Ndugu mbumbumbu lazima utambue mambo ya makundi yameanza hivi karibuni, mwaka 1998 wakati Yanga Alisha cheza robo fainali ya klabu bingwa Afrika mara 2.
Haina mantiki yoyote kufananisha hatua za makundi wakati timu imecheza robo mara 2.
Tena iyo hatua ya makundi ya mwaka 1998 ili husisha timu 8 zilizo anza na timu zaidi ya 50, kukawa na Makundi mawili A,B ambayo yalikua na timu 4 Kila kundi maana yake ilikua ni hatua ya robo fainali.
Robo usifananishe na Makundi.