Hebu sikieni ninavyowaza!!

Kwa mtaji huo nakushauri umalizie kifungo chako maana katikati hapa si salama kabisa kwako. Tafuta jambo la kukuweka bize na wala si kutafuta ushauri wa kuahirisha kifungo

Asante RF, na asante zaidi kwa sababu umenielewa nachotaka/tafuta

:clap2::cheer2::welcome::violin:
 
Say something nataka kuongeza.......ooppss lakini LD atakuwa ameishaacha kuwaza na amepata solution ngoja nimsubirie nione

Ha ha ha TF unasubiria nini mtu angu!! Nimeshapata PM za kutosha na nyingine zinaendelea kuingia. Nadhani kuanzia Ijumaa na shortlist, wiki ijayo Intaviu itaanza, kila anayetuma atajibiwa lakini sio wote watapewa nafasi ya kuendelea. Na uzuri vigezo ninavyo mimi mwenyewe wala hakuna anayejua natumia vigezo gani kwa hiyo tuma PM usije ukalalamika mzee!! Hakuna upwa katika hili.
 
Life is too short make the most of it!

Usijitese weka mawasiliano na watu utapata tu.

kwa ushauri zaidi ni PM
 
PM yangu nitakutumia VIA MOBILE ili iwe tofauti na wengine hapo natumaini kwenye PM za VIA MOBILE nitakuwa peke yangu tu kwahiyo hakuna haja ya wewe kunifanyia assessment yaani wewe ni ku-approve moja kwa moja
 
Umepote ukweli wanaume ndivyo tulivyoumbwa hatuzidiani kifikira!!hata baada ya miaka mitano utakaye kutana naye atakuwa kama uliyekuwa naye miaka mitano iliyopita!!!

Huyu alidhani kazaliwa naye na akitongozwa barabarani au ofisini nakwingineko alikuwa anawajibu nina boyfriend Kwa mbwembwe na majigambo mengi kumbe mlikuwa wawili bila kujijua ambaye akuwana namajigambo ndo kabaki naye pole!Ila leo kayaleta majuto hapa JF!!
 
Life is too short make the most of it!

Usijitese weka mawasiliano na watu utapata tu.

kwa ushauri zaidi ni PM

Naogopa usije ukanipasua bureeeee!!
 

Umesema kweli kabisa, na hivyo ndivyo nilivyokuwa. Lakini namshukuru Mungu kwa hii shule manake nimebadika sana sasa hivi.
 


kwani wanakwaya ni watakatifu sana??
usimdanganye mwenzio:decision:
 

We! acha kumdanganya mwenzio...
 
Shauri yako!!! Upo tayari kukaguliwa kwanza?? Kuna mkaguzi wa wajukuu wa kiume hapa?? Naomba ajitokezo mara moja.
Hii si kwa ajili yangu. Hizo nukuu zisikuumize kichwa pia. Ni kwa ajili ya wanajamvi wote
 
hapana likizo inatosha,wapo wanaojuwa thamani ya mwanamke,omba mungu atakufunulia huyo ubavu wako,hyo likizo sio suluhisho maana stil itakapoisha unaweza ukadondokea kwa kimeo kingine,ukajilaumu maisha naona hapo utaamua kuwa sista kabisa kama ni mkristo.anyway poleeeee:mullet:
 
Labda ukaishi kwenye kisiwa ambapo wakoa hawakuoni vinginevyo ulivyofikiri is wrong to yuou heart!!!!
 
Mabibi na mabwana nawashukueu nyoteee kwa michamgo yenu, na mafundisho yenu na ushauri wenu.
Kwa kweli Mungu awabariki, na muwe na moyo huo huo, wakutoa maoni na maushauri kwa jamii.
Ninayo Imani mimi sio wakwanza wala wapili kupitia jaribu kama hili. Ninachomshukuru Mungu, anajua ni kwa nini,
anatupisha katika njia ambayo, wakati mwingine hatukuitaka.
Ni ili pia tumtafute yeye zaidi.

Mbarikiwe mpaka mshangae!!!!
 

Okey LD usijali sasa ingia mtaani kutana na watu tofautitofauti pia usimsahau mungu. ujumbe soma zaburi 118 ndio kama hapo chini
 
Jamanie, nilidhani kwenda Kariakoo ni lazima upitie ubungo then Moro road kumbe sio. Ni ushamba wangu tu! Kumbe hata dirisha ni mlango ikibidi? Kumbe pia mwenye nyumba aweza kuwa mpangaji? Dereva kuwa abiria? Without no further clarification, through this topic I would like to salute all women for being so clever, yet so prone to some circumstances
 

Discuss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…