Hebu tukumbushane machungu ya timu zetu siku tulipojutia kwenda uwanjani au Vibanda Umiza

Mechi ya kwanza nafikiri ndio Rooney aliumia ya marudiano akalazimika kuchomwa sindano ili acheze na kwa mchango wake tuliongoza 3 bila hadi apo anaanza kuchechemea ikabidi atolewe bayern wakaamka sasa
Mechi ya kwanza ndiyo alichomwa sindano
 
Man u alihitaji city apigwe au atoke sare, sasa hadi dakika ya 90 city kapigwa mbili moja, dakika za nyongeza city kasawazisha na kapiga latatu mtu mzima Kun kafanya yake na ndio game ya mwisho epl
Nilijisikia uchungu sana ile siku. Mario Balotelli hatakaa asahaulike kamwe nyau yule
 
Simba tulikula 2-0 siku ile. Ni mwaka 1993
 
Liverpool 4 Barca 0
Hii mechi mashabiki wa Barca hawataki kuisikia kabisa. Meza ilipinduliwa kibabe mnoooo. Mikeka ilochanika vibaya sana, kwa wale wanaopenda ku bet. Spurs akapindiua meza ya Ajax 😀 😀 😀 😀
 
Kuna siku Yanga hadi mapumziko alikua anaongoza goli 3 dhidi ya simba nkajua zile 5 leo zinarudi mechi inaisha 3 tatu, ilinuima sana hii mechi.
Watu walizimia sana taifa ile siku. Naikumbuka sana
 
Man u vs barca ( uefa final).Xavi, Iniesta, Messi dah ilikuwa mateso kwa Man u kwa dakika 80 maana Man u walicheza dakika 10 tu.
 
Man u vs barca ( uefa final).Xavi, Iniesta, Messi dah ilikuwa mateso kwa Man u kwa dakika 80 maana Man u walicheza dakika 10 tu.
hii mechi iliniumiza sana,mesi na iniesta ni washenzi hawana huruma kabisa,David villa naye alipiga goli Kali sana.......yan mpaka Alex fergie alikuwa anatetemeka vle nkaona hapa catalunya wametuweza aiseee
 
Hakuna siku niliumia kama siku JT wa Chelsea kutukosesha UCL kwa kukosa penati ya mwisho dhidi ya Man U ilikuwa 2008 mjini Moscow.

Saivi tungekuwa tunahesabu 2 UCL CUPS

Hebu tiririka mechi gani ilikuuma sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hakuna siku niliumia kama siku JT wa Chelsea kutukosesha UCL kwa kukosa penati ya mwisho dhidi ya Man U ilikuwa 2008 mjini Moscow.

Saivi tungekuwa tunahesabu 2 UCL CUPS

Hebu tiririka mechi gani ilikuuma sana.
basi kama kuna siku niliichukia real madrid ni pale real ramos anamvuja mkono salah...karius anatuchoma bale anatutungua benzema anatutungua[emoji23][emoji23] aise ile game sitasahau
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
basi kama kuna siku niliichukia real madrid ni pale real ramos anamvuja mkono salah...karius anatuchoma bale anatutungua benzema anatutungua[emoji23][emoji23] aise ile game sitasahau
Sisi teamZizzou hii siku tulifurahi sana.
Hala Madrid✋🖐
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…