mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji3]Eti kama bahrain leo kimya,sasa hivi wameanzisha bwawa la rufiji wanasema likiisha hilo hakuna mgao tena wa umemeumenikumbuusha kitu cha gesi ila Tanzania uwa tuna flow na trend jamani. Mimi nilikuwa ninahisi yani hapa tunaelekea kuwa kama Bahrain si kwa kiki za gesi
Sasa hivi ni mwendo wa Stiglers Gorge tukitoka hapo Mungu akajalia tukapata mafuta tuhamia kwenye mafuta. Tunacheza kila aina ya mdundo toko dungu mpaka funk[emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji3]Eti kama bahrain leo kimya,sasa hivi wameanzisha bwawa la rufiji wanasema likiisha hilo hakuna mgao tena wa umeme
Hahah nadhani huo ujumbe ulitufanya tukawahishwa kuingizwa kwny uchumi wa kati mkuu.Huu mkutano uliniacha hoi sana na ujumbe wake.
Katika uongo mkubwa kupita mauongo yote nadhani huu ni mkubwa kupita kiasi, eti gasi ya Mtwara ingeinua uchumi wa bongo "drastically"!!!!🤣🤣.
leo cha ajabu hata Wapinzani wote wapo kimya kama kwamba fikra zao ni "blind folded" juu ya suala la gesi ya Mtwara.
sio Wapinzani wala Chama tawala wote hawazungumzii kabisa juu ya gesi ya Mtwara.
kama Wtz tumelogwa, tumepigwa bumbuwazi,!!!!🤣🤣
Baada ya uvumbuzi wa gesi asilia ,mtwara itakuwa kama Dubai na matumizi ya mkaa yatakuwa mwisho.
Hahaha labda😁😁Hahah nadhani huo ujumbe ulitufanya tukawahishwa kuingizwa kwny uchumi wa kati mkuu.