Uchaguzi 2020 Hedaru: Dkt. Magufuli amuagiza katibu mkuu TAMISEMI apeleke milioni 100 kukarabati kituo cha afya

Hii nchi ina tatizo kubwa sana la kiutawala na kifedha.

Kwahiyo huyo magufuli anataka kusema kwamba leo asingefika hapo hiyo hospitali ingeendelea milele kutokuwa na mashine ya X RAY na sehemu ya kuhifadhia maiti?

Huu ujinga hauwezi kuisadia nchi tunajidanganya wenyewe.

Nchi lazima iwe na mifumo ya kifedha na kitaasisi kujiendesha yenyewe bila kutegemea hisani za magufuli.

Na hii haitawezekana kama fedha zote ziko miguuni kwa magufuli.

Rais tunaomba choo, Rais tunaomba kisima, Rais tunaomba sijui nini.

Tunajidanganya wenyewe, hatumdanganyi yeyote.
 
Huyu Rais ni kiaxi kwerikweri! It's already TOO LATE to catch the Airplane!!!!
Huu si wakti wa kutoa maagizo ya kiwendawazimu kupitia simu!! Miaka 5 alikuwa wapi kupeleka hizo Milioni 100 za Ukarabati?
Magufuli aache cheap politics!!!
Kweli kabisaa mkuu anabaka demokrasia nchini ni kwa kuwa yy yuko juu ya sharia ngoja tutamuonyesha kuwa hatumtaki kweny kura tar 28 sio mbali dunia itashangaa mbona watu tunamachungu moyoni tutayaotoa kweny kura [emoji35][emoji35][emoji35]
 
Tumesema hadi atatambaa kwa tumbo mwaka huu, kupiga magoti haitoshi
 
Your browser is not able to display this video.
 
Hizo ndege zimeenda Nchi zipi prime zinazoleta watalii wengi hapa Nchini?

Sent from my TA-1024 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…