Pre GE2025 Hebu tujadili hili kidogo ndugu, hivi CHADEMA ni asasi ya kiraia au chamber of commerce?

Pre GE2025 Hebu tujadili hili kidogo ndugu, hivi CHADEMA ni asasi ya kiraia au chamber of commerce?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe mbaba, una mke? Anapata muda wako kweli? Au ukidondosha mzigo ni full kuitaja Chadema, chadema?
umepanic binti wa kibantu?
I'm sorry plz...


hivi huwa mnatumia nini kuchafukwa na kua na mihemko isiyo na maana hivyo dhidi ya maoni na mitazamo ya wengine hali ya kua hamna fikra mbadala wala mawazo mapya dhidi ya hoja yenyewe mahususi?

kuna kitu mnatumia ee, sio bure right?🐒
 
umepanic binti wa kibantu?
I'm sorry plz...


hivi huwa mnatumia nini kuchafukwa na kua na mihemko isiyo na maana hivyo dhidi ya maoni na mitazamo ya wengine hali ya kua hamna fikra mbadala wala mawazo mapya dhidi ya hoja yenyewe mahususi?

kuna kitu mnatumia ee, sio bure right?🐒
Kama hoja yako imejikita kweny msingi wa cha chama(dhumuni la uwepo wake) ndo na mmi nika pata wazo la kuhoji kama pia msingi au dhumuni la uwepo wa chama cha kijani ndo haya yanayo endelea ivi sasa …… tuanzie hapo
 
Watu Kama Hawa wanapewa airtime Sana JF na nyuzi zao za kijinga, Sasa leta Nyuzi ya kuelelzea Usalama au Jambo la ajabu linaloendelea Uzi unafutwa au kula ban.
chochote kisicho zingatia maadili, vigezo na masharti ya kistaarabu humu jukwaani ni Lazima kifutwe...

nami nasema wafute tu maana hakuna namna nyingine sasa 🐒
 
Kama hoja yako imejikita kweny msingi wa cha chama(dhumuni la uwepo wake) ndo na mmi nika pata wazo la kuhoji kama pia msingi au dhumuni la uwepo wa chama cha kijani ndo haya yanayo endelea ivi sasa …… tuanzie hapo
ndio maana nikashauri ujue na uzi mahususi kwasababu ni jambo muhimu na zito mno kwa maslahi ya demokrasia na taifa kwa ujumla...

kwanza tupate uelewa na maoni ya wadau kwenye hoja mahususi mezani kwanza 🐒
 
Bila shaka awali ilionekana chama hiki ni kama chama cha siasa sawa na vyama vingine, Lakini kadiri muda unavyosonga kinaanza kudhihirisha sababu za uwepo wake

Nadhani madhumuni, misingi na malengo ya kuanzishwa kwake yameimarishwa au kuboreshwa zaidi hivi sasa na huenda kinyemela...

Infact, inahitajika mtulivu na umakini wa kiwango cha juu sana kubaini ikiwa hii taasisi au ni chama cha ushirika, asasi ya kiraia, chamber of commerce?

Hata waliokuwa wanachama wake hivi sasa hawafanyi siasa tena bali wamekuwa wanaharakati wanaotumia hisia na huruma kuvutia wengine kujiunga kwenye harakati ambazo pia ni vigumu kubaini wanadai au kupambania nini hasa...

Ni wakali mno, hawahitaji wala hawavumilii challenges kutoka kwa yeyote alie kunyume na maoni na mitazama yao. huyo ni adui kwao. Wanachohisi wao au wanchokiamini wao ndicho pekee wanachokiona cha maana na kwajivyo kila moja afuate hivyo. kinyume na hapo zitaibuka ghadhabu na mihemko iliyoamabatana na matusi mazitomazito au vitsho na laana amabazo kwakeweli havina maana yoyote, kwenye mesani na jukwaa hili huru na muhimu sana la kisiasa...

Kuna kiongozi muandamizi wa asasi au ushirika huu majuzi alidai kwamba chama hicho sio dini, wala mama yake mzazi. na kwahivyo anaweza kuihama asasasi au ushirika huo ikiwa utafanya mambo kinyume na misingi ya kuanzishwa kwake.

Sasa, je hiyo misingi ni ipi mpaka huyo muungwana kuwa na wasiwasi hivyo na kwamba inakiukwa? au nduto haya yanayotokea sasa?
muungwana huyo atavumilia kweli kubaki kwenye asasi au ushirika huo?

Sasa je, CHADEMA bado ni chama cha siasa kweli?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
In short hatujastaarabika kifikia kiwango cha kufanya siasa za vyama vingi, siyo CCM wala upinzani.
 
umepanic binti wa kibantu?
I'm sorry plz...


hivi huwa mnatumia nini kuchafukwa na kua na mihemko isiyo na maana hivyo dhidi ya maoni na mitazamo ya wengine hali ya kua hamna fikra mbadala wala mawazo mapya dhidi ya hoja yenyewe mahususi?

kuna kitu mnatumia ee, sio bure right?🐒
Kikombe wanachokinywea chadema kwa sasa, wakipewa CCM nao watabehave hivyo hivyo na penfine hata zaidi. Jamii ni ileile.
 
Hivi nifanyaje nisione post za huyu na watype yake?
Bonyeza jina lake utaona neno ignore bonyeza hapo
Screenshot_20240912-102943.png
 
Bila shaka awali ilionekana chama hiki ni kama chama cha siasa sawa na vyama vingine, Lakini kadiri muda unavyosonga kinaanza kudhihirisha sababu za uwepo wake

Nadhani madhumuni, misingi na malengo ya kuanzishwa kwake yameimarishwa au kuboreshwa zaidi hivi sasa na huenda kinyemela...

