Pre GE2025 Hebu tujadili hili kidogo ndugu, hivi CHADEMA ni asasi ya kiraia au chamber of commerce?

Pre GE2025 Hebu tujadili hili kidogo ndugu, hivi CHADEMA ni asasi ya kiraia au chamber of commerce?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Bila shaka awali ilionekana chama hiki ni kama chama cha siasa sawa na vyama vingine, Lakini kadiri muda unavyosonga kinaanza kudhihirisha sababu za uwepo wake

Nadhani madhumuni, misingi na malengo ya kuanzishwa kwake yameimarishwa au kuboreshwa zaidi hivi sasa na huenda kinyemela...

Infact, inahitajika mtulivu na umakini wa kiwango cha juu sana kubaini ikiwa hii taasisi au ni chama cha ushirika, asasi ya kiraia, chamber of commerce?

Hata waliokuwa wanachama wake hivi sasa hawafanyi siasa tena bali wamekuwa wanaharakati wanaotumia hisia na huruma kuvutia wengine kujiunga kwenye harakati ambazo pia ni vigumu kubaini wanadai au kupambania nini hasa...

Ni wakali mno, hawahitaji wala hawavumilii challenges kutoka kwa yeyote alie kunyume na maoni na mitazama yao. huyo ni adui kwao. Wanachohisi wao au wanchokiamini wao ndicho pekee wanachokiona cha maana na kwajivyo kila moja afuate hivyo. kinyume na hapo zitaibuka ghadhabu na mihemko iliyoamabatana na matusi mazitomazito au vitsho na laana amabazo kwakeweli havina maana yoyote, kwenye mesani na jukwaa hili huru na muhimu sana la kisiasa...

Kuna kiongozi muandamizi wa asasi au ushirika huu majuzi alidai kwamba chama hicho sio dini, wala mama yake mzazi. na kwahivyo anaweza kuihama asasasi au ushirika huo ikiwa utafanya mambo kinyume na misingi ya kuanzishwa kwake.

Sasa, je hiyo misingi ni ipi mpaka huyo muungwana kuwa na wasiwasi hivyo na kwamba inakiukwa? au nduto haya yanayotokea sasa?
muungwana huyo atavumilia kweli kubaki kwenye asasi au ushirika huo?

Sasa je, CHADEMA bado ni chama cha siasa kweli?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
JF ilikuwa ni mahali patakatifu. Mahali ambapo tulikuwa tunapata habari za ukweli na uhakika ambazo hazipatikani mahali popote pale.
Lakini sasa JF imekuwa mahali ambapo watu wanakuja kupotosha kwa mambo kwa makusudi. Inasikitisha sana. Wamiliki wa JF inabidi mtafakari upya namna ya kuifanya JF kuwa mahali pa kuaminika.
 
Bila shaka awali ilionekana chama hiki ni kama chama cha siasa sawa na vyama vingine, Lakini kadiri muda unavyosonga kinaanza kudhihirisha sababu za uwepo wake

Nadhani madhumuni, misingi na malengo ya kuanzishwa kwake yameimarishwa au kuboreshwa zaidi hivi sasa na huenda kinyemela...

Infact, inahitajika mtulivu na umakini wa kiwango cha juu sana kubaini ikiwa hii taasisi au ni chama cha ushirika, asasi ya kiraia, chamber of commerce?

Hata waliokuwa wanachama wake hivi sasa hawafanyi siasa tena bali wamekuwa wanaharakati wanaotumia hisia na huruma kuvutia wengine kujiunga kwenye harakati ambazo pia ni vigumu kubaini wanadai au kupambania nini hasa...

Ni wakali mno, hawahitaji wala hawavumilii challenges kutoka kwa yeyote alie kunyume na maoni na mitazama yao. huyo ni adui kwao. Wanachohisi wao au wanchokiamini wao ndicho pekee wanachokiona cha maana na kwajivyo kila moja afuate hivyo. kinyume na hapo zitaibuka ghadhabu na mihemko iliyoamabatana na matusi mazitomazito au vitsho na laana amabazo kwakeweli havina maana yoyote, kwenye mesani na jukwaa hili huru na muhimu sana la kisiasa...

