SINGLE WINDOW
JF-Expert Member
- Sep 2, 2021
- 356
- 278
Da sjui ulikuwa na haraka Gani kupost bila kuangalia yaani wanafungua ndoa leo???!!!Leo ni siku ya Jumamosi Nandera na Emmanuel (Nandy na Billnass) wanafunga ndoa yao katika kanisa la KKKT usharioa wa Mbezi beach.
Awali wawili hawa walivishana pete ya uchumba na leo wanakwenda kuwa mwili mmoja, tayari maharusi wameshawasili kanisani na shamra shamra zinaendelea katika kukamioisha shughuli nzima.
Tuwaombee wawili hawa ndoa yao ikawe heri na baraka kwao na kwa familia nzima watakayojaliwa.
Wanafungaga ndoa wajawazito?Kivipi wakati apo ni mjamzito?
DuuhWataachana tu.
Mkuu waombee tu basi mengine waachie wenyewe na Mungu wao.
Kwa drama utawaweza?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa nandi analia Nini wakati anakataga mauno fiesta uwanja umetaapika leo kanisa hata halijaja analeta drama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ukweli Nandy na Nenga wamevumilia vingi mnooo.Ndoa si kitu rahisi ,kulia ni hisia muacheni Alie, analia vingi ,Naamini watadumu Sana maana wamekutana wote sio wahuni,SEMA tu mama mtu ndo alikua analeta tamaa zake na ameshindwa kwa jina la Mungu aliye hai.
Ila nyie watu, khaaaaah.Kuwa nenga inataka moyo ndugu.. yaan unajua kabisa bwana wa unaetaka kuoa alidanja na naniliu na bado unakomaa tuu.. ndomana nandy anampenda sana jamaa sabab anajua mwamba amesacrifice maisha yake 100%.
Mlongo leka bhana, jova neno basi kwa vahanu hava. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nutarud baada ya miaka miwili panapo uzima
Kwa sasa siwez comment chochote
Nenga kakataaKwanini hawahamualika KOFI OLOMIDE a.k.a Papa mobimba?
Yaah... Waombewe tu! Ila kwa mapito yao nadhani wamejifunza mengi na nafsi zao zipo tayari!Mkuu waombee tu basi mengine waachie wenyewe na Mungu wao.
Ufike wakati tuwe watu.Daahh, Tulioneshwa Junior anachukungulia mlango sasa ndio ndoano inafuata...
Huyu mfungisha ndoa na hili kanisa linabariki ndoa ya namna hii...!!
Enewei, maharusi karibuni chamani!
Ndio akili za vijana wetu..mawazo ya hovyo kabisaAisee!
πππππKwanini hawahamualika KOFI OLOMIDE a.k.a Papa mobimba?
Kuna katuni ya masudi ya padre amuuliza jamaa anaeoa mke mjamzitoBibi harusi huyo huyo mama kijacho!
Dunia ya sasa vuruguvurugu
Tena ilibak kidogo. Nikutag unipe za. Ndaani kabisaIla nyie watu, khaaaaah.
Hamna dogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]