Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Huyo To yeye ni mwanamke, nna ushahidi... tena mzuri tu 😊

Akipata mwanaume serious na akapata matunzo ni bonge la Baby Mama πŸ€©πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‹πŸ€€

Siku kukiwa na meeting HOHEHAHE nitaishi maisha kama ya 2pac (ya kujifichaficha, na kuishi kusikojulikana) kutokana na mdomo wangu mchafu wa kutukana hovyo... inabidi nibadilike, maana siku ndugu watanzania niliowahi kuwajeruhi kwa matusi humu watanigawa vipande wakiniona πŸ˜…
 

Wengine mawaziri hao, wengine TEC wapo hapo. Wengine wabunge wa kike na wa kiume. Wengine hapo wajomba zako, wengine wafanya biashara, wengine mama zako. Pengine hata baba'ko yuko hapo.

Wewe humu JF fata mada, usifate fulani.

Akili kubwa huongelea maendeleo.

Akili za kawaida huongelea matukio.

Akili mbovu huongelea watu.
 
Wacha weeeehh! Madam president wa mchongo πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™ŒπŸΎ
Wengine mawaziri hao wengine TEC wapo hapo. Wengine wabunge wa kike na wa kiume.

Wewe JF fata mada, usifate fulani.

Akili kubwa huongelea maendeleo.

Akili za kawaida huongelea matukio.

Akili mbovu huongelea watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…