Hazina acheni kuitumia CRDB na kuiacha NMB. Watumishi mmeona kinachoendelea

Nasikia mpaka Sasa walimu wanaochukulia NMB ni bila bila


Kwa kweli ni hatari kama ni kweli hii ni baraa tofauti ya zaidi ya masaa 24.
 
Mimi mshahara unapitia CRDB lakini mbona mpaka sasa muamala haujasoma?
 
Soko linapaswa kuwa huria, Serikali haipaswi kuibeba NMB au CRDB.

Nmb pia wazito sana hata kwenye akaunti za makampuni. Ni wazuri kwenye mikopo ila utendaji binafsi sina experience nzuri na wao.
Watu wanasahau kwamba serikali ina hisa katika benki zote hizo. Ya NMB ni kubwa zaidi.
 
CRDB Mpaka sasa nasaga meno nitawafuata huko huko dodoma kama wanafanya majaribio ya mfumo mpya basi wafanye kwenye madokezo sio kwenye mshahara hela yenyewe haifiki hata mwezi mmoja .
Bado wanakula buku buku za balance inquiry
 
Mpaka sasa muda ni 20:00 leo tarehe 23.01.2023 sijapata kitu, bora watoe tuu nirudi kazini.
 
Mkuu na mimi ndo nimepata muda huu saa 13:11. Ila nimeshangaa kwa nini wachelewe mpaka tarehe 24.01.2023.
 
Soko linapaswa kuwa huria, Serikali haipaswi kuibeba NMB au CRDB.

Nmb pia wazito sana hata kwenye akaunti za makampuni. Ni wazuri kwenye mikopo ila utendaji binafsi sina experience nzuri na wao.
Unataka hizo benki zife?

Wakifanya kila Bank kina NBC,DTB,KCB,Equity, Stanchart, Stanbic watapata wafuasi
 
Mm binafsi salary inapitia nmb na iliwahi siku2 kabla ya crdb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…