Infact, inahitajika mtulivu na umakini wa kiwango cha juu sana kubaini ikiwa hii taasisi au ni chama cha ushirika, asasi ya kiraia, chamber of commerce?

Hata waliokuwa wanachama wake hivi sasa hawafanyi siasa tena bali wamekuwa wanaharakati wanaotumia hisia na huruma kuvutia wengine kujiunga kwenye harakati ambazo pia ni vigumu kubaini wanadai au kupambania nini hasa...

Ni wakali mno, hawahitaji wala hawavumilii challenges kutoka kwa yeyote alie kunyume na maoni na mitazama yao. huyo ni adui kwao. Wanachohisi wao au wanchokiamini wao ndicho pekee wanachokiona cha maana na kwajivyo kila moja afuate hivyo. kinyume na hapo zitaibuka ghadhabu na mihemko iliyoamabatana na matusi mazitomazito au vitsho na laana amabazo kwakeweli havina maana yoyote, kwenye mesani na jukwaa hili huru na muhimu sana la kisiasa...

Kuna kiongozi muandamizi wa asasi au ushirika huu majuzi alidai kwamba chama hicho sio dini, wala mama yake mzazi. na kwahivyo anaweza kuihama asasasi au ushirika huo ikiwa utafanya mambo kinyume na misingi ya kuanzishwa kwake.

Sasa, je hiyo misingi ni ipi mpaka huyo muungwana kuwa na wasiwasi hivyo na kwamba inakiukwa? au nduto haya yanayotokea sasa?
muungwana huyo atavumilia kweli kubaki kwenye asasi au ushirika huo?

Sasa je, CHADEMA bado ni chama cha siasa kweli?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Both are correct depending on your stupidity
 
Bila shaka awali ilionekana chama hiki ni kama chama cha siasa sawa na vyama vingine, Lakini kadiri muda unavyosonga kinaanza kudhihirisha sababu za uwepo wake

Nadhani madhumuni, misingi na malengo ya kuanzishwa kwake yameimarishwa au kuboreshwa zaidi hivi sasa na huenda kinyemela...

Infact, inahitajika mtulivu na umakini wa kiwango cha juu sana kubaini ikiwa hii taasisi au ni chama cha ushirika, asasi ya kiraia, chamber of commerce?

Hata waliokuwa wanachama wake hivi sasa hawafanyi siasa tena bali wamekuwa wanaharakati wanaotumia hisia na huruma kuvutia wengine kujiunga kwenye harakati ambazo pia ni vigumu kubaini wanadai au kupambania nini hasa...

Ni wakali mno, hawahitaji wala hawavumilii challenges kutoka kwa yeyote alie kunyume na maoni na mitazama yao. huyo ni adui kwao. Wanachohisi wao au wanchokiamini wao ndicho pekee wanachokiona cha maana na kwajivyo kila moja afuate hivyo. kinyume na hapo zitaibuka ghadhabu na mihemko iliyoamabatana na matusi mazitomazito au vitsho na laana amabazo kwakeweli havina maana yoyote, kwenye mesani na jukwaa hili huru na muhimu sana la kisiasa...

Kuna kiongozi muandamizi wa asasi au ushirika huu majuzi alidai kwamba chama hicho sio dini, wala mama yake mzazi. na kwahivyo anaweza kuihama asasasi au ushirika huo ikiwa utafanya mambo kinyume na misingi ya kuanzishwa kwake.

Sasa, je hiyo misingi ni ipi mpaka huyo muungwana kuwa na wasiwasi hivyo na kwamba inakiukwa? au nduto haya yanayotokea sasa?
muungwana huyo atavumilia kweli kubaki kwenye asasi au ushirika huo?

Sasa je, CHADEMA bado ni chama cha siasa kweli?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Nini maana ya harakati! Toa tofauti kati ya harakati na siasa! kabla hujaja hapa
Fanya pia homework ya kutofautisha dola na CCM na kwanini watekaji ni polisi wanaovaa kijani na wakati mwingine kijani wanavaa mavazi ya FFU! na zile bunduki na pingu ni za kijani au za polisi? Tuliza muwasho wa masaburi kwanza!
 
Nini maana ya harakati! Toa tofauti kati ya harakati na siasa! kabla hujaja hapa
Fanya pia homework ya kutofautisha dola na CCM na kwanini watekaji ni polisi wanaovaa kijani na wakati mwingine kijani wanavaa mavazi ya FFU! na zile bunduki na pingu ni za kijani au za polisi? Tuliza muwasho wa masaburi kwanza!
twende tu pole pole bila mihemko gentleman..

jikite tu kwenye mada hayo mengineyo binafsi tutajadili wakati mwingine, sawaeee

chadema ni asasi ya kiraia, chama cha ushirika au ni chamber of commerce? kwa maoni yako gentleman 🐒
 
twende tu pole pole bila mihemko gentleman..

jikite tu kwenye mada hayo mengineyo binafsi tutajadili wakati mwingine, sawaeee

chadema ni asasi ya kiraia, chama cha ushirika au ni chamber of commerce? kwa maoni yako gentleman 🐒
Ni chama cha watekaji! umeridhika sasa?
 
Ni chama cha watekaji! umeridhika sasa?
gentleman hili sio swala la kuridhika ama kutokuridhika,

ni swala nyeti la maana sana la kuongeza uelewa na ufahamu wa kutosha dhidi ya masuala haya muhimu sana kwa mustakabali wa demokrasia za vyama nchini 🐒
 
Back
Top Bottom