Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri kile kikombe cha Babu kilikuwa ndio zile waingereza wanaita "hoax" au hadaa kubwa zaidi kuliko nyingine yoyote katika historia yetu. Kama mzee yule angetaka kuua watanzania wote angefanikiwa kirahisi kabisa na Magufuli angelikuwa watu wa kwanza kwanza kufa.Lile chaka alilowaingiza Watanzania yule Babu wa Loliondo na kikombe chake cha tiba, lilikuwa balaa sana.
....hajakwambia miaka mitano ipi so endelea kusubiri....Magufuli alitudanganya kabla ya miaka yake mitano aijaisha atatuongezea wafanyakazi mshahara tunaelekea kwenye kampeni au miaka mitano bado jamani
Wakatamani wavunje daraja la rufiji eti wajitengee wale raha kivyao na gesi yao yaan njomba nchumari walijidanganya......na yule bibi yao waliyesemaga eti ataigeuza geai kuwa maji hahahahaBaada ya uvumbuzi wa gesi asilia ,mtwara itakuwa kama Dubai na matumizi ya mkaa yatakuwa mwisho.
Kuna kima alisema atatoa 50 kila vilage hahaaa kumbe hata mshahara kanshindwaTANZANIA TULIAMBIWA TUTASHTAKIWA MIGA.
NADHANI DEMU MMOJA ANAITWA "SULI" ALITUAMBIA HIVYO.