Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
[emoji23][emoji23]Mfyuuu!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Mfyuuu!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema ukweli unaweza kutoa mil 5 kirahisi tu bila hata ya kuzungumza?[emoji23]Watu wana shida na pesa yeye analeta utani [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa km nina kisima cha pesa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu naona unacheka tu lakini tangu asubuhi nimewambia mnipe ratiba zenu ili niweke Oda naona Kimyaaaaa!
Au Ndo mmeingia mitini wewe na wenzio?
Mm sina tatizo, lakini akupatie pesa ya mafuta na saloon[emoji23]Boss nishaandaa nguo hujaona?
Hapa nasubiri ruhusa kutoka kwa babe
We Kantry emu toa ruhusa bas nimwambie boss tunakutana kuanzia saa ngapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema kuna kitu tutaongea nataka nifanye jambo flan kubwa [emoji23]
Yes cazee atamfaa sana Aaliyah[emoji23]
Hili mm pia naunga mkono
Serious Aaliyah anaweza kuwa potential customer [emoji23]Mfyuuu!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kantry acha uchawi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeanza uvuvi na wewe?
[emoji23][emoji23] ngoja kwanza nipokee simu, narudiUmbea hapo unakutafuna [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema Leo sijui kwa nn nimezungumza yote haya, Im Sorry[emoji119]
Nina vibe flan hivi
Sijatajwa🥺🥺huzuniTiffay mnaitwa uku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah wee uduguuWe msikilize anakuchuuza [emoji23][emoji23][emoji23]
Uongee na nani tenaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]So ndio mpaka niongee nae? Au?
Yaan ana fail hapo tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23]Watu wana shida na pesa yeye analeta utani [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema ukweli unaweza kutoa mil 5 kirahisi tu bila hata ya kuzungumza?[emoji23]
Sijatajwa[emoji3064][emoji3064]huzuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah wee uduguu