitali ya kanda, n.k huku kwa waziri mkuu barabara ya km 86 tu ipo vumbini hadi leo hii na mazao yote yategemewayo na wananchi wa kule (mbaazi, korosho na ufuta) yakifilia mbali huko. mawaziri mpaka manaibu mawaziri na wakuu mbalimbali wa taasisi walikuwa wanapishana na kushindana kubuni miradi ya kupeleka kule. aliwezaje huyu mtu kufanya hivi huku watu wakishangilia kinoma?!!!!!!!!!!

9. kununua ndege 11 kwa keshi. aliwezaji ilhali nasikia hata mashirika makubwa yananunua kwa awamu?!!!

yapo meeengi sana lakini hayo yatoshe kuwakilisha.

najiuliza sana kama hii kawaida au kuna sehemu inapatikana 'busta' ya kukusaidia kuwa hivi. kama ipo basi naamini kina mkuu mshana, kama itampendeza, anaweza kuchangia ili tukujue na ikiwezekana tufanye maamuzi ya kwenda kwa ajili ya kuzimudu familia zetu tu (kwani huko siasani hatupo na hakuna dalili ya kuwepo).
Kutumia Wasiojulikana! Je 1.5 M ilipata jibu? Hatimaye nini kilimsibu Mkaguzi wa hesabu?
Alifanya ndio lakini vitisho vingi! Wapi ulisikia Rais anafungua Soko!?
Nini kazi ya mawaziri na manaibu wake pia makatibu!??

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Superstition and metaphysics
wewe unaamini Mungu anaweza kuniua kukupa unafuu wewe? Stalin aliua watu wangapi na aliendelea. Mao aliua wangapi? Alitawala miaka yote. Mugabe aliua wangapi? Msemo “dua ya kuku haimpati mwewe “ si msemo wa uongo.

Mkuu kubali kuwa Magufuli na wapambe/wategemezi wake hawakutarajia kuwa kiongozi wao ataondoka mapema hivyo (siku si zake). Walikuwa na matarajio ya “kutesa” madarakani kwa muda mrefu ujao. Hawakuwa tayari kwa kilichotokea. Hapo ndipo pigo lilipo. Ndipo “adhabu” ilipo. Mtikisiko uliowapata ni dhahiri.

Hata muuaji anapotanguliza maadui zake ni kwa dhana hiyo hiyo. Kubomoa ndoto na matarajio. Fikiria Lissu alivyom-survive Magufuli. Angekuwa mswahili angejitapa kwa hilo.

Siamini katika ushirikina lakini I can deeply feel nafuu waliyopata wengi kwa kuondoka ghafla kwa Magufuli. Walikuwa wamejiandaa kwa miaka mingine mitano ya kuishi kwa hofu, ghafla wamepata mzinga wa relief bila kufanya kitu. Hapo wakiuona mkono wa Mungu sishangai. Inaweza kuwa au isiwe dua la kuku kutegemea na utashi wa mfasiri. Binadamu ni spiritual being.
 
nimeangalia kinachoendelea sasa katika nchi na kujikuta nalazimika kumuuliza yafuatayo kuhusu mpendwa wetu jpm (r.i.p);

1. hivi aliwezaje kuwafanya watu wamuogope vile? hofu ile ni kutumbuliwa tu au?!!! namkumbuka mkuu mmoja wa mkoa (nikifanikiwa nitaitupia clip) alivyokuwa anatetemeka siku ile aliyokuwa anasaini kitabu cha wageni...aisee lile tetemo si la kawaida! raisi alikuwa anasaini kitabu huku mkuu wa mkoa akiwa anajiandaa kukaa chini, ghafla raisi akainua macho kupeleka upande ule aliokuwepo mkuu wa mkoa (nafikiri ilikuwa katika kuangalia tu kawaida) aisee mkuu huyo wa mkoa aliinuka ghafla huku anaendelea kutetemeka vibaya sana. akiiona ile clip huko aliko atajisikia vibaya sana.

