rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Itachukua muda ila kina maldin wapo wana jua nini walifanyaNaona awamu hii tumerudi vizuri ngoja tuone itakuwaje mpaka mwisho wa msimu lakini pia sidhani kama chama langu la AC millan litarudi na moto kwenye UCL kama miaka ya nyuma