Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Ila kweli kama hawa watu ni wa jinsia ya KE....

Halafu ukute ni watu na heshima zao hapa wanakuja tu kurefresh mind, utakuwa umewakosea kwa kuwabadilisha jinsia zao

Watakosa Uhuru wa kuchangia au kuanzisha mada kwasababu tayari wadau watawachukulia ni Wanaume
 
Wengine mawaziri hao, wengine TEC wapo hapo. Wengine wabunge wa kike na wa kiume. Wengine hapo wajomba zako, wengine wafanya biashara, wengine mama zako. Pengine hata baba'ko yuko hapo.

Wewe humu JF fata mada, usifate fulani.

Akili kubwa huongelea maendeleo.

Akili za kawaida huongelea matukio.

Akili mbovu huongelea watu.
bibie mpendwa, mbona hujanipa like kwa nilichomjibu huyu member?
 
Yawezekana n Wanawake ila wasiwe na imani ya kuja kutoka na tabia mbaya za wanaume was jf humu za kutkuwa na vifua vya kuhifadhi Mambo,kila kitu kujakusimulia humu na kudhalilisha Wanawake kutwaa.
Mkuu siwezi kuwadharirisha!

Huwa nawananga mademu ambao huwa wanajiona ni pisi kali hapa Jf wakati mkikutana unakuta wamevimba Juu tu lakini chini utadhani mswaki!

Lakini hawa nia na lengo ni kukutana nao hata kama ni wabaya,lengo ni kuhakiki kweli kama ni KE!
 
Mkuu siwezi kuwadharirisha!

Huwa nawananga mademu ambao huwa wanajiona ni pisi kali hapa Jf wakati mkikutana unakuta wamevimba Juu tu lakini chini utadhani mswaki!

Lakini hawa nia na lengo ni kukutana nao hata kama ni wabaya,lengo ni kuhakiki kweli kama ni KE!
Kwani sie wanaume? 😂😂😂
 
👀👀👀hua na-assume kama nachat na marobot, ukichat kama demu tutaenda hvo hvo ukichat kama msela kumbe chombo ya fundi fresh tu tutaenda hvo hvo
 
Back
Top Bottom