Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
Nasikia hapo kwenu UDOM degree za chupi zipo kibao maana wengi ni vilazaUnabishana na kichaa, hiyo comment yake ya mwisho ukupaswa kumjibu ni tope tu! etii udom ni sawa na zoom college " huyu nia yake akugeuze nawe huwe kichaa mweziee mbishane for nonsense.
Anzhisheni uzi mwingine wa kubishania vyuo!Povu la graduate wa chuo cha kata kutalijua tu.
UDOM ni chuo wanachoenda wale walikosoa nafasi UDSM na Muhimbili. Ndio maana kinaitwa chuo cha vilaza. Wale wenye three na two za mwisho mwisho ndo wanaenda huko. Division one clean zinaishia mlimani chuo bora Africa
Nakusamehe wewe ni mjinga popote apo ulipo jisemee.Unaonekana kijana mwenye kupenda sifa sifa na kujifanya mjuaji ilhali hujui chochote.Ngoja niishie hapa.Povu la graduate wa chuo cha kata kutalijua tu.
UDOM ni chuo wanachoenda wale walikosoa nafasi UDSM na Muhimbili. Ndio maana kinaitwa chuo cha vilaza. Wale wenye three na two za mwisho mwisho ndo wanaenda huko. Division one clean zinaishia mlimani chuo bora Africa
Kilaza wewe,sisi tuna degree za kupambana darasani sio za unavyojua wewe na upumbavu wako kichwani.We we una akili za kitoto sana.Kweli JF imevamiwa na vitoto siku hzizi kama wadau wengine wanavyosemaga.Nasikia hapo kwenu UDOM degree za chupi zipo kibao maana wengi ni vilaza
Mzee wa Common Sense. May his soul rest in Peace.Late Prof.Ladislaus Lwambuka-CoET enzi hizo
Msemo wake wa siku zote "Even my mother in Bukoba will be able to identify the angle"
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mzee nimemkumbuka. Si ndo huyu alikuwa anasema his wife is States.Mwenzio alimaanisha prof. Ngware. Rugumamu mzee wa next week I will be in USA playing golf with my friends. Hapo kanipiga na plain ya DS Pumbavu sana walimu wa Udsm
Sent using Jamii Forums mobile app
Civil moja.Dr. Nyaoro
Prof. Mushule
Dr. Masaoe
Prof. Mayo
Prof. Park
Prof. Ndumbalo
Dr. Momanyi
Prof. Lema
Prof. Shirima
Hawa walifanya maisha yangu pale Coet Udsm kuwa murua sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Amefariki akiwa ni Prof.RIP Dr Rwambuka,mwamba wa Engineering Mechanics UDSM nzima!
1. The late Dr. A.S Chungu mzee wa my baby Mlimani City
2. Prof. Beatus.A.T Kundi pale Coet
3. Kaka mkuu Dr. Elias mzee wa Drawing
4.Dr. Mohamed Juma mzee wa nyanga za Project Management
Wengine ambao sitawasahau tu iwe kwa ugumu wa course zao au ucomplicator wao ni
1. Dr. Victoria Mahabi
2. Dr. P.B. Msemwa
3. Prof. Bavo Nyichomba.
4. Prof. Emmanuel Mjema
5. Prof. Bakari Mwinyiwiwa.
6. Dr. Isaac Legonda
Ndio, hata akiwa CBE bado alikuwa ana classes pale COET sijajua kwa sasa kama walishapata mbadala wake.
Mzee wa Leathal AidsProf Lugumamu mzee wa misifa anasema ukiliona garo lake limepako manzese poga simu polisi limeibiwa au limetekwa maana yeye hans Cha kufuaya manzese
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba alibaniwa!Amefariki akiwa ni Prof.
Sio COET ni CoET!Ndio, hata akiwa CBE bado alikuwa ana classes pale COET sijajua kwa sasa kama walishapata mbadala wake.