Mwanamke mzuri akivaa hata gunia anapendeza,wewe vaa uwezavyo,kesho siyo siku ya mchujo wa walimbwende!Hapa ndo niko nawaza, tukivaa suruali tutaambiwa wakiume sijui hata tuvae nini yaniπ
Hapo sawaπ€π€Mwanamke mzuri akivaa hata gunia anapendeza,wewe vaa uwezavyo,kesho siyo siku ya mchujo wa walimbwende!
[emoji23]hamna namuandaa tu kisaikilojia[emoji23][emoji23][emoji23] wivu huo
bibie mpendwa, mbona hujanipa like kwa nilichomjibu huyu member?Wengine mawaziri hao, wengine TEC wapo hapo. Wengine wabunge wa kike na wa kiume. Wengine hapo wajomba zako, wengine wafanya biashara, wengine mama zako. Pengine hata baba'ko yuko hapo.
Wewe humu JF fata mada, usifate fulani.
Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili mbovu huongelea watu.
πππ me navaa mino la mpasuo mbele na crop top, chini navaa slipper ili nikilewa nisipate shida ya kutembeaHapa ndo niko nawaza, tukivaa suruali tutaambiwa wakiume sijui hata tuvae nini yaniπ
Na mchujo upo? πππMwanamke mzuri akivaa hata gunia anapendeza,wewe vaa uwezavyo,kesho siyo siku ya mchujo wa walimbwende!
π€£πΊKwa MZURI SANA ninauhakika mtoa mada unaona mbali.
MAGUFULI4LIFE.
Mkuu siwezi kuwadharirisha!Yawezekana n Wanawake ila wasiwe na imani ya kuja kutoka na tabia mbaya za wanaume was jf humu za kutkuwa na vifua vya kuhifadhi Mambo,kila kitu kujakusimulia humu na kudhalilisha Wanawake kutwaa.
Kwani sie wanaume? πππMkuu siwezi kuwadharirisha!
Huwa nawananga mademu ambao huwa wanajiona ni pisi kali hapa Jf wakati mkikutana unakuta wamevimba Juu tu lakini chini utadhani mswaki!
Lakini hawa nia na lengo ni kukutana nao hata kama ni wabaya,lengo ni kuhakiki kweli kama ni KE!