Kuna kiongozi muandamizi wa asasi au ushirika huu majuzi alidai kwamba chama hicho sio dini, wala mama yake mzazi. na kwahivyo anaweza kuihama asasasi au ushirika huo ikiwa utafanya mambo kinyume na misingi ya kuanzishwa kwake.

Sasa, je hiyo misingi ni ipi mpaka huyo muungwana kuwa na wasiwasi hivyo na kwamba inakiukwa? au nduto haya yanayotokea sasa?
muungwana huyo atavumilia kweli kubaki kwenye asasi au ushirika huo?

Sasa je, CHADEMA bado ni chama cha siasa kweli?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe ni mmoja wa watakaokutwa na alibadiri, unatetea haya mauaji na utekaji. Au wewe ni mhusika pia? Mbona kama hauna uchungu na uhai wa wengine? Ulitaka wachekelee watu kutekwa kuuawa? Mungu anakuona acha roho mbaya labda kama wewe ni Jini si binadamu.
 
Wewe ni mmoja wa watakaokutwa na alibadiri, unatetea haya mauaji na utekaji. Au wewe ni mhusika pia? Mbona kama hauna uchungu na uhai wa wengine? Ulitaka wachekelee watu kutekwa kuuawa? Mungu anakuona acha roho mbaya labda kama wewe ni Jini si binadamu.
wewe una uchungu au unafiki?

makasiriko, mihemko na ramli za nini sasa kwa mfano gentleman dhidi ya hoja mahususi mezani?

kama huna fikra mpya na mawazo mapya si ukae kimya tu gentleman?

umeelewa hoja vizur kwanza?
au umekurupuka tu gentleman 🐒
 
Bila shaka awali ilionekana chama hiki ni kama chama cha siasa sawa na vyama vingine, Lakini kadiri muda unavyosonga kinaanza kudhihirisha sababu za uwepo wake

Nadhani madhumuni, misingi na malengo ya kuanzishwa kwake yameimarishwa au kuboreshwa zaidi hivi sasa na huenda kinyemela...

Infact, inahitajika mtulivu na umakini wa kiwango cha juu sana kubaini ikiwa hii taasisi au ni chama cha ushirika, asasi ya kiraia, chamber of commerce?

Hata waliokuwa wanachama wake hivi sasa hawafanyi siasa tena bali wamekuwa wanaharakati wanaotumia hisia na huruma kuvutia wengine kujiunga kwenye harakati ambazo pia ni vigumu kubaini wanadai au kupambania nini hasa...

Ni wakali mno, hawahitaji wala hawavumilii challenges kutoka kwa yeyote alie kunyume na maoni na mitazama yao. huyo ni adui kwao. Wanachohisi wao au wanchokiamini wao ndicho pekee wanachokiona cha maana na kwajivyo kila moja afuate hivyo. kinyume na hapo zitaibuka ghadhabu na mihemko iliyoamabatana na matusi mazitomazito au vitsho na laana amabazo kwakeweli havina maana yoyote, kwenye mesani na jukwaa hili huru na muhimu sana la kisiasa...

Kuna kiongozi muandamizi wa asasi au ushirika huu majuzi alidai kwamba chama hicho sio dini, wala mama yake mzazi. na kwahivyo anaweza kuihama asasasi au ushirika huo ikiwa utafanya mambo kinyume na misingi ya kuanzishwa kwake.

Sasa, je hiyo misingi ni ipi mpaka huyo muungwana kuwa na wasiwasi hivyo na kwamba inakiukwa? au nduto haya yanayotokea sasa?
muungwana huyo atavumilia kweli kubaki kwenye asasi au ushirika huo?

Sasa je, CHADEMA bado ni chama cha siasa kweli?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Akili ziro kama hizi ni mzigo kwa Taifa!
Maelezo mengi lakini hakuna kitu ndani yake!
Na wapumbavu kama hawa ndo wamejazana ndani ya CCM yetu!
 
