Mamito, NN keyboard tu, hakuna kitu!Wote humu jamvini ni vivuli but you nononon darling this is your true colour anyway may our alminghty God have mercy on you (rekebisha kidogo grammar naona haijakaa vzr eti mwalimu)
Mamito, NN keyboard tu, hakuna kitu!
Karibu JJ mkuu tupate valuer pamoja na wapwaaz.....a single day like that can change our keyboard approach!
thanks mama big for understanding this......see you later!
loveness iddi ya kesho nakuja kwako
Kunani musoma?ndio wale wale wa kule kwetu musoma nini? Unakaribishwa
akananana akananana kaile kona kaile kaile nikeogolaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwi kwi kwi kwi kwi wapi rutashubanyuma, wapi katerelo njoo fafanua hii hapa
ndio wale wale wa kule kwetu musoma nini? Unakaribishwa
Kunani musoma?
Naona magogo niliyokuwekea hayafanyi kazii
Tangia lini mihogo na miwa ikawa magogo?
Jamani hivi Waziri Mkuu ni nani tena?:doh::doh::doh::doh:
Kuna biashara ya pembe za tembo
Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda
Hahahaaa....hivi unaweza kumtegeshea tembo sumu?
Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda
nimepita kuwasalimia .....nataraji nyote wazima na matayarisho ya Eid kesho
breakfast is on me 🙂