Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimae Yanga SC yapata ushindi kwa mara ya kwanza baada ya miaka 80

Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimae Yanga SC yapata ushindi kwa mara ya kwanza baada ya miaka 80

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ndugu zangu vifijo na nderemu vimetawala mitaa ya jangwani baada ya klabu ya yanga kujipatia ushindi kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu hiyo.

Ikumbukwe mapema leo klabu hiyo ilikuwa ikipepetana dhidi ya timu kibonde kutoka Ghana medeama fc kisha kuichabanga magoli matatu kwa mtungi.

Baada ya kuibuka na ushindi huo sasa kumeibua matumaini ya kusonga mbele zaidi katika michuano hiyo huku ikiiombea mabaya CR Belouzdad ya algeria.

Watanzania wote kwa ujumla tunaipongeza yanga sc kwa hatua hiyo kubwa waliyoifikia toka kuanzishwa kwa klabu hiyo.
 
Ndugu zangu vifijo na nderemu vimetawala mitaa ya jangwani baada ya klabu ya yanga kujipatia ushindi kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu hiyo.

Ikumbukwe mapema leo klabu hiyo ilikuwa ikipepetana dhidi ya timu kibonde kutoka Ghana medeama fc kisha kuichabanga magoli matatu kwa mtungi.

Baada ya kuibuka na ushindi huo sasa kumeibua matumaini ya kusonga mbele zaidi katika michuano hiyo huku ikiiombea mabaya CR Belouzdad ya algeria.

Watanzania wote kwa ujumla tunaipongeza yanga sc kwa hatua hiyo kubwa waliyoifikia toka kuanzishwa kwa klabu hiyo.
Yanga haijawahi kupata ushindi??


Au umeandika huku umelewa?
 
Ndugu zangu vifijo na nderemu vimetawala mitaa ya jangwani baada ya klabu ya yanga kujipatia ushindi kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu hiyo.

Ikumbukwe mapema leo klabu hiyo ilikuwa ikipepetana dhidi ya timu kibonde kutoka Ghana medeama fc kisha kuichabanga magoli matatu kwa mtungi.

Baada ya kuibuka na ushindi huo sasa kumeibua matumaini ya kusonga mbele zaidi katika michuano hiyo huku ikiiombea mabaya CR Belouzdad ya algeria.

Watanzania wote kwa ujumla tunaipongeza yanga sc kwa hatua hiyo kubwa waliyoifikia toka kuanzishwa kwa klabu hiyo.
Yanga ina bahati ya kukutana na timu vibonde


Hata tarehe 5/11/2023 ilikutana na timu kibonde ikaibonda 5:1😂😂😂
 
Mkuu ficha basi ujinga wako lau kwa masaa machache.
Usiwe kama chipukizi wa ccm
 
Ni rekodi ya kipekee na ya kujivunia kwa kweli. Kongole kwao
 
Nili na wapi ukinitumia nakupa laki yako chapi isiyo na longolongo
Ndugu mbumbumbu kama mambo ya mpira hamyafahamu usikurupuke.

Katika Historia ya soka la Nchi hii, Yanga ndio klabu ya Kwanza kutokea Tanzania kufika hatua ya robo fainali mara mbili mfululizo katika mashindano ya klabu bingwa barani Afrika 1969 na 1970.

Sasa kama Jana ndio imeshinda kwa mara ya kwanza izo robo za 1969 na 1970 alifikaje!!
 
Nili [emoji777] Lini [emoji736]

Chapi [emoji777] Chapu [emoji736]

Ulienda shuleni kusomea ujinga [emoji848][emoji4]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Asante kwa marekebisho, njoo kwenye mada nipe matokeo wewe tangu uzaliwe ni lini uliiona yanga inashinda mchezo wake kwenye hatua ya makundi caf champions league. Kuna laki moja yako hapa chapu
 
Ndugu mbumbumbu kama mambo ya mpira hamyafahamu usikurupuke.

Katika Historia ya soka la Nchi hii, Yanga ndio klabu ya Kwanza kutokea Tanzania kufika hatua ya robo fainali mara mbili mfululizo katika mashindano ya klabu bingwa barani Afrika 1969 na 1970.

Sasa kama Jana ndio imeshinda kwa mara ya kwanza izo robo za 1969 na 1970 alifikaje!!
Hiyo mechi kwenye hatua ya makundi alimfunga nani? Mwaka gani? Na kwenye kundi lake kulikuwa na timu ngapi? Zitaje timu hizo, alimaliza nafasi ya ngapi yanga. Kuna laki moja yako hapa.
 
Hiyo mechi kwenye hatua ya makundi alimfunga nani? Mwaka gani? Na kwenye kundi lake kulikuwa na timu ngapi? Zitaje timu hizo, alimaliza nafasi ya ngapi yanga. Kuna laki moja yako hapa.
Ndugu mbumbumbu lazima utambue mambo ya makundi yameanza hivi karibuni, mwaka 1998 wakati Yanga Alisha cheza robo fainali ya klabu bingwa Afrika mara 2.
Haina mantiki yoyote kufananisha hatua za makundi wakati timu imecheza robo mara 2.
Tena iyo hatua ya makundi ya mwaka 1998 ili husisha timu 8 zilizo anza na timu zaidi ya 50, kukawa na Makundi mawili A,B ambayo yalikua na timu 4 Kila kundi maana yake ilikua ni hatua ya robo fainali.
Robo usifananishe na Makundi.
 
Ndugu zangu vifijo na nderemu vimetawala mitaa ya jangwani baada ya klabu ya yanga kujipatia ushindi kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu hiyo.

Ikumbukwe mapema leo klabu hiyo ilikuwa ikipepetana dhidi ya timu kibonde kutoka Ghana medeama fc kisha kuichabanga magoli matatu kwa mtungi.

Baada ya kuibuka na ushindi huo sasa kumeibua matumaini ya kusonga mbele zaidi katika michuano hiyo huku ikiiombea mabaya CR Belouzdad ya algeria.

Watanzania wote kwa ujumla tunaipongeza yanga sc kwa hatua hiyo kubwa waliyoifikia toka kuanzishwa kwa klabu hiyo.
Iyo bangi unayotumia itakuwa ni ya Arusha umeiswaga bila kula matokeo yake ndiyo haya!
 
Back
Top Bottom