Hayawi hayawi sasa yamekuwa, hatimae Yanga SC yapata ushindi kwa mara ya kwanza baada ya miaka 80



2023 -80 = 1943..!!
 
Mbona mnabishia kitu kilichowazi!!? Ni kweli nakundi yalianza 1998. Na Yanga alicheza kwenye ligi hiyo. Hakushinda hata mchezo mmoja. Kama ambavyo inasemwa, na ndivyo ukweli ulivyo kuwa ni zaidi ya miaka 20 Yanga haijaingia makundi ACL, ndivyo hivyo inaeleweka ilikuwa haijawahi kushinda kwenye huu utaratibu wa makundi, na jana, ndiyo mchezo wake wa kwanza kushinda!
Kama sivyo hivyo, si ielezwe!!!?
 
Yanga ina bahati ya kukutana na timu vibonde


Hata tarehe 5/11/2023 ilikutana na timu kibonde ikaibonda 5:1πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wakicheza wao Champions league huwa inakuwa haina vibonde, wakicheza Yanga ndiyo vibonde hutokelezea.
Msimu uliopita walidai vibonde wapo shirikisho, this time wameshaisahau kauli yao, wanadai vibonde wapo Champions.

Wanampamba Wydad aonekane ni giant, wakati kwenye kundi lao, point pekee alizo nazo Wydad alizipata kwa kuwafunga Simba na mechi pekee aliyoshinda Simba hadi sasa ni aliyowafunga Wydad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…