Hebu wanawake wa hapa JF ondoeni huu Mkanganyiko!

Hayo majiti ni invisible huwezi kuyapata, we unachofanya huna cha maana cha kuandika umeamua ufurahishe genge tu. Humu hatujuani nani ni nani ndio maana huwa kuna minyukano mikali ya kihoja mpaka mtu anashindwa kujibu hoja anakimbilia matusi kujihami asipate kibano zaidi kihoja. Hao akina cocastic, demi, to yeye, leejay na wengine wengi wenye muonekano wa kike wasikuzingue na kutaka kujua kama ni wanawake au la. Sisi huwa tunawatuanga kihoja bila kujali jinsia zao
 
Mkuu lengo la JF ni maarifa na kufahamiana pia kupeana Michongo,lengo langu lilikuwa ni jema tu,kufahamiana!.

Kufahamiana mkuu kunasaidia Mambo mengi,huwezi jua naweza kupata kitu kwao na wao wanaweza kuondoka na chochote kwangu!.
 
Hawa vijana wa Dar wanaotumia majina ya kike ni hawa mashoga wa mujini, wanataka matango na karoti ya kujisweka ile sehemu.
 
Aaah hawa wanaleta ugaigai ..

Sasa rafiki nikishamwonyesha mimi ni mwanamke ananiongezea value gani kwenye maisha?
Mkuu lengo la JF ni kufahamiana!

Kwani hapa JF inakuongezea Value gani?,sana sana unatumia bando kufuatilia mambo ya kijinga naya kipumbavu!.

lakini kuonana na watu ambao kila siku mnachati Jf itakuongezea kitu na hutobaki kama ulivyo!,Utapata Exposure na kukutana na watu wapya!.

Wewe sema huwezi kuja kwasababu

1.Dume
2.Umechoka
3.Umechakaa
4.Umedhohofika
5.Mbaya wa sura na Umbo

haya mambo ni hakika ndiyo yatafanya usitokee!.

Mwanamke mzuri na anayejiamini ataachaje mtoko wa kukutana na Marafiki wapya?
 
Hahahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…