Hebu tukumbushane machungu ya timu zetu siku tulipojutia kwenda uwanjani au Vibanda Umiza

Kumbe we mkongwe, Simba alipigwa2-0. Zile Kia zikaota mbawa. Hata hivyo inasemekana hiyo mechi mdhamini mkuu wa Mnyero fc kipindi hicho Azim Dewji aliuza hiyo mechi.
 
Kumbe we mkongwe, Simba alipigwa2-0. Zile Kia zikaota mbawa. Hata hivyo inasemekana hiyo mechi mdhamini mkuu wa Mnyero fc kipindi hicho Azim Dewji aliuza hiyo mechi.
Daah nakumbuka,enzi hizo tunasikiliza tu kupitia RTD.nasikia aliuza kusevu kutoa zawadi ya kia.enzi hizo gari aina ya KIA ilikuwa inatamba sana.[emoji2][emoji2]
 
Daah nakumbuka,enzi hizo tunasikiliza tu kupitia RTD.nasikia aliuza kusevu kutoa zawadi ya kia.enzi hizo gari aina ya KIA ilikuwa inatamba sana.[emoji2][emoji2]
Inasemekana Kuna wachache walipewa kwa Siri, akiwemo kipa Mwameja. Hii iliumiza watz wote wakiongozwa na mh. Rais wa wakati huo mzee rukusa. Tokea siku hiyo nasikia aliapa kutorudi uwanjani Tena, na jina la kichwa Cha mwendawazimu likaasissiwa tangia hapo.
 
Sasa ndio ilikuwa mwanzo wa mimi kuwa shabiki wa yanga,niliichukia simba kwasabu niliumia kumuona mama analia,na ndio ilikuwa siku ya kwanza kumuona analia.nkaanza kuipenda yanga ya lunyamila,na kina keni mkapa,said mwamba mpaka leo nipo utopolo[emoji2][emoji2]
 
1. Manchester United 3 Bayern 2
Mechi ya mkondo wa kwanza Wayne Rooney alichomwa sindano ya ganzi ili acheze, tukafa 2 kwa 1.

Mechi ya marudiano Arjen Robben anafunga bao la kikatili sana, hakika niliumia sana.

2. SIMBA SC vs UD SONGO (kwa mkapa)
Daah! Luis Miquesson alikua mwiba sana, nilihisi kutoa machozi
 
Moyo unadunda..yasije yakatokea Tena kwa platinum..tar 6
 
Maza ako mtu poa sana kumbe shabiki wa Simba?
 
Daah nakumbuka,enzi hizo tunasikiliza tu kupitia RTD.nasikia aliuza kusevu kutoa zawadi ya kia.enzi hizo gari aina ya KIA ilikuwa inatamba sana.[emoji2][emoji2]
Kwamba simba ilikua haifungiki au mpinzani anunue mechi? Sikubaliani na hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…