mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
We mshamba me nakwambia huna akili hata.Mshamba tena mshamba wa kutupwa.Yani wasomi kama wewe ni shida sana.Mimi na degree ya UDOM na kuna UDSM nawafahamu wanasoma pale hata ufaulu wa wengi wa UDOM wamewazidi,hivi vyuo si vipo vingi ukisema wote tuchague UDSM nafasi zipo za kutosha???? Nijibu wewe mpuuzi.Wanafunzi wa UDOM wote wanatamani wangesoma UDSM. Degree ya UDOM inapaswa ilinganishwe na zoom college