Afta
JF-Expert Member
- Apr 2, 2023
- 469
- 724
Naona kama unajisimbua hivi mkuu maana sioni kama itakuwa ni njia sahii sanaSihitaji marafiki mkuu nawahitaji wao kama wao!,Sitokuwa na Bajeti ya Marafiki!
Kama wakichongo Dili na mabint wengine Ili wakuoneshe kuwa wao ni wanawake utakuwa umeridhika hapo au wewe utakuwa na njia ipi nyingine wakifika hapo Ili ujiridhishe, kuuliza maswali kuhusu Jf na thread zao