Hebu sikieni ninavyowaza!!

Hebu sikieni ninavyowaza!!

Sijawahi kuvunjwa moyo. Bado sijajua machungu yake ila nahisi mnavyojisikia. Pole sana LD. Hujafanya vibaya kujipa likizo.
Ni wakati ambao inabidi uangalie ulipokosea ili usifanye tena mistakes.
 
Mwenzenu nilivunjwa moyo miaka miwili iliyopita, Tangu moyo ulivyovunjika nimekuwa nikimuomba Mungu aniponye na nina Imani ameniponya kabisa, manake najiona sina kinyongo, wala uchungu na huyo heart breaker, na ninachomshukuru Mungu zaidi nina furaha na Amani, na maisha yanaendelea vizuri.

Pamoja na hivo ninamshukuru Mungu kwa sababu amenisamehe dhambi niliyokuwa nimeitenda, kwa sababu nilijidai ninampenda sana huyo mtu kuliko hata Mungu, nikampa vyote, nafsi, roho na mwili. Wakati mwingine hata muda wa kwenda kuabudu ulipungua kwa kumpa huyo heart breaker muda mwingi zaidi.

Baada ya tukio hilo,niliamua kujipa likizo ya kumpenda mwanaume, yani nikaziba madirisha yote ya kumkaribisha mwanaume moyoni mwangu.
Siwachukii lakini nimejipa likizo kwa muda wa miaka mitano hivi, na sasa huu ni mwaka wa pili, ina maana bado miaka mitatu.

Je uamuzi wangu wa kujipa likizo ni sahihi?
Najiona ninaweza kuendelea na likizo hadi miaka mitatu iliyobakia iishe, je ni kweli au
naidanganya nafsi yangu.

Angalizo Marufuku kunitania Broken Heart!! Umesikia GY, Asprin, TF, Askofu na Teamo T, bila kumsahau Bigirita. Mjukuu mtiifu umesikia!! na wewe St. RR.

Quote from one of my friends (Ke)

" Nilisema sitampenda mwanaume maishani mwangu, hivi imekuwaje nikakupenda hivi tena sana"

My take:
Mwombe Mungu akuonyeshe ubavu wako. You will love more than you did with your heeart breaker.
 
hata mimi ilishawahi ntokea nikajipa likizo ya mwaka kutotaka kumsikiliza mwanaume.Hiyo yako ni ndefu mno maisha mafupi ya nini ujikoseshe raha?
nadhani hiyo miwili imetosha sasa anza kusikiliza kidogokidogo.

ANGALIZO:usimkaribie mtu asiye na hofu ya mungu, kuna wakaka kibao wanakwaya/wainjilisti makanisani kama vipi anza kujifua kuima nadhani hili halitamchukiza MUNGU manake unamtaka kondoo wake kwa nia safi.


Hii haijakaa vyema maana cku hizi wahalifu wako huko sana!
 
Nan Chanzo cha kuvunja mahusiano isije ikawa ni ww ulichemka alafu ukataka msamaha pasipo kusameheka!!!!!!!!!!!!!
Mwenzenu nilivunjwa moyo miaka miwili iliyopita, Tangu moyo ulivyovunjika nimekuwa nikimuomba Mungu aniponye na nina Imani ameniponya kabisa, manake najiona sina kinyongo, wala uchungu na huyo heart breaker, na ninachomshukuru Mungu zaidi nina furaha na Amani, na maisha yanaendelea vizuri.

Pamoja na hivo ninamshukuru Mungu kwa sababu amenisamehe dhambi niliyokuwa nimeitenda, kwa sababu nilijidai ninampenda sana huyo mtu kuliko hata Mungu, nikampa vyote, nafsi, roho na mwili. Wakati mwingine hata muda wa kwenda kuabudu ulipungua kwa kumpa huyo heart breaker muda mwingi zaidi.

Baada ya tukio hilo,niliamua kujipa likizo ya kumpenda mwanaume, yani nikaziba madirisha yote ya kumkaribisha mwanaume moyoni mwangu.
Siwachukii lakini nimejipa likizo kwa muda wa miaka mitano hivi, na sasa huu ni mwaka wa pili, ina maana bado miaka mitatu.

Je uamuzi wangu wa kujipa likizo ni sahihi?
Najiona ninaweza kuendelea na likizo hadi miaka mitatu iliyobakia iishe, je ni kweli au
naidanganya nafsi yangu.

Angalizo Marufuku kunitania Broken Heart!! Umesikia GY, Asprin, TF, Askofu na Teamo T, bila kumsahau Bigirita. Mjukuu mtiifu umesikia!! na wewe St. RR.
 
Sijawahi kuvunjwa moyo. Bado sijajua machungu yake ila nahisi mnavyojisikia. Pole sana LD. Hujafanya vibaya kujipa likizo.
Ni wakati ambao inabidi uangalie ulipokosea ili usifanye tena mistakes.

Nakuombea ikiwezekana kikombe hiki kisikupitie,
Ingawa nahisi yana faida haya pia, hasa kwa mara ya kwanza,
ujinga ujinga unaondoka, halafu unajua jinsi kiumbe mwanaume alivyo,
Halafu unajua kutumia akili katika mambo haya, kuliko moyo kama walivyosema wenye hekima hapo juu!
 
Quote from one of my friends (Ke)

" Nilisema sitampenda mwanaume maishani mwangu, hivi imekuwaje nikakupenda hivi tena sana"

My take:
Mwombe Mungu akuonyeshe ubavu wako. You will love more than you did with your heeart breaker.

NAJUA BWANA ATAFANYA:
MAANA NJIA ZAKE SIO KAMA NJIA ZETU!!!

