Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Kichaa ni nani kati yetu?

1.Ni mimi nayetumia pesa zangu ninazozitafuta kwa jasho langu

2. Au Ni wewe unayefuatilia Maisha yangu wakati hata hela ya kula huna?
Kama huna kichaa basi utakuwa mpumbavu!
 
Bila kumsahau Evelyn Salt
 
To yeye, Leejay49 na cocastic hao waondoe hapo, hao ni mademu 99%
 
Ambao hatujatajwa tusubiri awamu ya pili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…