Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,294
- 6,872
Mbona umeacha mengi mazuri ambayo yamesemwa humo na ukaweka muhtasari huo ambao haukuwa hoja sana kwenye hayo mazungumzo?Huyu mkurya aliye na wajomba na baba wadogo Kenya, aliyesoma SAUT kwa kulipiwa na Barrick North Mara na mkopo wa bodi ya elimu anajiona msafi kuliko watanzania wengine.
Ni nini ulikusudia tudhatiti? Kwa sababu hadi nahisi huenda hukusikiliza hadi mwisho hayo mazungumzo ama unashida ya kuelewa maudhui thabiti.
Ova