Hayawi hayawi sasa yamekuwa mwana JF ndani ya shela

Hongera sn b shost,Mungu akupe hekima ya kuilea na ku2nza ndoa yko. Utuombee na sie Mungu a2kutanishe na ubavu wa pili.
 

Mwenyekiti usimwage kuku kwenye mchele kidogo!
Tumesema lazima tulipize! marejesho huwa anakuja kutembelea miradi yake
 
Last edited by a moderator:

Hapa ni hongera tu!
Mpokeeni sawasawa!
Kwahiyo PakaJimmy mmeonana naye mara tano sio?
 
Last edited by a moderator:

Taratibu na Mke wangu!
 
Last edited by a moderator:
Dada huyoo!! Anaolewaa! Maharii! Keshatolewa!! Haya wape hongera zao bibi na bwana harusi mtarajiwa!!
Hahahahaaaa Munkari umenichekesha sana aiseee
Umenikumbusha mwaka jana nilikuwa namuimbia mdada mmoja lol
Safi sana YNNAH huyooooooo anaolewaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…