Tanganyika nayo ni nchi.Kwani Zanzibar si ni nchi?
Ni kweli lakini uwezo wa heche ni mkubwa kuliko wa chura kiziwiChukua Clips kumi za John Heche msikilize utagundua uwezo wake ni mdogo sana
Watu wenye uwezo mdogo hujificha kwa kutukana Viongozi na Serikali
Huwezi kumfananisha na kizazi cha akina Ester Bulaya, Halima Mdee, Zitto Kabwe, Kafulila, John Mnyika wakijenga hoja bungeni
Heche ni mtupu sana
Labda waliosoma nae waje watupe ufafanunuzi zaidi
Heche huishia kutoa / ku-address challenges bila kuja na Solutions/ Way forward!!
hao watu ni shida sanaKama uzanzibari shida basi Mwinyi asingepewa miaka 10 kuongoza na Kina Nyerere wapo.
Hoja za Kipumbavu
Kwani nani amekataa?.Tanganyika nayo ni nchi.
Aliwahi kupinga sana Serikali isinunue ndegeChukua Clips kumi za John Heche msikilize utagundua uwezo wake ni mdogo sana
Watu wenye uwezo mdogo hujificha kwa kutukana Viongozi na Serikali
Huwezi kumfananisha na kizazi cha akina Ester Bulaya, Halima Mdee, Zitto Kabwe, Kafulila, John Mnyika wakijenga hoja bungeni
Heche ni mtupu sana
Labda waliosoma nae waje watupe ufafanunuzi zaidi
Heche huishia kutoa / ku-address challenges bila kuja na Solutions/ Way forward!!
Kasumo sio mpakani mwa Burundi. Kutoka Kasumo mpaka mpaka wa Tanzania na Burundi kuna karibu km 100. Ni sawa na kusema, watu wote wa Rombo ni wahamiaji kutoka Kenya. Kitu ambacho sio sahihi. Unatakiwa ujue, Kasumo ilikuwepo hata kabla ya Burundi kupata uhuru na ilikua sehemu ya Tanganyika huru na ilikua na wakazi wake.Warundi walio ingia nchini kiujanja ujanja wakaishi pale Kasumo mpakani na Burundi sio Watanzania halis.
NIDA tena? Sasa mtu kafika rank ya VP, atakosa NIDA? Unafikiria kwa kutumia nini kaka?Au unaogopa ataulizwa NIDA?😄😁
Wahamiaji haramu kwenye nafasi za uongozi nadhani mkuu wa majeshi aliliongelea hilo.NIDA tena? Sasa mtu kafika rank ya VP, atakosa NIDA? Unafikiria kwa kutumia nini kaka?
Kwako wewe Mtanzania ni nani?Wahamiaji haramu kwenye nafasi za uongozi nadhani mkuu wa majeshi aliliongelea hilo.
Mtu yeyote aliyekuwepo Nchini siku ya Uhuru.Kwako wewe Mtanzania ni nani?
Akiminywa asitie Huruma kwa kumkejeli Rais wa Nchi sisi Raia hatukumtuma kuongea hivoJinsia ya Samia tusiifanye kuwa ni HOJA ndugu zangu wanaCHADEMA.
Mpango alikuwa wapi siku ya Uhuru wa Tanganyika? Je, kasumo ilikua sehemu ya Tanganyika huru? Na kama ndio, akina nani waliokua wanaishi pale wakati huo kama kila mtu anayeishi hapo anaonekana wakuja?Mtu yeyote aliyekuwepo Nchi siku ya Uhuru.
Kinana pia kuna watu wanasema (sio mimi) kuwa baadhi ya member wa familia yake wanaishi ukimbizini.Mpango alikuwa wapi siku ya Uhuru wa Tanganyika? Je, kasumo ilikua sehemu ya Tanganyika huru? Na kama ndio, akina nani waliokua wanaishi pale wakati huo kama kila mtu anayeishi hapo anaonekana wakuja?
Kaka, tusipende kuishi kwa kunyosheana vidole. Tanzania ni nchi yetu sote. Hivyo hakuna sababu ya kuona wengine hawafai ww ndio unafaaKinana pia kuna watu wanasema (sio mimi) kuwa baadhi ya member wa familia yake wanaishi ukimbizini.
Aliyeanzisha ni huyu mleta mada anayesema Heche ni Mkenya.Kaka, tusipende kuishi kwa kunyosheana vidole. Tanzania ni nchi yetu sote. Hivyo hakuna sababu ya kuona wengine hawafai ww ndio unafaa
Hawana haki ya kutoa maoni ya kibaguzi na yanayo hatarisha umoja wa kitaifa kama wapi Rais anatoka, mwanamke n.k.
Tunachokataa ni Tanganyika kutawaliwa na raia wa nchi nyingine.Kwani nani amekataa?.
Endelea kukataa hakuna anayekukataza.Tunachokataa ni Tanganyika kutawaliwa na raia wa nchi nyingine.