Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kumeet mahitaji yako hadi muonane?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Me nishaandaa nguo mapema ole wake kesho asitokee??
Heee kumbe ofer Ina masharti sikujua 😅😅😅Twende bana ila tusivae miwani huwa hapatani na watu wenye miwani kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Dada hutaki mtoko? [emoji23]Wa kike/wenye I'd za kike wapo wengi mno humu ndani mkuu, why us 10..??
Ama ndiyo I'd unazozi-'doubt' zaidi, sivyo..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mabwakuuuHao Ni vidume watupu unataka waje hapo mliman city waumbuke[emoji23][emoji23]
Hajui ni rahisi kumpata beyonce lakini sio lamomy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwehu wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mmoja hapo kama wewe hutatoka nduki basi utajikuta unaishiwa nguvu, halafu yeye atajibu haloooooo! Si ulijifanya unayawezaaa!
Weka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naweza kuweka hapa hapa mie mwenyewe, vipi uko tayari?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee usinitajee mie? Hebu mpe picha yangu tena nikiwa nimenyoa ndevu aridhike, ili asipate tabu.Mkuu, mbona hao wote ulio wataja ni Me..[emoji848]
Hapo cocastic ndi ninauhakika ni Ke...[emoji12]
Heee kumbe ofer Ina masharti sikujua [emoji28][emoji28][emoji28]
Nimeona hiyo saa kuna kitu nimekumbuka[emoji23][emoji23][emoji23]Niko kuangalia nivae ipi?
Sijui nimvalie rangi za chama? [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2787613
Mbona unajitetea sana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee usinitajee mie? Hebu mpe picha yangu tena nikiwa nimenyoa ndevu aridhike, ili asipate tabu.
Watu wanataka kunijua na wee unanijua vyedii upo? Unaniangushaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mabwakuuu
Watu wamevurugwaaaa kwa kwelii.Yaani nikaache Kazi zangu na familia yangu Ili nikaprove kwa mtu kwamba mie ni mwanamke?!!!
Umesema kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo majiti ni invisible huwezi kuyapata, we unachofanya huna cha maana cha kuandika umeamua ufurahishe genge tu. Humu hatujuani nani ni nani ndio maana huwa kuna minyukano mikali ya kihoja mpaka mtu anashindwa kujibu hoja anakimbilia matusi kujihami asipate kibano zaidi kihoja. Hao akina cocastic, demi, to yeye, leejay na wengine wengi wenye muonekano wa kike wasikuzingue na kutaka kujua kama ni wanawake au la. Sisi huwa tunawatuanga kihoja bila kujali jinsia zao
Hajui ni rahisi kumpata beyonce lakini sio lamomy[emoji23]
Hahahahaha ndyo yule alikuja kumsema humu 😀😀😀Kuna mmoja alimeet naye alisema ana miwani mikubwa km anaenda kuangalia kupatwa kwa jua [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha ndyo yule alikuja kumsema humu [emoji3][emoji3][emoji3]
Hz picha unanikumbusha uzi wetu 😅Niko kuangalia nivae ipi?
Sijui nimvalie rangi za chama? [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2787613