mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji3]Eti kama bahrain leo kimya,sasa hivi wameanzisha bwawa la rufiji wanasema likiisha hilo hakuna mgao tena wa umemeumenikumbuusha kitu cha gesi ila Tanzania uwa tuna flow na trend jamani. Mimi nilikuwa ninahisi yani hapa tunaelekea kuwa kama Bahrain si kwa kiki za gesi