 
Last edited by a moderator:
Dah, ubarikiwe sanaaaaaa!!!
Kwa kweli nashukuru, nimekuwa LD, Na nitakuja kuwaambia matokeo ya uponyaji wangu.
Mungu anisaidie tu, nisiangukie tena mikononi mwa wanyanganyi!!!!

Ubarikiwe sana Babu yangu!!!

Amen,

...ila kumbuka ule msemo, "kosa si kosa, kosa ni kulirudia kosa!"
which means, ukirudia kosa utaonekana hukujifunza.
Katika hiyo miaka miwili, lazima umejifunza yaliyokuwa mapungufu yako,
na sasa ('in football terms') una defence, kiungo, na mashambulizi bora zaidi.

"In love-life there will be people who may hurt you. So, continue trusting but be careful"
 
Amen,

...ila kumbuka ule msemo, "kosa si kosa, kosa ni kulirudia kosa!"
which means, ukirudia kosa utaonekana hukujifunza.
Katika hiyo miaka miwili, lazima umejifunza yaliyokuwa mapungufu yako,
na sasa ('in football terms') una defence, kiungo, na mashambulizi bora zaidi.

"In love-life there will be people who may hurt you. So, continue trusting but be careful"

Thanks in Advance. Ninaamini kwa msaada wa Mungu nitashinda!!!!
 
LD my dea u have a long way to go in the path of relationshipin in this world! from wat i gathered here at the time u entered into this relationship u were totally naive, u gave whole of ur heart,feelings n emotions. anyways thats natural especially for first love n the good thing is u have learnt ur mistakes n ur ready to correct them in the next relationship. But its clearlly observed that u have not yet forgivenn that dude!! it took u two yrs for ur heart heal that shows u couldnt enter into another relationship al this time bz there was something in ur heart which was eating u up to the extent that u couldnt move on or express ur love to someone else!it so simple to say that we have forgiven those who have hurted us , but ur words says it all u havent done so,u dont wanna see him at all and so n so ..,one thing i can tell u is this world if full of misery learn to let things go, bz no matter wat happens to us life doesnt stop and wait for us to recover form our situations, since ur sayn ur r a God believer i do suggest plz find a good pastor talk him/her , am sure he will help u a lot on this,
 
Nadhani PM yake ishakua over loaded saa hizi..lol

Babu Elodii amepotioka na mbaya zaidi kwa hasira alitaka kupotosha na akili, fikra na roho yake............ labda kama ni 17 years old now..... anabeep menopozi loh atuavhie wenyewe ati.
 
Mwenzenu nilivunjwa moyo miaka miwili iliyopita, Tangu moyo ulivyovunjika nimekuwa nikimuomba Mungu aniponye na nina Imani ameniponya kabisa, manake najiona sina kinyongo, wala uchungu na huyo heart breaker, na ninachomshukuru Mungu zaidi nina furaha na Amani, na maisha yanaendelea vizuri.

Pamoja na hivo ninamshukuru Mungu kwa sababu amenisamehe dhambi niliyokuwa nimeitenda, kwa sababu nilijidai ninampenda sana huyo mtu kuliko hata Mungu, nikampa vyote, nafsi, roho na mwili. Wakati mwingine hata muda wa kwenda kuabudu ulipungua kwa kumpa huyo heart breaker muda mwingi zaidi.

Baada ya tukio hilo,niliamua kujipa likizo ya kumpenda mwanaume, yani nikaziba madirisha yote ya kumkaribisha mwanaume moyoni mwangu.
Siwachukii lakini nimejipa likizo kwa muda wa miaka mitano hivi, na sasa huu ni mwaka wa pili, ina maana bado miaka mitatu.

Je uamuzi wangu wa kujipa likizo ni sahihi?
Najiona ninaweza kuendelea na likizo hadi miaka mitatu iliyobakia iishe, je ni kweli au
naidanganya nafsi yangu.

Angalizo Marufuku kunitania Broken Heart!! Umesikia GY, Asprin, TF, Askofu na Teamo T, bila kumsahau Bigirita. Mjukuu mtiifu umesikia!! na wewe St. RR.

Ni uamuzi mzuri, lakini miaka 5 ikiisha na wao wakaka hawatakuwa likizo? Usije ukakosa moja kwa moja
 
Thanks very much Nailyne, I believe God can not let me to this far to leave me!!! He has good plans and thoughts in my life. Yes I learn a lot through this situation and thanks God, I can say something about the world's love and relationship.
 
Thanks very much Nailyne, I believe God can not let me to this far to leave me!!! He has good plans and thoughts in my life. Yes I learn a lot through this situation and thanks God, I can say something about the world's love and relationship.

amen! our God is able n its good to have faith in God in watever situation we r goin through..., am so moved by ur faith! keep it up gal
 
by the way am a woman n i have been in such situation n knw how it feels ...,and the good thing is ul be stronger than before..,n ul be able to tell them that no matter wat they do u , ur life will never end bz of them as God has given u life and u gonna live that with or without them!!
 
hata mimi ilishawahi ntokea nikajipa likizo ya mwaka kutotaka kumsikiliza mwanaume.Hiyo yako ni ndefu mno maisha mafupi ya nini ujikoseshe raha?
nadhani hiyo miwili imetosha sasa anza kusikiliza kidogokidogo.

ANGALIZO:usimkaribie mtu asiye na hofu ya mungu, kuna wakaka kibao wanakwaya/wainjilisti makanisani kama vipi anza kujifua kuima nadhani hili halitamchukiza MUNGU manake unamtaka kondoo wake kwa nia safi.

khaaa.....hili kuna mtu amelitolea tamko kweli wanajamvi? manake ni angalizo zito sana hili
 
Back
Top Bottom