2. mabarabara yote aliyoyajenga kikwete (ndiye aliyejenga zaidi ya wote) sifa zinaenda kwa jpm. kikwete hatajwi na ukimtaja kuna waaokasirika, aliwezaje kufanya hivi?!!

3. kuna baadhi ya vitu alivianzisha mtangulizi wake (kikwete) katika kuvijenga kama vile flyovers, lakini imeaminishwa kuwa ni jpm tu aliyefanya hivyo. wakati huo huo aliyemfuatia jpm (mama samia) akiendeleza aliloliacha jpm kama vile kuongeza kile kipande cha sgr kule mwanza (ambacho hakikuwepo), hatajwi kabisa mama; anatajwa jpm tu na ukimtaja mama basi kuna watakaokushambulia. aliwezaje kufanya hivi?!!!!!

4. aliagiza machinga waachwe na wajipangie tu mabarabarani. alisema hayo huku akiwa amezungukwa na wasaidizi kibao wakiwemo wataalamu wa mipango miji, wataalamu wa masuala ya population growth, mazingira n.k lakini wote walishindwa kusema chochote juu ya athari kubwa inayoweza kuzaliwa baadae (kwa watakaomfuata). aliwezaje haswa kufanya hivi?!!!!

5. leo hii kikwete na ukoo wake hawaishwi kutajwa tajwa kuwa ni wezi huku yeye akitajwa kuwa ni msafi, aliwezaje mwendazake kuwaaminisha watu hivi?!!!!

6. wakati wake, ukifanyika mradi wowote wa maendeleo ilikuwa inasemwa kwa sauti kubwa, RAISI AMEFANYA HIVI AU VILE. ajabu ni kuwa leo hii mama samia akifanya jambo na ikitolewa taarifa kuwa 'Raisi kafanya hivi', aisee utapata mashambulizi kutoka kwa watu 'KWANI FEDHA ZAKE AU KODI NA TOZO ZETU?!!'. jpm aliwezaje?!!! kawaida hii kweli?!!

7. wakati wa utawala wake, inasemekana wateule wake walikuwa wakristo na watu wa kwao. ajabu ni kuwa watu walikuwa kimya na kusifia tu. kama kuna aliyejaribu kulisema ilo alikutana na hii kauli, 'RAISI HAANGALII DINI BALI UCHAPA KAZI'. cha kushangaza kipindi cha kikwete, akichagua waislamu wawili tu basi kelele zake si za nchi hii. mama nae, ateue waislamu wawili tu katika teuzi 5 alizofanya basi haraka utasikia kauli hizi 'ZAMU YAO WAVAA VIPEDO!', 'ANATEUA WAZANZIBAR WENZIE' n.k. huyu jpm aliwezaje hili?!!!

8. kwake (chato) ilienda kila aina ya miradi; uwanja wa ndege wa kimataifa, nasikia uwanja wa mpira pia, mbuga, hospitali ya kanda, n.k huku kwa waziri mkuu barabara ya km 86 tu ipo vumbini hadi leo hii na mazao yote yategemewayo na wananchi wa kule (mbaazi, korosho na ufuta) yakifilia mbali huko. mawaziri mpaka manaibu mawaziri na wakuu mbalimbali wa taasisi walikuwa wanapishana na kushindana kubuni miradi ya kupeleka kule. aliwezaje huyu mtu kufanya hivi huku watu wakishangilia kinoma?!!!!!!!!!!

