Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Ndugu zangu vifijo na nderemu vimetawala mitaa ya jangwani baada ya klabu ya yanga kujipatia ushindi kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu hiyo.
Ikumbukwe mapema leo klabu hiyo ilikuwa ikipepetana dhidi ya timu kibonde kutoka Ghana medeama fc kisha kuichabanga magoli matatu kwa mtungi.
Baada ya kuibuka na ushindi huo sasa kumeibua matumaini ya kusonga mbele zaidi katika michuano hiyo huku ikiiombea mabaya CR Belouzdad ya algeria.
Watanzania wote kwa ujumla tunaipongeza yanga sc kwa hatua hiyo kubwa waliyoifikia toka kuanzishwa kwa klabu hiyo.
Ikumbukwe mapema leo klabu hiyo ilikuwa ikipepetana dhidi ya timu kibonde kutoka Ghana medeama fc kisha kuichabanga magoli matatu kwa mtungi.
Baada ya kuibuka na ushindi huo sasa kumeibua matumaini ya kusonga mbele zaidi katika michuano hiyo huku ikiiombea mabaya CR Belouzdad ya algeria.
Watanzania wote kwa ujumla tunaipongeza yanga sc kwa hatua hiyo kubwa waliyoifikia toka kuanzishwa kwa klabu hiyo.