sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
wakatiwanvyo ndani siku nyiingi.Mara ni kanda maalum sijui vyombo nya dola vitajipangaje,maana Heche na Waitara wote ni wababe.ni vita haswaa.Hili Jimbo nashauri Siku Moja kabla ya Uchaguzi, Siku ya Uchaguzi na Siku Tatu baada ya Uchaguzi Mapanga, Mikuki, Visu na Mishale yasiuzwe.
Huko ni vita. Mungu awalinde wafanye uchaguzi kwa amani. Ila Mwita Waitara ni mkomavu wa siasa.
MURA BITA NI BITA MURA
Wasaliti hawana nafasi!!
UNgoja nichomekee neti kwanza
FcxNgoja nichomekee neti kwanza
Eyyhuuhlqq gwaz**33*3""",_*4qqzctxtxMURA BITA NI BITA MURA
Tunaomba hekima na busara vitawale maana mura wawili wanapambana wakubaliane iwe kisiasa tu ubabe watulize kutunza amani.Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Uchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
nilikua Tarime hapo juzi..naona Watu wanataka kumpa waitara jimbo
Waitara mwita kaenda kuiba kura kufanya uchakachuaji lakini sanduku la kura lipo kwa Heche kwa kifupi waitara kaenda kupora jimbo kwa njia haramuUchaguzi wa ubunge Tarime vijijini mwezi wa October utakuwa ni wa kukata na shoka, wagombea wote ni wababe watemi, ila Waitara ni zaidi ya Heche, na Heche analijua hilo.
Baada ya Waitara kuongoza kura za maoni Heche ameishiwa pozi.
Uchaguzi huu ndio utakua mkali kuliko chaguzi zote nchini, vyombo vya dola vijipange vilivyo kwani tabia za wana Tarime ni za ajabuajabu sana, kugechana kutashamiri sana.
Heche kwaheri Tarime Vijijini!
Mwita waitara siyo mtemi bali ni mchochezi wa siasa za maji takaHuyu Mlevi wa kupindukia ana Utemi gani?
Heche ndiye mbabe lakini waitara ni mwizi wa kura na mnafiki wa kutishawakatiwanvyo ndani siku nyiingi.Mara ni kanda maalum sijui vyombo nya dola vitajipangaje,maana Heche na Waitara wote ni wababe.ni vita haswaa.
Aisee! Nami nilitaka kuandika hivyo hivyo. Huyo ni Waitara ana pima upepo. Sijui kwa nini katukimbia Ukonga?Mleta mada Ni waitara kaja kupima upepo
Wewe kweli ni mwana Tarime, wagombea wote wawili ni wadogo zangu na mmoja ninatoka naye kijiji kimoja. Ni ngumu sana sana kwa Waitara kutoboa ingawa kwa sasa ni mwana CCM mwenzangu, ni ngumu sana kama itakavyokuwa ngumu kwa Dr Tulia pale Mbeya. Ili watangazwe ni lazima nguvu ya ziada itumike na si sanduku la kura. Mkuu ni ngumu sana ila inawezekana kwa siasa zetu za figisu.Punguza upambe.....usitake kulitumia jina TARIME kutafuta umaarufu humu. Yaani unatuitia polisi hata kabla kura hazijapigwa?
Tarime tunataka amani.....
Tarime tunataka Uhuru wa kuchagua sio kuchaguliwa...
Tarime tunamtaka HECHE NA MATIKO.
Waitara ni kama wenzake akina Nasari na Lijualikali, anaanzaje kumshindaJH ?
Opnion za wengi hapa Tz tunakubali sana Heche labda zitumike mbinu zile chafu hapo ndio atatangazwa waitara