JF ilikuwa ni mahali patakatifu. Mahali ambapo tulikuwa tunapata habari za ukweli na uhakika ambazo hazipatikani mahali popote pale.
Lakini sasa JF imekuwa mahali ambapo watu wanakuja kupotosha kwa mambo kwa makusudi. Inasikitisha sana. Wamiliki wa JF inabidi mtafakari upya namna ya kuifanya JF kuwa mahali pa kuaminika.
mwerevu husahuhisha upotoshaji kwa mawazo mapya na fikra mbadala tena kwa hekima na busara na sio kupandisha ghadhabu na mihemko bila hoja bali malamamiko binafsi ambayo hayana maana yoyote na si muhimu pia 🐒
 
Bila shaka awali ilionekana chama hiki ni kama chama cha siasa sawa na vyama vingine, Lakini kadiri muda unavyosonga kinaanza kudhihirisha sababu za uwepo wake

Nadhani madhumuni, misingi na malengo ya kuanzishwa kwake yameimarishwa au kuboreshwa zaidi hivi sasa na huenda kinyemela...

Infact, inahitajika mtulivu na umakini wa kiwango cha juu sana kubaini ikiwa hii taasisi au ni chama cha ushirika, asasi ya kiraia, chamber of commerce?

Hata waliokuwa wanachama wake hivi sasa hawafanyi siasa tena bali wamekuwa wanaharakati wanaotumia hisia na huruma kuvutia wengine kujiunga kwenye harakati ambazo pia ni vigumu kubaini wanadai au kupambania nini hasa...

Ni wakali mno, hawahitaji wala hawavumilii challenges kutoka kwa yeyote alie kunyume na maoni na mitazama yao. huyo ni adui kwao. Wanachohisi wao au wanchokiamini wao ndicho pekee wanachokiona cha maana na kwajivyo kila moja afuate hivyo. kinyume na hapo zitaibuka ghadhabu na mihemko iliyoamabatana na matusi mazitomazito au vitsho na laana amabazo kwakeweli havina maana yoyote, kwenye mesani na jukwaa hili huru na muhimu sana la kisiasa...

Kuna kiongozi muandamizi wa asasi au ushirika huu majuzi alidai kwamba chama hicho sio dini, wala mama yake mzazi. na kwahivyo anaweza kuihama asasasi au ushirika huo ikiwa utafanya mambo kinyume na misingi ya kuanzishwa kwake.

Sasa, je hiyo misingi ni ipi mpaka huyo muungwana kuwa na wasiwasi hivyo na kwamba inakiukwa? au nduto haya yanayotokea sasa?
muungwana huyo atavumilia kweli kubaki kwenye asasi au ushirika huo?

Sasa je, CHADEMA bado ni chama cha siasa kweli?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Na mmi nimejikuta napata maswali najiuliza iviii CCM ni chama cha siasa au nikikundi cha watu chenye kutumia vyombo vya usalama kulinda , kutetea maslahi yao kwa manufaa yao …… maana tukisema ni chama cha siasa yenyewe haitegemei kira zako ama zangu kuendelea kubakia madarakani …… ukinijibu hili ndipo tutakuja kwa CDM maana wao ni kundi dogo sana
 
Na mmi nimejikuta napata maswali najiuliza iviii CCM ni chama cha siasa au nikikundi cha watu chenye kutumia vyombo vya usalama kulinda , kutetea maslahi yao kwa manufaa yao …… maana tukisema ni chama cha siasa yenyewe haitegemei kira zako ama zangu kuendelea kubakia madarakani …… ukinijibu hili ndipo tutakuja kwa CDM maana wao ni kundi dogo sana
nadhani kuhusiana na chama ulichokitaja iwe ni topic yangu ijayo, au ikikupendeza basi iandikie uzi mahususi kisha tuone namna tutakavyoijadili....

but kwa sasa nadhani tujikite kwenye chama kilichopo kwenye hoja mezani na tuweze kujadiliana kwa upana na kwa kirefu zaid 🐒
 
Back
Top Bottom