Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Tukatie tiket ya ndege mkuu mim nije maana naona wamegoma [emoji23][emoji23]
 
Kuna mmoja hapo kama wewe hutatoka nduki basi utajikuta unaishiwa nguvu, halafu yeye atajibu haloooooo! Si ulijifanya unayawezaaa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu, mbona hao wote ulio wataja ni Me..[emoji848]
Hapo cocastic ndi ninauhakika ni Ke...[emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee usinitajee mie? Hebu mpe picha yangu tena nikiwa nimenyoa ndevu aridhike, ili asipate tabu.

Watu wanataka kunijua na wee unanijua vyedii upo? Unaniangushaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee usinitajee mie? Hebu mpe picha yangu tena nikiwa nimenyoa ndevu aridhike, ili asipate tabu.

Watu wanataka kunijua na wee unanijua vyedii upo? Unaniangushaa.
Mbona unajitetea sana?[emoji23]
 
Hayo majiti ni invisible huwezi kuyapata, we unachofanya huna cha maana cha kuandika umeamua ufurahishe genge tu. Humu hatujuani nani ni nani ndio maana huwa kuna minyukano mikali ya kihoja mpaka mtu anashindwa kujibu hoja anakimbilia matusi kujihami asipate kibano zaidi kihoja. Hao akina cocastic, demi, to yeye, leejay na wengine wengi wenye muonekano wa kike wasikuzingue na kutaka kujua kama ni wanawake au la. Sisi huwa tunawatuanga kihoja bila kujali jinsia zao
Umesema kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom