Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Sihitaji marafiki mkuu nawahitaji wao kama wao!,Sitokuwa na Bajeti ya Marafiki!
Naona kama unajisimbua hivi mkuu maana sioni kama itakuwa ni njia sahii sana

Kama wakichongo Dili na mabint wengine Ili wakuoneshe kuwa wao ni wanawake utakuwa umeridhika hapo au wewe utakuwa na njia ipi nyingine wakifika hapo Ili ujiridhishe, kuuliza maswali kuhusu Jf na thread zao
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ.

Kila la heri brother.
 
Lazima ushangae.
 
Usisahau kutoa mrejesho.
 
Mkuu hao mabinti nitawauliza maswali kuhusu JF hadi watoroke badala ya Kukimbia!
 
๐ฎ๐ฆ๐ž๐ข๐ฌ๐ก๐š๐š๐š ๐ฎ๐ฆ๐ž๐ญ๐š๐ฉ๐ž๐ฅ๐ข๐ฐ๐š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