Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Mkomavu au ana tabia iliyokemewa na hayati Mwalimu ya "...himalaya himalaya!" Kwenye siasa?Huko ni vita. Mungu awalinde wafanye uchaguzi kwa amani. Ila Mwita Waitara ni mkomavu wa siasa.
Kweli mkuuMalaria inaua, chukua tahadhali
Wagombea wa CCM wasioishi kwenye majimbo yao watatoswa. Pia wagombea wenye tamaa au uchu wa madaraka watatoswa. Kadhalika wagombea malaya malaya wa kisiasa nao watatoswa. Je, Waitara hana sifa hizo aweze kuteuliwa kama mgombea kwa tikiti ya CCM?Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Waitara atashinda kupitia vyombo vya dola kwa kupora ushindi. Vinginevyo Heche hata asipofanya kampeni atashinda.Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Hii ndotoUchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Wagombea wa CCM wasioishi kwenye majimbo yao watatoswa. Pia wagombea wenye tamaa au uchu wa madaraka watatoswa. Kadhalika wagombea malaya malaya wa kisiasa nao watatoswa. Je, Waitara hana sofa hizo aweze kiteuliwa kama mgombea kwa tikiti ya CCM?
Waitara atashinda kupitia vyombo vya dola kwa kupora ushindi. Vinginevyo Heche hata asipofanya kampeni atashinda.
Hii ndoto
Waitara hatoboi
Juzi nilikuwa maeneo ya Tarime asilimia 90 ya bendera zilizokuwa zinapepea ni za CDM, vipi za CCM bado hazijashonwa?Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Waitara atashinda anatokea ukoo mkubwa wa wairege waliojaa nyamwaga mpaka bwirege, wakati heche yeye ni mkira wa sirari..ushindi tarime unaamuliwa na koo
Hivi kwanini NEMC kuna wakurya wengi?Unawajua vzr hao kina Heche huko Tarime? Aliyekuwa mwanasheria wa Nemc na ambaye alichukua form ccm kupambana na Waitara ni tumbo moja na Heche( mbunge Tarime vijijini chadema). Alichukuwa form kimkakati subiri utaona matokeo yake ngoja kampeni ianze.
Ni Kama TRA wachaga🤔🤔🤔Hivi kwanini NEMC kuna wakurya wengi?