Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hawa IDF ni wasanii kinoma yani waingie Hollywood tu hakuna namnaDizain km tunnel ya lift ya makao makuu ya zaman ya bandar ya salama[emoji41][emoji41][emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa IDF ni wasanii kinoma yani waingie Hollywood tu hakuna namnaDizain km tunnel ya lift ya makao makuu ya zaman ya bandar ya salama[emoji41][emoji41][emoji41]
Maneno mengi ya nn wanacho takiwa ni kuonesha hayo mahandaki na mateka walio dai kuwa walikuwa ndani ya hospital hiyo.Nilimuona dw yule daktari nikampuuza kwa maelezo yake tu unajua kuwa Ni mshirika wa Hamas
Vipi Mkuu mateka na viongozi wa Hamas mlio tuambia kuwa wako ndani ya hospital wamesha kamatwa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hayo maneno ungewaambia waislamu waarabu na chuki zao dhidi ya jews and Christian
Wachafu wanachafuka tena!! Hao ni wachafu hata kabla hawajachukua madaraka kuua na kutesa raia kubaka kuchinja kuburuta maiti za wanawake mitaani na kila ushetani, ni majangili tuHamas walikosea Sana kuwaua wapalestina waliokuwa wanakimbia Al Shifa. Hili suala limewachafua Sana.
Wakae kusubiri kukamatwa?!! Lazma wakimbie kama kawaida ya wezi na wahalifu wowote wanavyofanya mwisho watadakwa kama Osama alivyokimbia Torabora Afghanistan mwisho akadakwa kajificha kama panya Pakistan au Saddam alivyochimbiliwa shimoni kama muhogo au kiazi, za mwizi arobaini.Vipi Mkuu mateka na viongozi wa Hamas mlio tuambia kuwa wako ndani ya hospital wamesha kamatwa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaa mnawaita wazayuni hawaongei sana wakiongea ni kutoa taarifa tu walichofanya.
Mkuu hawa walishasema ua mmoja wetu tutaua 100 huko kwenu hili Nyau alisema zamani sana kabla ya tar 7oct,Israel inataka kusafisha kila gaidi hata kama itaua na mateka wao.
Lakini mlisema wamezingirwa na hawawezi kwenda popote na vipi chumba cha comand na chenyewe wamekibeba na kuondoka nacho?Wakae kusubiri kukamatwa?!! Lazma wakimbie kama kawaida ya wezi na wahalifu wowote wanavyofanya mwisho watadakwa kama Osama alivyokimbia Torabora Afghanistan mwisho akadakwa kajificha kama panya Pakistan au Saddam alivyochimbiliwa shimoni kama muhogo au kiazi, za mwizi arobaini.
Hii ilikuwa oktoba 7Hama's ndio adui mkuu wa Wapalestina.
Haya yote ni majibu ya upuuzi walioufanya September 7.
Inaonekana mwezi September unapendwa na magaidi wa kiislamu kuuwa watu wasiokuwa na hatia.
Ni kubwa sana,chini tunnel umeonyeshwa jamaa wanapozama wanatokea mbele huko kuna ma ghorofa makubwa tu.Kwan hiyo hospital ina ukubwa gan kieneo mpaka jeshi la wateule wanatumia muda mwingi kufanya usafishaj???
Wapigania Allah katika ubora wao. Hao wazee kina Ismail haniya na genge lake wao hawataki kuwahi wale mabikra 72 kule Jannah kabisa.Doha, Qatar kwenye kiyoyozi wakiwa wamezungukwa na bebez wa kiarabu
Ujaona bado au Ni aibu kubwaManeno mengi ya nn wanacho takiwa ni kuonesha hayo mahandaki na mateka walio dai kuwa walikuwa ndani ya hospital hiyo.
Kwa kuzingatia aina ya story unazotuandikia humu jamvin nilitegemea lingekua funzo kwetu kujizuia kutoshabikia vurugu zenye milengo ya kubaguana kidin,kikabila,kiukoo na vinginevyo kutokana na madhara yaliyosababishwa na aina hiyo ya ubaguzHayo maneno ungewaambia waislamu waarabu na chuki zao dhidi ya jews and Christian
Upo sahih hatupasw kutetea ujinga na ndio maana tunapaswa tufatilie mzozo kabla ya tukio la trh7 ili kujua kilichopelekea mpaka Hamas wakachukua hayo maamuzNi kubwa sana,chini tunnel umeonyeshwa jamaa wanapozama wanatokea mbele huko kuna ma ghorofa makubwa tu.
Ni ka kijiji chao.
Usitetee ujinga aisee,hii issue imefanya wengine wapitie majuto kwaajili ya hao watu waliochokoza wenzao huko.
Mkuu ulitegemea Hamas wakae hapo shifa na mateka🤣🤣🤣Vipi Mkuu mateka na viongozi wa Hamas mlio tuambia kuwa wako ndani ya hospital wamesha kamatwa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ukiwa kwenye circle utaelewa.Kwa kuzingatia aina ya story unazotuandikia humu jamvin nilitegemea lingekua funzo kwetu kujizuia kutoshabikia vurugu zenye milengo ya kubaguana kidin,kikabila,kiukoo na vinginevyo kutokana na madhara yaliyosababishwa na aina hiyo ya ubaguz
Na kwa vile wew hayo unayajua zaid kuliko sis ungekua baloz mzur mno
Kumbe kuna mateka walio kombolewa?Ujaona bado au Ni aibu kubwa
Si zaidi ya wiki nzima mnatambia wamezingirwa na hawana pakutokea?Mkuu ulitegemea Hamas wakae hapo shifa na mateka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu upo al shifa nn??Si zaidi ya wiki nzima mnatambia wamezingirwa na hawana pakutokea?
Alafu siku hizi mitambo ya Comand ni masink ya vyoo na lift?