Hebu tukumbushane uongo ambao Watanzania tuliwahi kudanganywa

Hebu tukumbushane uongo ambao Watanzania tuliwahi kudanganywa

umenikumbuusha kitu cha gesi ila Tanzania uwa tuna flow na trend jamani. Mimi nilikuwa ninahisi yani hapa tunaelekea kuwa kama Bahrain si kwa kiki za gesi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji3]Eti kama bahrain leo kimya,sasa hivi wameanzisha bwawa la rufiji wanasema likiisha hilo hakuna mgao tena wa umeme
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji3]Eti kama bahrain leo kimya,sasa hivi wameanzisha bwawa la rufiji wanasema likiisha hilo hakuna mgao tena wa umeme
Sasa hivi ni mwendo wa Stiglers Gorge tukitoka hapo Mungu akajalia tukapata mafuta tuhamia kwenye mafuta. Tunacheza kila aina ya mdundo toko dungu mpaka funk
 
Mwaka 2015 (na kabla yake)

Uchumi wa gesi

Milioni 50 kila kijiji

Mkopo kwa kila mwanafunzi wa chuo kikuu

Bandari ya Bagamoyo
 
Vijana walidanganywa na kupelekwa kwenda kusoma masomo ya uchumi wa gesi. Sasa hivi wamerudi halafu hawana kazi!
Katika uongo mkubwa kupita mauongo yote nadhani huu ni mkubwa kupita kiasi, eti gasi ya Mtwara ingeinua uchumi wa bongo "drastically"!!!!🤣🤣.

leo cha ajabu hata Wapinzani wote wapo kimya kama kwamba fikra zao ni "blind folded" juu ya suala la gesi ya Mtwara.

sio Wapinzani wala Chama tawala wote hawazungumzii kabisa juu ya gesi ya Mtwara.

kama Wtz tumelogwa, tumepigwa bumbuwazi,!!!!🤣🤣
 
Walaaniwe wanasiasa. Nilinunua kiwanja Mtwara kwa kiki hizi hizi. Sasa hivi ni kichaka tu kwenye viwanja. hakuna uchumi wowote. Hakuna aliyejenga hata mmoja.
Baada ya uvumbuzi wa gesi asilia ,mtwara itakuwa kama Dubai na matumizi ya mkaa yatakuwa mwisho.
 
Yule mwanasheria kabla ya kujeruhiwa na wasiojulikana alilieleza Taifa kwamba " TUTASHITAKIWA MIGA"
 
Back
Top Bottom