9. kununua ndege 11 kwa keshi. aliwezaji ilhali nasikia hata mashirika makubwa yananunua kwa awamu?!!!

yapo meeengi sana lakini hayo yatoshe kuwakilisha.

najiuliza sana kama hii kawaida au kuna sehemu inapatikana 'busta' ya kukusaidia kuwa hivi. kama ipo basi naamini kina mkuu mshana, kama itampendeza, anaweza kuchangia ili tukujue na ikiwezekana tufanye maamuzi ya kwenda kwa ajili ya kuzimudu familia zetu tu (kwani huko siasani hatupo na hakuna dalili ya kuwepo).
Usukumani huku ipo dawa ya inayo tokana simba dume inatumiwa sana tu
 
Hiyo siyo sababu ya msingi ya kuogopwa Kwa JPM mkuu

Mu7 anakandamiza Haki za raia Hadi leo lkn haogopwi km alivyoogopwa JPM enzi za uhai wake

Mwamba hata wapinzani waliishia kumponda mtandaoni Tu lkn akitinga majimboni kwao kila mtu anamuhanya

Tuseme Tu ukweli JPM alikuwa anogopwa tangu enzi akiwa waziri..kabla hata hajawahi kufikiria kuwa Rais,haya matukio ya kukutwa watu kwenye viroba si ya juzi Tu mkuu?

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Jiwe alikuwa katili na muuaji, alijona Mungu mtu akaitwa chapu na Mungu mwenyewe.
 
Hee! Jinga kabisaa hili la jf..jpm was popular before his presidency! He was even popular than his boss at the time. You are just rubbish posting rubbish in jf.

Of which it is agreed.

Bujibuji rightly throws the total blames onto gwajima.

How the hell could he so recklessly relinquish us at such an important moment, falling entirely in his area of competency?!
 
Jpm aliona acha machinga na wao wale mema ya Nchi, Nchi Iwa miaka zaidi ya 50 familia chache ndio wanasoma shule nzuri, elimu bora,maisha ya ufahari n.k...
Jpm alijua siasa kwa miaka 60 hazijatufikisha popote, wasomi wazee wa kufuata vitabu ambao huwa wanajiona wanajua kila kitu walishindwa kutumia elimu yao kutuvukisha...
Jpm akaamua kujifunga mkanda yeye kama yeye kuonyesha ni jinsi gani nchi inapaswa kwenda...,
Jpm inapaswa kumuelewa tu..., Alijua kama taifa kupingana kila hatua ya maendeleo ni kuchelewesha maendeleo...
Wanafiki kwenye hii nchi ni wengi namba 1 upinzani japo siikubali CCM...

Upinzani waliwezaje kumpokea Lowassa ambae walimwita fisadi?
Upinzani ni wanafiki wakubwa wakiongozwa na huyo mamiwani...
Chunguza sana watu waliokuwa wanamwelewa Jiwe, akili fupi(vilaza), masikini, sikuma gang. Lazima mtu huyo at fall kwenye mojawapo la hayo makundi kama siyo yote
 
nimeangalia kinachoendelea sasa katika nchi na kujikuta nalazimika kumuuliza yafuatayo kuhusu mpendwa wetu jpm (r.i.p);

1. hivi aliwezaje kuwafanya watu wamuogope vile? hofu ile ni kutumbuliwa tu au?!!! namkumbuka mkuu mmoja wa mkoa (nikifanikiwa nitaitupia clip) alivyokuwa anatetemeka siku ile aliyokuwa anasaini kitabu cha wageni...aisee lile tetemo si la kawaida! raisi alikuwa anasaini kitabu huku mkuu wa mkoa akiwa anajiandaa kukaa chini, ghafla raisi akainua macho kupeleka upande ule aliokuwepo mkuu wa mkoa (nafikiri ilikuwa katika kuangalia tu kawaida) aisee mkuu huyo wa mkoa aliinuka ghafla huku anaendelea kutetemeka vibaya sana. akiiona ile clip huko aliko atajisikia vibaya sana.

2. mabarabara yote aliyoyajenga kikwete (ndiye aliyejenga zaidi ya wote) sifa zinaenda kwa jpm. kikwete hatajwi na ukimtaja kuna waaokasirika, aliwezaje kufanya hivi?!!

