National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
makandaradi wengi wanakimbia mjini π π π .. wanaangalia watoke vipi tena maana sio kwa ubao mkaliNimepita mbezi nikashuka kununua mazaga, maniner dah...bei ya mkate inazidi kupanda tu, maji ya kunywa yanapanda bei, pombe zimepanda bei..
ya YEP MERKEZ umeambiwa ?HAKUNA MRADI ULIOSIMAMA KWA KUKOSA FEDHA,
Note this!
chadema mkisikia udaku /uongo wa serekalini hakuna hela mnafutahi kwelikweli,ajabu sana!ya YEP MERKEZ umeambiwa ?
Ndio maana ya DPW, kuja ili niweze kuishiLicha ya Serikali ya Tanzania kuwa na upungufu mkubwa wa Dolla ya kimarekani, haijatosha na bado serikali ya Tanzania Inaonekana kuwa na Uhaba mkubwa wa Fedha za ndani ambazo Ali maarufu wanaziita madafu yaani Tsh, Hali hii imepelekea maisha kuwa magumu mtaani Kwa minajili kwamba ajira nyingi za sekta binafsi zinategemea serikali, kwani nyingi zinapata flow ya pesa kutoka Kwa mwigulu nchemba na wizara yake kiujumla.
Hali ya Hazina ni mbaya sana, pesa hakuna, ila tujikumbushe kuwa serikali kamwe haiwezi kufeli, na hiki ni kipindi cha mpito.
Hata wote tunakumbuka serikali ya Ugiriki ilivyodondoka kiuchumi, na kuokolewa na serikali ya ujerumani Kwa kuingiza Fedha kiasi Cha Dolla bilioni 100, kama Mkopo Kwa Greece , ambapo mpaka Sasa Mkopo huo uliweza kulipwa kupitia staili ya mabeberu ya magharibi ya kutumia ukoloni mamboleo.
Hali hii pia tunashukuru tumeweza kuijua kwakuwa serikali iliyopo madarakani imeruhusu uhuru wa kuongea , kwani ingekuwa enzi zile habari hii ingekuwa ni Siri kubwa
Nyie mnaosema sisi wahaini ndio wahaini kwa kutumia silaha za kalamu zenu.Wanaopandisha bei ni wahaini.
Ushauri wa bure.
Mama amtoe Mwigulu pale hazina.
Kwanza itastabilaiz uchumu lkn pia itapandisha umaarufu wake.
(Jamani Mwigulu hamudu pale labda kusimamia mabasi na vituo vya mafuta, sio hazina ya nchi)
Source ya Taarifa hii Iko wapi?Licha ya Serikali ya Tanzania kuwa na upungufu mkubwa wa Dolla ya kimarekani, haijatosha na bado serikali ya Tanzania Inaonekana kuwa na Uhaba mkubwa wa Fedha za ndani ambazo Ali maarufu wanaziita madafu yaani Tsh, Hali hii imepelekea maisha kuwa magumu mtaani Kwa minajili kwamba ajira nyingi za sekta binafsi zinategemea serikali, kwani nyingi zinapata flow ya pesa kutoka Kwa mwigulu nchemba na wizara yake kiujumla.
Hali ya Hazina ni mbaya sana, pesa hakuna, ila tujikumbushe kuwa serikali kamwe haiwezi kufeli, na hiki ni kipindi cha mpito.
Hata wote tunakumbuka serikali ya Ugiriki ilivyodondoka kiuchumi, na kuokolewa na serikali ya ujerumani Kwa kuingiza Fedha kiasi Cha Dolla bilioni 100, kama Mkopo Kwa Greece , ambapo mpaka Sasa Mkopo huo uliweza kulipwa kupitia staili ya mabeberu ya magharibi ya kutumia ukoloni mamboleo.
Hali hii pia tunashukuru tumeweza kuijua kwakuwa serikali iliyopo madarakani imeruhusu uhuru wa kuongea , kwani ingekuwa enzi zile habari hii ingekuwa ni Siri kubwa
Ni kweli mifumo ikifunguliwa kuanzia September bei za bidhaa hasa Petroleum na Cement zitashukaWabongo muwe na kiasi,,
Sio kila kitu kujitia kujua, Kwa kawaida mwez July had August mifumo ya fedha serikalin inakuwa imefungwa Kwa ajili ya ukamilishaj wa maandaliz ya bajet mpya.
Utaona kuanzia September Mambo yanabadilika.
Mpaka leo haieleweki dpw alipatikana vipi tenda haikutangazwa alishindana na na kampuni zipi namshangaa huyu mzee dk Asad yeye aliyekuwa CAG kusema watu hawana uelewa kuhusu uwekezaji bandariniPesa tunamalizia kuhonga Waandishi wa habari, Wanasheria nk ili DP WORLD apewe bandari. Tuna tatizo la msingi Kiuongozi Nchi hii.
Maono yangu, UBINAFSISHAJI WA TPA Utangazwe wazi Makampuni yote yapewe uwanja sawa wa kiushindani tupate mwekezaji wa zao la ushindani.
Sio kutuletea wajomba zenu....ova
bora uhaini kuliko ufisadi.samia kachukua mkopo wa kujenga nyumba bonde msimbazi.akasema mradi unaanza mwezi wa nne mwaka huu.wa nane sasa kimya.hela kapeleka wapi?Mhaini wewe
Biashara zote sasa hivi hazitoki...wateja hamnaπ..hela hamna yaani...Kimsingi uchumi wa Tanzania umekufa chali , wanaficha tu , hebu jaribu kutembelea kariakoo , wenye nafuu ni wauza unga tu