3. kuna baadhi ya vitu alivianzisha mtangulizi wake (kikwete) katika kuvijenga kama vile flyovers, lakini imeaminishwa kuwa ni jpm tu aliyefanya hivyo. wakati huo huo aliyemfuatia jpm (mama samia) akiendeleza aliloliacha jpm kama vile kuongeza kile kipande cha sgr kule mwanza (ambacho hakikuwepo), hatajwi kabisa mama; anatajwa jpm tu na ukimtaja mama basi kuna watakaokushambulia. aliwezaje kufanya hivi?!!!!!

4. aliagiza machinga waachwe na wajipangie tu mabarabarani. alisema hayo huku akiwa amezungukwa na wasaidizi kibao wakiwemo wataalamu wa mipango miji, wataalamu wa masuala ya population growth, mazingira n.k lakini wote walishindwa kusema chochote juu ya athari kubwa inayoweza kuzaliwa baadae (kwa watakaomfuata). aliwezaje haswa kufanya hivi?!!!!

5. leo hii kikwete na ukoo wake hawaishwi kutajwa tajwa kuwa ni wezi huku yeye akitajwa kuwa ni msafi, aliwezaje mwendazake kuwaaminisha watu hivi?!!!!

6. wakati wake, ukifanyika mradi wowote wa maendeleo ilikuwa inasemwa kwa sauti kubwa, RAISI AMEFANYA HIVI AU VILE. ajabu ni kuwa leo hii mama samia akifanya jambo na ikitolewa taarifa kuwa 'Raisi kafanya hivi', aisee utapata mashambulizi kutoka kwa watu 'KWANI FEDHA ZAKE AU KODI NA TOZO ZETU?!!'. jpm aliwezaje?!!! kawaida hii kweli?!!

7. wakati wa utawala wake, inasemekana wateule wake walikuwa wakristo na watu wa kwao. ajabu ni kuwa watu walikuwa kimya na kusifia tu. kama kuna aliyejaribu kulisema ilo alikutana na hii kauli, 'RAISI HAANGALII DINI BALI UCHAPA KAZI'. cha kushangaza kipindi cha kikwete, akichagua waislamu wawili tu basi kelele zake si za nchi hii. mama nae, ateue waislamu wawili tu katika teuzi 5 alizofanya basi haraka utasikia kauli hizi 'ZAMU YAO WAVAA VIPEDO!', 'ANATEUA WAZANZIBAR WENZIE' n.k. huyu jpm aliwezaje hili?!!!

8. kwake (chato) ilienda kila aina ya miradi; uwanja wa ndege wa kimataifa, nasikia uwanja wa mpira pia, mbuga, hospitali ya kanda, n.k huku kwa waziri mkuu barabara ya km 86 tu ipo vumbini hadi leo hii na mazao yote yategemewayo na wananchi wa kule (mbaazi, korosho na ufuta) yakifilia mbali huko. mawaziri mpaka manaibu mawaziri na wakuu mbalimbali wa taasisi walikuwa wanapishana na kushindana kubuni miradi ya kupeleka kule. aliwezaje huyu mtu kufanya hivi huku watu wakishangilia kinoma?!!!!!!!!!!

9. kununua ndege 11 kwa keshi. aliwezaji ilhali nasikia hata mashirika makubwa yananunua kwa awamu?!!!

yapo meeengi sana lakini hayo yatoshe kuwakilisha.

najiuliza sana kama hii kawaida au kuna sehemu inapatikana 'busta' ya kukusaidia kuwa hivi. kama ipo basi naamini kina mkuu mshana, kama itampendeza, anaweza kuchangia ili tukujue na ikiwezekana tufanye maamuzi ya kwenda kwa ajili ya kuzimudu familia zetu tu (kwani huko siasani hatupo na hakuna dalili ya kuwepo).
Kikwete umejitosa JF kujitetea?
Nchi ilikushinda mjomba,kaa tu ule pensheni.
Hata ukipewa urais Tena mziki wa sukumagang huuwezi,Labda ule wa fitina unaweza na kuuza sura Ulaya.
 
Back
Top Bottom